Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Muoaji na wakwe zake wote hawana akili.



Binti mwenyewe ni mchafu alizaa akiwa na miaka 18 tena nje ya ndoa.

Wazazi wengine bhana sijui ata wanaujinga gan vichwan mwao, mtu kaamua kuficha aibu ya mtoto wao ila bado wanamuona mjinga
Nakuunga mkono mkuu
 
Mi pia najuaga hivyo kwamba mahari haiishi, nilidhani ni desturi ya kitanzania kumbe kuna makabila ni lazima ulipe cash. Aisee mi ningekua huyo jamaa ningeingia mitini tutalea mtoto akiwa huko huko kwao. Yaani 1.5 million kwa single mother wanaikataa.
Kuna baadhi ya wazazi ni wapuuz sana.

Sema TU kijana alimpenda Sana binti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni mawili. Kama jamaa ameamua kutafuta pesa awalipe hao wazee then wajue kwenye harusi watakuja kwa gharama zao, na ni lazima wachangie ndipo wapate kadi ya mualiko.

Pili, kijana akishafunga ndoa na bi dada then ukweni ndio nitoleee hiyo. Yaani wasianze zile za oooh baba anaumwa tumtumie pesa kidogo ajiuguze, hiyo ni NO. Jibu hapo ni watumie ile pesa ya mahari.

Na ikitokea wamekuja mjini kumtembelea yeye na binti yao, then watalala hotelini kwa gharama zao na chakula watajitegemea. Waje kupiga story tu.

Wakisema wamlaumu kuwa ana roho mbaya na yeye awaulize walichofanya kipindi cha posa ni tabia za wapi.
 
Hapo ni mawili. Kama jamaa ameamua kutafuta pesa awalipe hao wazee then wajue kwenye harusi watakuja kwa gharama zao, na ni lazima wachangie ndipo wapate kadi ya mualiko.

Pili, kijana akishafunga ndoa na bi dada then ukweni ndio nitoleee hiyo. Yaani wasianze zile za oooh baba anaumwa tumtumie pesa kidogo ajiuguze, hiyo ni NO. Jibu hapo ni watumie ile pesa ya mahari.

Na ikitokea wamekuja mjini kumtembelea yeye na binti yao, then watalala hotelini kwa gharama zao na chakula watajitegemea. Waje kupiga story tu.

Wakisema wamlaumu kuwa ana roho mbaya na yeye awaulize walichofanya kipindi cha posa ni tabia za wapi.
[emoji28]iyo Itakua revenge sasa kwa wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha haya! Kijana wa watu ana nia njema ya kumstiri mtoto wao tena aliyeteleza, lakini bado wazazi wanaleta mambo mengi yasiyokuwa na msingi.

Nilitegemea hao wazazi wamshukuru Mungu aliyemleta kijana huyo, ili kumstiri mtoto wao ambaye alijikwaa kwa kuzaa nje ya ndoa. Wanamtajia mahari kubwa utafikiri yeye ndiye aliyemzalisha mtoto wa kwanza!

Huyo kijana nae kuna kitu alitakiwa kujifunza kutoka kwenye vuta nikuvute ilionyeshwa na wazazi hao kwa kudai mahari kubwa bila sababu za msingi. Kama wazazi hao wameonyesha utata kwenye jambo lisilohitaji utata itakuwaje huko mbeleni?​
 
Duh ndoa imekuwa biashara!

Ingelikuwa mimi ndio huyo mwanaume ningemuacha huyo binti azalie mtoto wa pili kwao.Nakuhakikishia hao wazazi wangekubali hata mahari ya laki 5.

Ndoa ni baraka sio chanzo cha kuongeza uchumi.Kwani yeye binti mwenyewe anasemaje?Hamuonii huruma mumewe mtarajiwa anaanza kuingia na madeni ya mikopo kabla ya ndoa yenyewe? Na hapo kuna mtoto anatarajiwa pia ambae atahitaji matunzo.Lazima afikirie kuhusu future yao.

Wahenga wanasema jikune unapojifikia.Mimi sishauri hio ndoa ifungwe kwa shurti alizowekewa huyo kaka,its not worthy it!
 
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.

Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana mtoto wa Miaka 3).

Amedumu kwenye mahusiano na binti kwa mwaka mmoja tangu Desemba 2020 na Sasa na mwezi Januari 2021 alishika ujauzito wake.

Ambapo kwa Sasa anamimba yenye miez 5, kijana akaona afanye mchakato wa kuanza Kuishi rasmi pamoja na binti.

Kaandika barua ya uchumba ukweni imepelekwa na imekubaliwa, majibu yamerudishwa vimeorodheshwa vitu kadhaa na pesa taslim ambazo ukijumlisha inakuja jumla ya 4,600,000 (million 4 na laki 6)

Kijana akazungumza na mshenga kua icho kiwango Ni kikubwa na hawez kabisa kukimudu, mshenga kamshauri asiogope Ayo yanazungumzika na kitapunguzwa Sana watakapoenda kutambulishwa.

Siku ya kutambulishwa maongezi ya punguza yanaendelea, ila Mwisho kabisa wazazi na Ndugu wa MKE wakaishia milioni 2 taslimu (million 1 kwa ajili ya mahali na million 1 Ni faini ya uchafuzi- kuzalisha kabla ya kuoa )

Na mkaja wa mama laki 5 na vitu mchanganyiko vinavyogharimu laki 7. Jumla vyote unapata million 3 na laki 2.

Kijana kasema yeye hicho kiwango hana na hawezi kupata kabisa kwa sasa, kwa kazi anayofanya haimruhusu kabisa kupata kiasi icho. Akasema yeye alijiandaa kwa million 1 na laki 5 kwa Mambo yote.

Mshenga akaliwasilisha kwa Wazee, Wazee wakasema "ilo haliwezekani kijana maana kwenye ukoo wetu hamna mtu ameolewa chini ya million 2 mahali na vitu vyetu, iyo umependelewa kutokana na uchumi Wako Kama alivyotuambiwa na binti yetu"

Kijana akakubali ila akaomba alipe kwa awamu, 1.5million afu baadae atamalizia 1.7million.

Wazee Nalo wakakataa kata kata kua hamna cha kupunguza hapo, labda akajipange KWANZA akiwa tayari aje.

Kijana amepanik, Ameondoka amemuacha binti kwao na anazunguka uku na kule Anaomba akopeshwe pesa ili akamilishe zoezi. Kaja KWANGU kwetu Kama watu wake wa karibu tumsaidie kwa Hali na mali kakamilisha zoezi lake ili alilokwisha lianza. Kaniomba nimsaidie au nimkopeshe kiasi icho, Kiukweli nafsi yangu imegoma kabisa na nimemwambia kabisa kua yeye Ni rafki yangu ila kumchangia suala Hilo maana naona anajitwika mzigo mkubwa wkt uwezo wake ni mdogo.

Kuna vipaumbele vingi vya Ela ila sio kwa ilo, ila Kama uwezo anao apambane mwenyewe tutamsapoti kwa vingine.

Kijana
Amepambana kwa kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani Kama laptop, dressing table na stendi ya viatu. Jumla vyote kauza kapata laki 5 na 50.

Amepambana tena ameenda Kwenye taasisi flani izi za mitaani ya kukopesha fedha,
ameweka bond kiwanja alichaochiwa na marehem mama ake mzazi kwa ajili ya mkopo wa 1.3 million kwa miezi 6.

Kaniomba nikamdhamini, na kiroho Safi nimemdhamini na mkopo kapata chap kaenda kumaliza zoezi lake.

Ila baada ya kijana kUondoka NIMEBAKI NA MASWALI YAFUATAYO KICHWANI:

1. Mahali Ni malipo ya shukrani kwa wazazi kwa kumtunza vema binti yao.
-Inakuaje kijana alazimishwe kulipia mahali kubwa kwa binti ambae alimkuta bila bikra?
Kibaya Zaid binti alishazalishwa kabla.

2. Inakuaje kijana atozwe faini ya uchafuzi wakati binti mwenyewe tayar alikua keshazalishwa hapo awali na binti tayar alikua na mtoto mkubwa? Maana Ake iyo mimba ya jamaa inakua ni mimba ya pili kwa uyo binti?

3. Wazee inakuaje wang'ang'anie binti yao hawezi kuolewa na kijana bila kumaliza kabisa mahali wakati wanaona kabisa kijana uwezo wake kiuchumi Ni mdogo?

4. Wamechukua hatua gani kwa kijana aliemzalisha binti yao hapo kabla ya kulipa mahali?

5. Wazee, je Binti yao amegeuka bidhaa ya kuuzwa kiasi kwamba lazima awekewe kiwango maalum Cha gharama za kuolewa rasmi, na isipofikiwa Basi haiwezekani? Yaani eti "Hakuna binti yetu yoyote ameolewa kwa mahali chini ya mil 3"

6. Kijana anajiskiaje anapokua na mke ndani ambae ameingia madeni na gharama za kuuza vitu vyake kwa hasara ili mradi amuoe? Yaan una MKE ambae umepata kwa gharama,madeni na Maumivu makali sana?

7. Itakuaje endapo atashindwa kurejesha Deni ndani ile miez 6 na kiwanja Cha urithi kichukluliwe kisa Ela ya ule mkopo ulienda kulipia mahali ya kuoa MKE?

8. Binti alishindwa Nini kusimama na mwanaume wake kusimama na yeye pamoja kumtetea dhidi ya Wazee wenye tamaa ya Ela ya mahali?

Kiukweli, ili suala limeniacha na sintofahamu nyingi kwa jamii zetu hizi kuhusu ustaarabu na mtizamo wao Kwenye suala Zima la Utoaji wa MAHALI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie asitake sifa Ukweni kama vipi apige chini tu
 
Sasa hata huy bint haon hali ya mtu wake akaongea na wazaz wake yan mpka anafkia hatua yakuuza vitu na mkopo juu Sasa kwnye hyo ndio wataanza kuish vip au ndio kaz yakulipa madeni tu vitu vingn vinahitaj akil kdog tu
 
Kwa hiyo kanunua single maza kwa mil 3 angejifanya kama amesusa wangemtafuta wenyewe wampe bure

Kwa hiyo kanunua single maza kwa mil 3 angejifanya kama amesusa wangemtafuta wenyewe wampe bure
Jamaa nae ni boya tuu.... Kijana mdogo unaenda kuoa mwanamke aliyeskwisha zaa.... Ni uzwazwa huo... Angewaachia tuu akatafute binti Mbona wako wengi tuu
 
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.

Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana mtoto wa Miaka 3).

Amedumu kwenye mahusiano na binti kwa mwaka mmoja tangu Desemba 2020 na Sasa na mwezi Januari 2021 alishika ujauzito wake.

Ambapo kwa Sasa anamimba yenye miez 5, kijana akaona afanye mchakato wa kuanza Kuishi rasmi pamoja na binti.

Kaandika barua ya uchumba ukweni imepelekwa na imekubaliwa, majibu yamerudishwa vimeorodheshwa vitu kadhaa na pesa taslim ambazo ukijumlisha inakuja jumla ya 4,600,000 (million 4 na laki 6)

Kijana akazungumza na mshenga kua icho kiwango Ni kikubwa na hawez kabisa kukimudu, mshenga kamshauri asiogope Ayo yanazungumzika na kitapunguzwa Sana watakapoenda kutambulishwa.

Siku ya kutambulishwa maongezi ya punguza yanaendelea, ila Mwisho kabisa wazazi na Ndugu wa MKE wakaishia milioni 2 taslimu (million 1 kwa ajili ya mahali na million 1 Ni faini ya uchafuzi- kuzalisha kabla ya kuoa )

Na mkaja wa mama laki 5 na vitu mchanganyiko vinavyogharimu laki 7. Jumla vyote unapata million 3 na laki 2.

Kijana kasema yeye hicho kiwango hana na hawezi kupata kabisa kwa sasa, kwa kazi anayofanya haimruhusu kabisa kupata kiasi icho. Akasema yeye alijiandaa kwa million 1 na laki 5 kwa Mambo yote.

Mshenga akaliwasilisha kwa Wazee, Wazee wakasema "ilo haliwezekani kijana maana kwenye ukoo wetu hamna mtu ameolewa chini ya million 2 mahali na vitu vyetu, iyo umependelewa kutokana na uchumi Wako Kama alivyotuambiwa na binti yetu"

Kijana akakubali ila akaomba alipe kwa awamu, 1.5million afu baadae atamalizia 1.7million.

Wazee Nalo wakakataa kata kata kua hamna cha kupunguza hapo, labda akajipange KWANZA akiwa tayari aje.

Kijana amepanik, Ameondoka amemuacha binti kwao na anazunguka uku na kule Anaomba akopeshwe pesa ili akamilishe zoezi. Kaja KWANGU kwetu Kama watu wake wa karibu tumsaidie kwa Hali na mali kakamilisha zoezi lake ili alilokwisha lianza. Kaniomba nimsaidie au nimkopeshe kiasi icho, Kiukweli nafsi yangu imegoma kabisa na nimemwambia kabisa kua yeye Ni rafki yangu ila kumchangia suala Hilo maana naona anajitwika mzigo mkubwa wkt uwezo wake ni mdogo.

Kuna vipaumbele vingi vya Ela ila sio kwa ilo, ila Kama uwezo anao apambane mwenyewe tutamsapoti kwa vingine.

Kijana
Amepambana kwa kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani Kama laptop, dressing table na stendi ya viatu. Jumla vyote kauza kapata laki 5 na 50.

Amepambana tena ameenda Kwenye taasisi flani izi za mitaani ya kukopesha fedha,
ameweka bond kiwanja alichaochiwa na marehem mama ake mzazi kwa ajili ya mkopo wa 1.3 million kwa miezi 6.

Kaniomba nikamdhamini, na kiroho Safi nimemdhamini na mkopo kapata chap kaenda kumaliza zoezi lake.

Ila baada ya kijana kUondoka NIMEBAKI NA MASWALI YAFUATAYO KICHWANI:

1. Mahali Ni malipo ya shukrani kwa wazazi kwa kumtunza vema binti yao.
-Inakuaje kijana alazimishwe kulipia mahali kubwa kwa binti ambae alimkuta bila bikra?
Kibaya Zaid binti alishazalishwa kabla.

2. Inakuaje kijana atozwe faini ya uchafuzi wakati binti mwenyewe tayar alikua keshazalishwa hapo awali na binti tayar alikua na mtoto mkubwa? Maana Ake iyo mimba ya jamaa inakua ni mimba ya pili kwa uyo binti?

3. Wazee inakuaje wang'ang'anie binti yao hawezi kuolewa na kijana bila kumaliza kabisa mahali wakati wanaona kabisa kijana uwezo wake kiuchumi Ni mdogo?

4. Wamechukua hatua gani kwa kijana aliemzalisha binti yao hapo kabla ya kulipa mahali?

5. Wazee, je Binti yao amegeuka bidhaa ya kuuzwa kiasi kwamba lazima awekewe kiwango maalum Cha gharama za kuolewa rasmi, na isipofikiwa Basi haiwezekani? Yaani eti "Hakuna binti yetu yoyote ameolewa kwa mahali chini ya mil 3"

6. Kijana anajiskiaje anapokua na mke ndani ambae ameingia madeni na gharama za kuuza vitu vyake kwa hasara ili mradi amuoe? Yaan una MKE ambae umepata kwa gharama,madeni na Maumivu makali sana?

7. Itakuaje endapo atashindwa kurejesha Deni ndani ile miez 6 na kiwanja Cha urithi kichukluliwe kisa Ela ya ule mkopo ulienda kulipia mahali ya kuoa MKE?

8. Binti alishindwa Nini kusimama na mwanaume wake kusimama na yeye pamoja kumtetea dhidi ya Wazee wenye tamaa ya Ela ya mahali?

Kiukweli, ili suala limeniacha na sintofahamu nyingi kwa jamii zetu hizi kuhusu ustaarabu na mtizamo wao Kwenye suala Zima la Utoaji wa MAHALI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida sana hii huko Ukweni kwangu karagwe...
 
Back
Top Bottom