Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Yani hadi nimepata hasira aisee, inakuwaje akubali kizembe kiasi hicho? Kwanini yule aliemzalisha mwanzo wasingemdili kama hivi, huyo mdau ni msengerema tu kaenda kuoa kwa wasengerema pia.
Ni vitu vya ajabu kabisa,

Kutuko kilikua eti anakuja kuomba achangiwe Ela akalipe izo faini za uchafuz.

Kuna jammaa Angu mmoja mchaga alkua keshalewa MDA Ule, alitaka amnase Kofi kijana.
 
Utakuka hao wazee wamemwonganishia na faini ya yule mtoto wa miaka 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], hasira zote wamemtwika
 
Mjinga ni kijana, lait ningekuwa mim nisingerud kabisa ningewaachia binti yao
Na hicho kiwanja hawez kukumboa hapo basi tena
Inawezekana hata huyo mtoto wa kwanza mwanaume alisepa kwa ya mahali ivo ivo
 
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.

Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana mtoto wa Miaka 3). Amedumu kwenye mahusiano na binti kwa mwaka mmoja tangu Desemba 2020 na Sasa na mwezi Januari 2021 alishika ujauzito wake. Ambapo kwa Sasa anamimba yenye miez 5, kijana akaona afanye mchakato wa kuanza Kuishi rasmi pamoja na binti.

Kaandika barua ya uchumba ukweni imepelekwa na imekubaliwa, majibu yamerudishwa vimeorodheshwa vitu kadhaa na pesa taslim ambazo ukijumlisha inakuja jumla ya 4,600,000 (million 4 na laki 6)

Kijana akazungumza na mshenga kua icho kiwango Ni kikubwa na hawez kabisa kukimudu, mshenga kamshauri asiogope Ayo yanazungumzika na kitapunguzwa Sana watakapoenda kutambulishwa.

Siku ya kutambulishwa maongezi ya punguza yanaendelea, ila Mwisho kabisa wazazi na Ndugu wa MKE wakaishia milioni 2 taslimu (million 1 kwa ajili ya mahari na million 1 Ni faini ya uchafuzi- kuzalisha kabla ya kuoa ). Na mkaja wa mama laki 5 na vitu mchanganyiko vinavyogharimu laki 7. Jumla vyote unapata million 3 na laki 2.

Kijana kasema yeye hicho kiwango hana na hawezi kupata kabisa kwa sasa, kwa kazi anayofanya haimruhusu kabisa kupata kiasi icho. Akasema yeye alijiandaa kwa million 1 na laki 5 kwa Mambo yote.

Mshenga akaliwasilisha kwa Wazee, Wazee wakasema "ilo haliwezekani kijana maana kwenye ukoo wetu hamna mtu ameolewa chini ya million 2 mahari na vitu vyetu, iyo umependelewa kutokana na uchumi Wako Kama alivyotuambiwa na binti yetu"

Kijana akakubali ila akaomba alipe kwa awamu, 1.5million afu baadae atamalizia 1.7million. Wazee Nalo wakakataa kata kata kua hamna cha kupunguza hapo, labda akajipange KWANZA akiwa tayari aje

Kijana amepanik, Ameondoka amemuacha binti kwao na anazunguka uku na kule Anaomba akopeshwe pesa ili akamilishe zoezi. Kaja KWANGU kwetu Kama watu wake wa karibu tumsaidie kwa Hali na mali kakamilisha zoezi lake ili alilokwisha lianza. Kaniomba nimsaidie au nimkopeshe kiasi icho, Kiukweli nafsi yangu imegoma kabisa na nimemwambia kabisa kua yeye Ni rafki yangu ila kumchangia suala Hilo maana naona anajitwika mzigo mkubwa wkt uwezo wake ni mdogo.

Kuna vipaumbele vingi vya Ela ila sio kwa ilo, ila Kama uwezo anao apambane mwenyewe tutamsapoti kwa vingine.

Kijana
Amepambana kwa kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani Kama laptop, dressing table na stendi ya viatu. Jumla vyote kauza kapata laki 5 na 50.

Amepambana tena ameenda Kwenye taasisi flani izi za mitaani ya kukopesha fedha, ameweka bond kiwanja alichaochiwa na marehem mama ake mzazi kwa ajili ya mkopo wa 1.3 million kwa miezi 6. Kaniomba nikamdhamini, na kiroho Safi nimemdhamini na mkopo kapata chap kaenda kumaliza zoezi lake.

Ila baada ya kijana kuondoka NIMEBAKI NA MASWALI YAFUATAYO KICHWANI:

1. mahari Ni malipo ya shukrani kwa wazazi kwa kumtunza vema binti yao.
-Inakuaje kijana alazimishwe kulipia mahari kubwa kwa binti ambae alimkuta bila bikra?
Kibaya Zaid binti alishazalishwa kabla.

2. Inakuaje kijana atozwe faini ya uchafuzi wakati binti mwenyewe tayar alikua keshazalishwa hapo awali na binti tayar alikua na mtoto mkubwa? Maana Ake iyo mimba ya jamaa inakua ni mimba ya pili kwa uyo binti?

3. Wazee inakuaje wang'ang'anie binti yao hawezi kuolewa na kijana bila kumaliza kabisa mahari wakati wanaona kabisa kijana uwezo wake kiuchumi Ni mdogo?

4. Wamechukua hatua gani kwa kijana aliemzalisha binti yao hapo kabla ya kulipa mahari?

5. Wazee, je Binti yao amegeuka bidhaa ya kuuzwa kiasi kwamba lazima awekewe kiwango maalum Cha gharama za kuolewa rasmi, na isipofikiwa Basi haiwezekani? Yaani eti "Hakuna binti yetu yoyote ameolewa kwa mahari chini ya mil 3"

6. Kijana anajiskiaje anapokua na mke ndani ambae ameingia madeni na gharama za kuuza vitu vyake kwa hasara ili mradi amuoe? Yaan una MKE ambae umepata kwa gharama,madeni na Maumivu makali sana?

7. Itakuaje endapo atashindwa kurejesha Deni ndani ile miez 6 na kiwanja Cha urithi kichukluliwe kisa Ela ya ule mkopo ulienda kulipia mahari ya kuoa MKE?

8. Binti alishindwa Nini kusimama na mwanaume wake kusimama na yeye pamoja kumtetea dhidi ya Wazee wenye tamaa ya Ela ya mahari?

Kiukweli, ili suala limeniacha na sintofahamu nyingi kwa jamii zetu hizi kuhusu ustaarabu na mtizamo wao Kwenye suala Zima la Utoaji wa mahari.
Kijana ana matatizo na sio binti, hajaona mabinti ambao hawajazaa? Imekuwaje ampe mimba kabla hajamweka ndani? Kabla ya kwenda kwa familia ya binti hakumuuliza mwenzake utaratibu wa kwao? Kwani amelazimishwa kuoa hiyo familia na je kijana aliwashirikisha familia yake au aliamua mwenyewe kimjini mjini? KIJANA ALITUMIA AKILI ZA KICHWA KIDOGO
 
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.

Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana mtoto wa Miaka 3). Amedumu kwenye mahusiano na binti kwa mwaka mmoja tangu Desemba 2020 na Sasa na mwezi Januari 2021 alishika ujauzito wake. Ambapo kwa Sasa anamimba yenye miez 5, kijana akaona afanye mchakato wa kuanza Kuishi rasmi pamoja na binti.

Kaandika barua ya uchumba ukweni imepelekwa na imekubaliwa, majibu yamerudishwa vimeorodheshwa vitu kadhaa na pesa taslim ambazo ukijumlisha inakuja jumla ya 4,600,000 (million 4 na laki 6)

Kijana akazungumza na mshenga kua icho kiwango Ni kikubwa na hawez kabisa kukimudu, mshenga kamshauri asiogope Ayo yanazungumzika na kitapunguzwa Sana watakapoenda kutambulishwa.

Siku ya kutambulishwa maongezi ya punguza yanaendelea, ila Mwisho kabisa wazazi na Ndugu wa MKE wakaishia milioni 2 taslimu (million 1 kwa ajili ya mahari na million 1 Ni faini ya uchafuzi- kuzalisha kabla ya kuoa ). Na mkaja wa mama laki 5 na vitu mchanganyiko vinavyogharimu laki 7. Jumla vyote unapata million 3 na laki 2.

Kijana kasema yeye hicho kiwango hana na hawezi kupata kabisa kwa sasa, kwa kazi anayofanya haimruhusu kabisa kupata kiasi icho. Akasema yeye alijiandaa kwa million 1 na laki 5 kwa Mambo yote.

Mshenga akaliwasilisha kwa Wazee, Wazee wakasema "ilo haliwezekani kijana maana kwenye ukoo wetu hamna mtu ameolewa chini ya million 2 mahari na vitu vyetu, iyo umependelewa kutokana na uchumi Wako Kama alivyotuambiwa na binti yetu"

Kijana akakubali ila akaomba alipe kwa awamu, 1.5million afu baadae atamalizia 1.7million. Wazee Nalo wakakataa kata kata kua hamna cha kupunguza hapo, labda akajipange KWANZA akiwa tayari aje

Kijana amepanik, Ameondoka amemuacha binti kwao na anazunguka uku na kule Anaomba akopeshwe pesa ili akamilishe zoezi. Kaja KWANGU kwetu Kama watu wake wa karibu tumsaidie kwa Hali na mali kakamilisha zoezi lake ili alilokwisha lianza. Kaniomba nimsaidie au nimkopeshe kiasi icho, Kiukweli nafsi yangu imegoma kabisa na nimemwambia kabisa kua yeye Ni rafki yangu ila kumchangia suala Hilo maana naona anajitwika mzigo mkubwa wkt uwezo wake ni mdogo.

Kuna vipaumbele vingi vya Ela ila sio kwa ilo, ila Kama uwezo anao apambane mwenyewe tutamsapoti kwa vingine.

Kijana
Amepambana kwa kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani Kama laptop, dressing table na stendi ya viatu. Jumla vyote kauza kapata laki 5 na 50.

Amepambana tena ameenda Kwenye taasisi flani izi za mitaani ya kukopesha fedha, ameweka bond kiwanja alichaochiwa na marehem mama ake mzazi kwa ajili ya mkopo wa 1.3 million kwa miezi 6. Kaniomba nikamdhamini, na kiroho Safi nimemdhamini na mkopo kapata chap kaenda kumaliza zoezi lake.

Ila baada ya kijana kuondoka NIMEBAKI NA MASWALI YAFUATAYO KICHWANI:

1. mahari Ni malipo ya shukrani kwa wazazi kwa kumtunza vema binti yao.
-Inakuaje kijana alazimishwe kulipia mahari kubwa kwa binti ambae alimkuta bila bikra?
Kibaya Zaid binti alishazalishwa kabla.

2. Inakuaje kijana atozwe faini ya uchafuzi wakati binti mwenyewe tayar alikua keshazalishwa hapo awali na binti tayar alikua na mtoto mkubwa? Maana Ake iyo mimba ya jamaa inakua ni mimba ya pili kwa uyo binti?

3. Wazee inakuaje wang'ang'anie binti yao hawezi kuolewa na kijana bila kumaliza kabisa mahari wakati wanaona kabisa kijana uwezo wake kiuchumi Ni mdogo?

4. Wamechukua hatua gani kwa kijana aliemzalisha binti yao hapo kabla ya kulipa mahari?

5. Wazee, je Binti yao amegeuka bidhaa ya kuuzwa kiasi kwamba lazima awekewe kiwango maalum Cha gharama za kuolewa rasmi, na isipofikiwa Basi haiwezekani? Yaani eti "Hakuna binti yetu yoyote ameolewa kwa mahari chini ya mil 3"

6. Kijana anajiskiaje anapokua na mke ndani ambae ameingia madeni na gharama za kuuza vitu vyake kwa hasara ili mradi amuoe? Yaan una MKE ambae umepata kwa gharama,madeni na Maumivu makali sana?

7. Itakuaje endapo atashindwa kurejesha Deni ndani ile miez 6 na kiwanja Cha urithi kichukluliwe kisa Ela ya ule mkopo ulienda kulipia mahari ya kuoa MKE?

8. Binti alishindwa Nini kusimama na mwanaume wake kusimama na yeye pamoja kumtetea dhidi ya Wazee wenye tamaa ya Ela ya mahari?

Kiukweli, ili suala limeniacha na sintofahamu nyingi kwa jamii zetu hizi kuhusu ustaarabu na mtizamo wao Kwenye suala Zima la Utoaji wa mahari.
Huyo jamaa katekwa akili na huyo mwanamke. Huwez kutoa hela hio kwa mwanamke aliezaa nje tyar.
Hapo anataka kununua gazeti jioni tena kwa bei ya juu
 
Nipe mawasikiano ya huyo jamaa,,, nitamuunganisha na mwanasheria wangu. Hapo mzee baba katapeliwa mchana kweupe.

Ila ni vizuri pia kutujuza kama huyo jamaa amewahi onja mbunye before huyo mwanamke?. Wazazi wa mwanamke wameona weak point so wanatumia as an opportunity...
 
Sikuelewi.
Tatizo huna hela au tatizo ni mahari kubwa?
Inaelekea hujui hata maana ya mahari.
Hivi huo mgawanyo wa mahari umeuangalia? Unadhani utawatajirisha?
Ni ukosefu mkubwa mnoo ulivyomchambua na kumshusha heshma huyo binti.

Hivi unadhani hiyo hela ni gharama ya kumlea huyo binti? Hata sherehe ya ndoa utafanya kweli wewe?

Ndo maana sitaki mahari ya mtu maana roho za kimaskini za hivi zinakasirisha saana.
 
Mkishakubaliana wawili mbebane kwa sh ngapi hiyo imetosha,wazaz watapanga wapangavyo mwanaume komaa na kile mlichokubaliana na mwenza.Kwa mfano mimi nilimwambia toa million moja mwenzangu akakubali,ivo walivyopanga milion 4 yao mshikaji alikomaa sana sema wazazi wangu nao naona walivuta cha Arusha sikuhiyo walimbana mpaka wakamminya 2 ml.

Tukaona si mbaya sana kuliko hiyo 4.Unajua mambo haya hayatakiwi uangalie leo tu na sifa kede za kulipiwa mahari kubwa inatakiwa utazame na kesho yatakapokukuta nawe kwa wanao.
We unatafuta kurogwa wewe na kizazi chako. Zaa ulee ndo utaelewa.
 
We unatafuta kurogwa wewe na kizazi chako. Zaa ulee ndo utaelewa.
Nina watoto wawili,huyu wa kike akija pata bwana mwenye kumpenda na kumweshimu mwanangu Niko tayari ajichagulie anataka aende bure au kias gani?
 
Nipe mawasikiano ya huyo jamaa,,, nitamuunganisha na mwanasheria wangu. Hapo mzee baba katapeliwa mchana kweupe.
Ila ni vizuri pia kutujuza kama huyo jamaa amewahi onja mbunye before huyo mwanamke?. Wazazi wa mwanamke wameona weak point so wanatumia as an opportunity...
Kijana nahisi ushamba was Mambo ya wakubwa unnamsumbua .
 
Sikuelewi.
Tatizo huna hela au tatizo ni mahari kubwa?
Inaelekea hujui hata maana ya mahari.
Hivi huo mgawanyo wa mahari umeuangalia? Unadhani utawatajirisha?
Ni ukosefu mkubwa mnoo ulivyomchambua na kumshusha heshma huyo binti.

Hivi unadhani hiyo hela ni gharama ya kumlea huyo binti? Hata sherehe ya ndoa utafanya kweli wewe?

Ndo maana sitaki mahari ya mtu maana roho za kimaskini za hivi zinakasirisha saana.
Mahali inatafsiriwa kubwa au ndogo kutokana na kipato Cha mhusika.

Elfu 10 kwako
Inaweza isitoshe hata breakfast asubuh,

Ila iyo iyo elfu 10 kwa mwingine,
ikatunza familia nzima ya watu 6 asubh na jion kwa sikU 3 mfulurizo.

Nmeongea kutokana na uhalisia wa maisha ya kijana na binti mwenyewe
 
Sikuelewi.
Tatizo huna hela au tatizo ni mahari kubwa?
Inaelekea hujui hata maana ya mahari.
Hivi huo mgawanyo wa mahari umeuangalia? Unadhani utawatajirisha?
Ni ukosefu mkubwa mnoo ulivyomchambua na kumshusha heshma huyo binti.

Hivi unadhani hiyo hela ni gharama ya kumlea huyo binti? Hata sherehe ya ndoa utafanya kweli wewe?

Ndo maana sitaki mahari ya mtu maana roho za kimaskini za hivi zinakasirisha saana.
Hamna nilikomshushia heshima binti.

Binti , keshajishushia heshima yeye mwenyewe tayar kitendo Cha kuzalishwa Nyumbani.

Wazazi walibidi wawe wapole,
Unampigaje faini mtu aliemsitiri mwanao kwa aibu ya kuzalia nyumban?
 
Sikuelewi.
Tatizo huna hela au tatizo ni mahari kubwa?
Inaelekea hujui hata maana ya mahari.
Hivi huo mgawanyo wa mahari umeuangalia? Unadhani utawatajirisha?
Ni ukosefu mkubwa mnoo ulivyomchambua na kumshusha heshma huyo binti.

Hivi unadhani hiyo hela ni gharama ya kumlea huyo binti? Hata sherehe ya ndoa utafanya kweli wewe?

Ndo maana sitaki mahari ya mtu maana roho za kimaskini za hivi zinakasirisha saana.
Wewe jamaa ni pimbi sana,kwa hiyo mahari ya binti yako utaorodhesha gharama ulizotumia kumlea plus kumsomesha! Je unamuuza?

Let say ukaweka mahari milioni kumi au ishirini akakulipa unategemea huyo mwanaume atakuja hata hospital kukuletea matunda ukiwa umelazwa? Hahahaha
 
Mahali inatafsiriwa kubwa au ndogo kutokana na kipato Cha mhusika.

Elfu 10 kwako
Inaweza isitoshe hata breakfast asubuh,

Ila iyo iyo elfu 10 kwa mwingine,
ikatunza familia nzima ya watu 6 asubh na jion kwa sikU 3 mfulurizo.

Nmeongea kutokana na uhalisia wa maisha ya kijana na binti mwenyewe
Huyo jamaa ni mjinga tu,hana tofauti na hiyo familia,anajidai ana pesa kumbe anaishi kwa shemeji yake bagamoyo, anakuja na hoja eti ooh hizo pesa zinaendana na gharama za kumlea huyo binti mpaka azione nyingi?

Anashindwa kujua kuwa suala la ndoa unaunganisha undugu na ukoo mwengine au familia nyengine,baada ya ndoa kufungwa mutaendelea kushirikiana na kusaidia ktk mambo tofauti tofauti,kama misiba,maradhi,tafrija,na unapoamua kumuozesha binti haumuuzi, bado ataendelea kusaidia familia yake kwa kushirikiana na mumewe.sasa ukianza kujumlisha ada za nursery, primary, secondary, university ndo ufanye iwe mahari,tafsiri yake unamuuza,na kama ni mimi nitalipa hiyo,baada ya hapo hatakaa amuone binti yake au mimi mkwe wao,
 
Huyo kijana ni mpumbavu wa daraja la kwanza.Pia nakulaumu wewe uliyetuletea hii habari,ilikuwaje ukamuacha aondoke na meno yake yote?
Wewe na huyo bwege mmedhalilisha uanaume.
 
Back
Top Bottom