FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
- #121
ni kweli matron, tena ndo ukute na hyo mwenz wako bendera fata upupo.......kila siku mtagombana na mwisho wake kila mtu atachukua chake
bestlady kuna vijamaa vimetoka univasiti of Mlimani pale 3 yrs past ..vyenyewe ni maji ya TBL na kina Eliza ...hivi hao ni frnds wazuri kweli???mambo ya kuharibiana ndoa haya!
Cha kufanya:-
1.
2.
3.
4.
5.
6.