Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Kabisa, umeongea ukweli mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Kijana Hana akili kabisa. Wanawake wamejaa anahangaika na single mother kiasi hicho . Hana akili huyu Kijana kabisa . Angemuacha na hiyo mimba akamsusa kabisa ili wale wazee wabakie na binti Yao
 
Huyo Kijana Hana akili kabisa. Wanawake wamejaa anahangaika na single mother kiasi hicho . Hana akili huyu Kijana kabisa . Angemuacha na hiyo mimba akamsusa kabisa ili wale wazee wabakie na binti Yao
Mapenz upofu, mapenz ni kama giza.

Yaan mapenz ya baadh ya watu ni ngumu Sana kuyaelewa.

Kijana anaonekana anampenda Sana binti Kia's kwamba sidhan Kama angeweza kumuacha.

Maybe Kuna kitu special alichokua nacho binti, ambacho Mimi na wewe hatukijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kutojielewa tuu au ni mgeni kwenye mapenzi . Kwahiyo anaendeshwa na hisia lakini sio akili.
 
Mi pia najuaga hivyo kwamba mahari haiishi, nilidhani ni desturi ya kitanzania kumbe kuna makabila ni lazima ulipe cash. Aisee mi ningekua huyo jamaa ningeingia mitini tutalea mtoto akiwa huko huko kwao. Yaani 1.5 million kwa single mother wanaikataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…