Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Hebu weka msitari kwenye biblia unaosema majini wote ni waovu,ukimaliza weka Aya 'nyingi' za Qur'an zilizokopiwa kwenye biblia,ukimaliza tanabahisha ikiwa Musa,Ibrahim nk walikua wakiristo,ukimaliza toa msitari wa biblia yesu kakaa kwenye mabenchi kanisani akifanya au akiongoza Ibada,halafu useme majini wameumbwa na nani!?
 
Tukiwa wadogo Kuna siku kaka etu mtoto wa baba mkubwa alitupeleka TAG
Jumapili Moja kusali bila idhini ya Baba mzazi..

Baba mzazi jioni Ile alimgombeza na ku mkoromea sana bro na akampa marufuku aachane na sisi maana sisi ni KKKT
 
Tukiwa wadogo Kuna siku kaka etu mtoto wa baba mkubwa alitupeleka TAG
Jumapili Moja kusali bila idhini ya Baba mzazi..

Baba mzazi jioni Ile alimgombeza na ku mkoromea sana bro na akampa marufuku aachane na sisi maana sisi ni KKKT
Sasa hivi ulokole mwingi sana
 
Kwa hiyo
Kiongozi majukumu y kifamilia Ndio yanakuzuia kuingia kwenye mahusiano sio! Basi tatizo ni wewe na roho Yako ya uzinzi...KKKT wanaingiaje hapo!
 
Kwa hiyo

Kiongozi majukumu y kifamilia Ndio yanakuzuia kuingia kwenye mahusiano sio! Basi tatizo ni wewe na roho Yako ya uzinzi...KKKT wanaingiaje hapo!
Unajua nimepunguza makali tu hii kitu. Actually Inakela wengi sana.
 
Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Ushauri mujaaaarabu kabisa huu
 
Ongea na uongozi wa kanisa mkae upande tofauti Wakatoliki wanawake na wanaume ukaa upande tofauti tofauti
 
unazungumzia kama pale kwa nabii Tito 😳
 
Ukisha kuwa kondoo hakuna kitu utaweza fanya utageuzwa geuzwa kama chapati.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili limetokea leo ibadani… nahisi pia ni njia ya kufanya watu wasinzie wakati wa mahubiri
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili limetokea leo ibadani… nahisi pia ni njia ya kufanya watu wasinzie wakati wa mahubiri
Hujakaa na mkaka handsome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…