Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Kero: Mahari sasa yageuzwa chanzo cha kipato

Binti kuzalishwa na kuachwaisha anakuja kijana anajitolea kumchukua pamoja na kuzalishwa kwake, inabidi mzazi asgukuru, na lakini hao ndo kwanza na mahali inapanda eti na ya uchafuzi😁😁😁, mtu hajakuta hata bikra na kabla ya mechi tayari 1:0, Yan m naona wao ndo ilibidi wampe posho kijana kawaondolea aibu.
 
Huyo kijana mpuuzi

Akikaa mtaan anailaumu serikali ajira hakuna tuishen wanafunz hawalipi vuzur

Lakn swala la.KUTOMBA kaona akope auze vitu vya ndan na kiwanja juu kaweka bond

Kwann hyo NGUVU ya kuuza vitu vya ndan na kuweka bond kiwanja angeihamishia kupata MTAJI WA BIASHARA ambao ungemhakikishia uhakika wa kufanya biashara vizur na kupitia hyo biashara angepata pesa ya kutoa mahali

Kwa umri wake wa miaka 25 angepambana kwenye biashara angekuwa mbali

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Staili hii ndio hufanyika kwa wapenzi wengi.

Familia za kimasikini zinachukulia Mahari kama sehemu ya kupata mtaji. Hawajui kuwa Binti akiolewa anawapa heshima wao
Wanamuongezea gundu binti yao maana tayari kawa singo mother na ana ujauzito wa mtu anaetaka kufunika aibu, bado wanaweka vikwazo vitavyomuumiza tena binti yao.
Baada ya kutemana na wife,nikaanza mchakato wa kutafuta toleo jingine kwa ajili ya kusongesha maisha kwani aliniachia watoto wa4 hivyo nilihitaji mtu wa kusaidiana nae nikapata binti fulani 18yrs lakini tayari ana mtoto 2yrs, nikaona isiwe tabu maana kuna kaundugu kwa mbali nikaona huyu atanifaa,posa nikatoa 60,000/=balaa ikaja mahali, nikaambiwa nitoe ng'ombe wa4 na mbuzi 6, ktk kujitetea mama akasema kama huna mahari hiyo muache mwanangu maana ww ndo mwenye shida ya kulelewa watoto, mama mzazi akaniplease mwanangu mchukue tu maadamu mahari utatoa nusu nyingine utamaliza taratibu, nikawaambia hamna shida kwa mahari hii mimi nataka mke tu mtoto abaki na bibi yake, nikajibiwa na mama mkwe huyu mtoto ni wako kama unataka mke na mtoto pia ni wako, ikawa shida kidogo maana baba wa mtoto aliyezaa na binti anamtaka mwanae wazazi wa binti hawataki wanasema aliyemtolea mahari binti ndo mwenye mtoto. Itaendelea
 
Angeongia mitini Kama akili azijawarejeaa wale wazaz badal washukuru mtu kajileta mwenyewe bila shurt wao wanaweka masharti.
 
Swala sio kulipa mahari. Swala ni kulipa milioni tatu cash, in full amount kama dau la mahari.

Hivi inaingia akilini unalipia mahari ya shillingi million tatu kwa mwanamke ambaye kwanza si bikra, pili ana mtoto, na tatu, hao wakwe huko mbeleni hatutategemeana kwani?!

Me nikilipia hiyo nabeba familia yangu nduki, wasinitafute kwa lolote isipokuwa salamu tu na kujuliana hali.
Umelazimishwa kulipa mahari?
 
Baada ya kutemana na wife,nikaanza mchakato wa kutafuta toleo jingine kwa ajili ya kusongesha maisha kwani aliniachia watoto wa4 hivyo nilihitaji mtu wa kusaidiana nae.nikapata binti fulani 18yrs lakini tayari ana mtoto 2yrs,nikaona isiwe tabu maana kuna kaundugu kwa mbali nikaona huyu atanifaa,posa nikatoa 60,000/=balaa ikaja mahali,nikaambiwa nitoe ng'ombe wa4 na mbuzi 6,ktk kujitetea mama akasema kama huna mahari hiyo muache mwanangu maana ww ndo mwenye shida ya kulelewa watoto,mama mzazi akaniplease mwanangu mchukue tu maadamu mahari utatoa nusu nyingine utamaliza taratibu,nikawaambia hamna shida kwa mahari hii mimi nataka mke tu mtoto abaki na bibi yake, nikajibiwa na mama mkwe huyu mtoto ni wako kama unataka mke na mtoto pia ni wako,ikawa shida kidogo maana baba wa mtoto aliyezaa na binti anamtaka mwanae wazazi wa binti hawataki wanasema aliyemtolea mahari binti ndo mwenye mtoto. Itaendelea
Ulistahiki uchumbie Binti mkubwa kidogo zaidi ya huyo wa miaka 18 maana umri huo bado sio mkomavu wa kuvumilia mikwaruzo ya kwenye ndoa na atakuwa na tabia za kufanana na watoto wako.

Kwa story yako ni wazi hao wazazi wa huyo binti waliona muhitaji mkubwa wa kupata msaidizi ulikuwa wewe kwa kuwa una watoto wengi kuliko binti yao ndio maana wamepata uthubutu wa kuweka vikwazo.
 
Inaendelea.

Baada mzozo kati ya baba wa mtoto na ndg wa binti,ikaamriwa binti aondoke na mwanae kuja ninakoishi ili kufanya taratibu za ndoa,baada ya kuwasili kwangu siku tatu nikaanza kupigwa pesa,kumbuka wakati huo mahari sijatoa hata buku,ikaja taarifa mama mkwe kadondoka kilabuni hivyo natakiwa nitume 30,000/= ya kumtibia,nikamwambia binti hivi mama ameenda kunywa pombe za kienyeji kaumia ni lazina mm nimtibie? Binti akanikata jicho siku nzima amenuna,nikawa simwelewi binti muda wt anaongea na simu nikiwepo snatoka hatua kidogo ndo anaongea na simu.

Nikaona haina shida nikapita sehemu nikanunua memory card 8Gb nikaipachika kwnye simu ya binti nikaiset auto record,baada ya siku tatu nikaitoa kwny simu yake nikaiweka kwa simu yangu,mambo niliyoyakuta humo ni balaa tupu,wanamjaza maneno 'huyo mwanaume asikusumbue yy ndo mwny shida kukuacha hawezi,ukiona haeleweki au hataki kusaidia nyumbani kwenu wewe mnunie hata wiki nzima hana ujanja huyo',wengine wanamwambia jitahidi akupachike mimba ndo utakuwa na uhakika.

ila kusema ukweli yule bint kitandani sijawahi kutana na mwanamke gaidi kitandani kama huyu binti yaani mnaweza mkatiana mpaka ukahisi shahawa zimeisha aisee,ukitoka job ukifika chumbani tayari kafunga mlango mboo mdomoni hujakaa sawa tayari kaishaipachika sehemu yaani ilikuwa ni shida,ukimweleza nimechoka ngoja nipumzike atasusa kuwa umetoka kwa hawara zako ndo waliokuchosha,.

Basi bwana tukaendelea na maisha ya wiki kasusa wiki mambo mambo mazuri,alichokuja kuharibu ni kuanza kunyanyasa watoto wangu yaani hapo ndo nikaamua kuwajulisha wazazi wake jambo lililopelekea zoezi la kususa wiki mbili mfululizo.

Baada ya muda akaanza kudai nimrudishe kwao,nikajua kama kawaida mm ndo mwenye shida nikawa nimeuchuna,nikaja pigiwa simu na mama yake mzazi ananiuliza huyu mfanyakazi wako unamrudisha lini? Kitendo cha kuniuliza mfanyakazi wako badala mke wako kiliniuma sana.Kumbuka lengo ni kunitikisa kama walivyokubaliana,nikamjibi sina nauri asubiri mwisho wa mwezi nitamrejesha,akanijibu hovyo nikapotezea.

Jioni hiyo nikawaza huu ujinga hadi lini? Nikapata jibu huyu binti kesho alfajr namsafirisha ghafla kumrejesha kwao bila kutoa taarifa kwao.

Itaendelea.
 
Doooohhh huyo kijana karogwa siyo bure, mwanamke uliyempa mimba na bado unalazimika had kuuza vtu na kukopa kulipa mahari?

mimi binafsi ningeghairi, na wangeniita tena ningewaambia nina milion 1 tu

bint alishazalishwa na ana mimba juu ndo unikomoe ktk mahari?

Amejiendesha kwa hisia mno
 
Binti kuzalishwa na kuachwaisha anakuja kijana anajitolea kumchukua pamoja na kuzalishwa kwake, inabidi mzazi asgukuru, na lakini hao ndo kwanza na mahali inapanda eti na ya uchafuzi[emoji16][emoji16][emoji16], mtu hajakuta hata bikra na kabla ya mechi tayari 1:0, Yan m naona wao ndo ilibidi wampe posho kijana kawaondolea aibu.
[emoji28][emoji28]kwaiyo kijana apewe posho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kijana wa Miaka 25, shahada ya Ualim, ila hakubahatika kupata ajira rasmi.

Amejiajiri kwa kufungua twisheni za mitaani na kabahatika kupata mchumba ambae ni binti wa Miaka 21 ( Ila tayar ana mtoto wa Miaka 3). Amedumu kwenye mahusiano na binti kwa mwaka mmoja tangu Desemba 2020 na Sasa na mwezi Januari 2021 alishika ujauzito wake. Ambapo kwa Sasa anamimba yenye miez 5, kijana akaona afanye mchakato wa kuanza Kuishi rasmi pamoja na binti.

Kaandika barua ya uchumba ukweni imepelekwa na imekubaliwa, majibu yamerudishwa vimeorodheshwa vitu kadhaa na pesa taslim ambazo ukijumlisha inakuja jumla ya 4,600,000 (million 4 na laki 6)

Kijana akazungumza na mshenga kua icho kiwango Ni kikubwa na hawez kabisa kukimudu, mshenga kamshauri asiogope Ayo yanazungumzika na kitapunguzwa Sana watakapoenda kutambulishwa.

Siku ya kutambulishwa maongezi ya punguza yanaendelea, ila Mwisho kabisa wazazi na Ndugu wa MKE wakaishia milioni 2 taslimu (million 1 kwa ajili ya mahari na million 1 Ni faini ya uchafuzi- kuzalisha kabla ya kuoa ). Na mkaja wa mama laki 5 na vitu mchanganyiko vinavyogharimu laki 7. Jumla vyote unapata million 3 na laki 2.

Kijana kasema yeye hicho kiwango hana na hawezi kupata kabisa kwa sasa, kwa kazi anayofanya haimruhusu kabisa kupata kiasi icho. Akasema yeye alijiandaa kwa million 1 na laki 5 kwa Mambo yote.

Mshenga akaliwasilisha kwa Wazee, Wazee wakasema "ilo haliwezekani kijana maana kwenye ukoo wetu hamna mtu ameolewa chini ya million 2 mahari na vitu vyetu, iyo umependelewa kutokana na uchumi Wako Kama alivyotuambiwa na binti yetu"

Kijana akakubali ila akaomba alipe kwa awamu, 1.5million afu baadae atamalizia 1.7million. Wazee Nalo wakakataa kata kata kua hamna cha kupunguza hapo, labda akajipange KWANZA akiwa tayari aje

Kijana amepanik, Ameondoka amemuacha binti kwao na anazunguka uku na kule Anaomba akopeshwe pesa ili akamilishe zoezi. Kaja KWANGU kwetu Kama watu wake wa karibu tumsaidie kwa Hali na mali kakamilisha zoezi lake ili alilokwisha lianza. Kaniomba nimsaidie au nimkopeshe kiasi icho, Kiukweli nafsi yangu imegoma kabisa na nimemwambia kabisa kua yeye Ni rafki yangu ila kumchangia suala Hilo maana naona anajitwika mzigo mkubwa wkt uwezo wake ni mdogo.

Kuna vipaumbele vingi vya Ela ila sio kwa ilo, ila Kama uwezo anao apambane mwenyewe tutamsapoti kwa vingine.

Kijana
Amepambana kwa kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani Kama laptop, dressing table na stendi ya viatu. Jumla vyote kauza kapata laki 5 na 50.

Amepambana tena ameenda Kwenye taasisi flani izi za mitaani ya kukopesha fedha, ameweka bond kiwanja alichaochiwa na marehem mama ake mzazi kwa ajili ya mkopo wa 1.3 million kwa miezi 6. Kaniomba nikamdhamini, na kiroho Safi nimemdhamini na mkopo kapata chap kaenda kumaliza zoezi lake.

Ila baada ya kijana kuondoka NIMEBAKI NA MASWALI YAFUATAYO KICHWANI:

1. mahari Ni malipo ya shukrani kwa wazazi kwa kumtunza vema binti yao.
-Inakuaje kijana alazimishwe kulipia mahari kubwa kwa binti ambae alimkuta bila bikra?
Kibaya Zaid binti alishazalishwa kabla.

2. Inakuaje kijana atozwe faini ya uchafuzi wakati binti mwenyewe tayar alikua keshazalishwa hapo awali na binti tayar alikua na mtoto mkubwa? Maana Ake iyo mimba ya jamaa inakua ni mimba ya pili kwa uyo binti?

3. Wazee inakuaje wang'ang'anie binti yao hawezi kuolewa na kijana bila kumaliza kabisa mahari wakati wanaona kabisa kijana uwezo wake kiuchumi Ni mdogo?

4. Wamechukua hatua gani kwa kijana aliemzalisha binti yao hapo kabla ya kulipa mahari?

5. Wazee, je Binti yao amegeuka bidhaa ya kuuzwa kiasi kwamba lazima awekewe kiwango maalum Cha gharama za kuolewa rasmi, na isipofikiwa Basi haiwezekani? Yaani eti "Hakuna binti yetu yoyote ameolewa kwa mahari chini ya mil 3"

6. Kijana anajiskiaje anapokua na mke ndani ambae ameingia madeni na gharama za kuuza vitu vyake kwa hasara ili mradi amuoe? Yaan una MKE ambae umepata kwa gharama,madeni na Maumivu makali sana?

7. Itakuaje endapo atashindwa kurejesha Deni ndani ile miez 6 na kiwanja Cha urithi kichukluliwe kisa Ela ya ule mkopo ulienda kulipia mahari ya kuoa MKE?

8. Binti alishindwa Nini kusimama na mwanaume wake kusimama na yeye pamoja kumtetea dhidi ya Wazee wenye tamaa ya Ela ya mahari?

Kiukweli, ili suala limeniacha na sintofahamu nyingi kwa jamii zetu hizi kuhusu ustaarabu na mtizamo wao Kwenye suala Zima la Utoaji wa mahari.
Sasa kanjibai hayo maswali usituulize sisi nenda kawaulize hao wazazi wa huyo binti ambae unataka kumuoa.
Usituchoshe akili kututwanga maswali yote na kututaka tukujib as if sisi ndio wakweo watarajiwa(yaan wazazi wa huyo mchumba wako)
 
Huyo rafiki yako mpumbavu sana. Tena sana sana sana. Lofa wa mwisho kabisa. Na huyo binti hana akili.

Ningekua ndo kijana nimeshachapa zangu mimba nasepa. Bakini na litoto lenu. Yaan hiyo fine ndo ujinga kabisa. Kama alizalishwa na akaachwa nini sababu ilifanya atemwe? Familia za kimasikini tatizo sana. Niko against na mahari sana. Mkaja wa mama ndo nadhani kitu cha thamani. Mengine mbwembwe tu.
 
Back
Top Bottom