Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

ni ushamba tu hata haisaidii kitu. binafsi huwa sipendi na huwa sifanyi hata kama maelekezo yatatolewa namna hiyo. mara tushikane mikono, siku moja mmama mmoja akanishika kwelikweli, kumbe alikuwa single mother na wife anamfahamu, nadhani ile kumshika alikuwa sijui ana siku nyingi sana, nikaona haachii mkono na anafurahia kwelikweli kuushika. wife alikuja akakaa upande wa pili akatutenganisha, na yeye akahama siti baada ya kuona wife hajafurahishwa. mnachotakiwa kujua, sio wote wanaenda makanisani wanafuata Neno la Mungu, wapo wengine wametumwa na shetani kabisa kwenda kuvuruga ibada (wachawi), wapo wengine wamejiuza sana mtaani huko wamechoka sasa pale wanajifanya wametulia ili wapate bwana wa kuzeeka naye, na wapo wale wanaomtafuta Mungu kabisa.

uzuri ni kwamba, Mungu huangalia moyo na wale wanaomtafuta kwa moto tu ndio huwa anaonekana kwao, wale wanaoigiza hurudi na maigizo yao na motoni wataenda. Biblia inasema nawapenda wale wanipendao na wale wanitafutao kwa bidii wataniona, pia inasema, nanyi mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote. Mungu hapatikani kirahisi rahisi tu mara ohh tushikane mikono tuombe sijui nini, tafuta Mungu kwa roho yako yote toka ndani ya kilindi cha moyo wako na chukia dhambi na kuikimbia, soma Neno la Mungu na uwe mtu wa maombi, hapo ndipo utakapo mwona.
Ni kweli, anayejiita Nabii mkuu ametoa ofa ya wanawake wanaojiuza hapa Arusha mjini wale wa maeneo ya Mrina na Shivaz waende Kama walivyo (half naked) atawapatia ruzuku / msaada na waumini wote wakalipuka kwa vifijo ... Nimetafakari Sana hili Jambo nakugundua makanisa mengi ni masinagogi yasiyo rasmi na serikali Wala hawajatoa neno ..
 
ni ushamba tu hata haisaidii kitu. binafsi huwa sipendi na huwa sifanyi hata kama maelekezo yatatolewa namna hiyo. mara tushikane mikono, siku moja mmama mmoja akanishika kwelikweli, kumbe alikuwa single mother na wife anamfahamu, nadhani ile kumshika alikuwa sijui ana siku nyingi sana, nikaona haachii mkono na anafurahia kwelikweli kuushika. wife alikuja akakaa upande wa pili akatutenganisha, na yeye akahama siti baada ya kuona wife hajafurahishwa. mnachotakiwa kujua, sio wote wanaenda makanisani wanafuata Neno la Mungu, wapo wengine wametumwa na shetani kabisa kwenda kuvuruga ibada (wachawi), wapo wengine wamejiuza sana mtaani huko wamechoka sasa pale wanajifanya wametulia ili wapate bwana wa kuzeeka naye, na wapo wale wanaomtafuta Mungu kabisa.

uzuri ni kwamba, Mungu huangalia moyo na wale wanaomtafuta kwa moto tu ndio huwa anaonekana kwao, wale wanaoigiza hurudi na maigizo yao na motoni wataenda. Biblia inasema nawapenda wale wanipendao na wale wanitafutao kwa bidii wataniona, pia inasema, nanyi mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote. Mungu hapatikani kirahisi rahisi tu mara ohh tushikane mikono tuombe sijui nini, tafuta Mungu kwa roho yako yote toka ndani ya kilindi cha moyo wako na chukia dhambi na kuikimbia, soma Neno la Mungu na uwe mtu wa maombi, hapo ndipo utakapo mwona.
Yaani wewe ndio yamekukuta kabisa
 
Ni kweli, anayejiita Nabii mkuu ametoa ofa ya wanawake wanaojiuza hapa Arusha mjini wale wa maeneo ya Mrina na Shivaz waende Kama walivyo (half naked) atawapatia ruzuku / msaada na waumini wote wakalipuka kwa vifijo ... Nimetafakari Sana hili Jambo nakugundua makanisa mengi ni masinagogi yasiyo rasmi na serikali Wala hawajatoa neno ..
Hehehe
 
Kwamba Allah anahitaji msaada wako
Hivi nyinyi mnaoeneza dini ya uislam mumepata wangapi. Ngumu sana kuwa mwislamu. Ni rahisi sana mfano Mimi Kuku akifa nakula. Kitimoto nakula ghafla niache mnamatatizo. Kila mtu abakie na dini yake na tumeishi hivyo miaka mingi ikifika muda wa kuabudu kila mtu aende kwake.
 
Ni kweli, anayejiita Nabii mkuu ametoa ofa ya wanawake wanaojiuza hapa Arusha mjini wale wa maeneo ya Mrina na Shivaz waende Kama walivyo (half naked) atawapatia ruzuku / msaada na waumini wote wakalipuka kwa vifijo ... Nimetafakari Sana hili Jambo nakugundua makanisa mengi ni masinagogi yasiyo rasmi na serikali Wala hawajatoa neno ..
huyo nabii anayejiita mkuu, sikuliza sana mahubiri yake, utagundua anajizuia kutaja Jina la Yesu, kwasababu lina moto. anatumia jina lake na nguvu zake binafsi. na amekuwa mmoja wa watu wanaopinga Biblia anasema imekosewa na anasema wakristo wamedanganywa na wamisionari toka ulaya waliyoiandika, yet bado anaendelea kuitumia hiyo hiyo na bado anaendelea kujiita Mkristo muumini wa hiyohiyo Biblia. anahcofanya ni sawasawa na anachokifanya yule nabii wa uongo Ceaser mume wa grace zoazoa, wale walokuwa wanasapoti ushoga hadi kikanisa chao kikafungwa. nao wanalipia kabisa maudhui hewani kwenye kitivii chao cha TOP PLUS ili wawe wanageuza maneno ya Mungu, kila wanachofanya wanapinga Biblia na wakati huohuo wanasema wanaiamini. hawa ndio manabii wa uongo, wengine ni mashetani kabisa yamevaa miili ya watu wao tayari wameshaijua ijara yao kwamba ni watu wa motoni ndio maana wanaweza kufanya matendo ya ajabu kabisa bial kuona hata aibu kwasababu wametumwa na shetani kufanya hivyo.
 
huyo nabii anayejiita mkuu, sikuliza sana mahubiri yake, utagundua anajizuia kutaja Jina la Yesu, kwasababu lina moto. anatumia jina lake na nguvu zake binafsi. na amekuwa mmoja wa watu wanaopinga Biblia anasema imekosewa na anasema wakristo wamedanganywa na wamisionari toka ulaya waliyoiandika, yet bado anaendelea kuitumia hiyo hiyo na bado anaendelea kujiita Mkristo muumini wa hiyohiyo Biblia. anahcofanya ni sawasawa na anachokifanya yule nabii wa uongo Ceaser mume wa grace zoazoa, wale walokuwa wanasapoti ushoga hadi kikanisa chao kikafungwa. nao wanalipia kabisa maudhui hewani kwenye kitivii chao cha TOP PLUS ili wawe wanageuza maneno ya Mungu, kila wanachofanya wanapinga Biblia na wakati huohuo wanasema wanaiamini. hawa ndio manabii wa uongo, wengine ni mashetani kabisa yamevaa miili ya watu wao tayari wameshaijua ijara yao kwamba ni watu wa motoni ndio maana wanaweza kufanya matendo ya ajabu kabisa bial kuona hata aibu kwasababu wametumwa na shetani kufanya hivyo.
Biblia ni kitabu kinakunyenyekesha kwa Mungu. Ukitafuta vitu positive utavipata ukitaka negative utavipata
 
Umesaha na ile, muangalie mwenzako usoni, mi huwa sifanyi matendo hayo nabaki nimetulia tu.
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
...Kama ulifuata Kusali TU, Hata unshikana Mkono na Mii World usingemuona na ungeona Muumini Mwenzako TU wa Kawaida.
Lakini Kwa sababu ulikwenda na Akili nyingine, ulipomshika TU Mkono, Ibada yote ikakutoka na ukaona Mwanamke Mzuri huku una Mkeo Mzuri Nyumbani !
Maandiko yanasema Ukimtamani TU Umekwisha kuzini naye na kutanda dhambi !
Shindwa na Ulegee.
Utabadili Makanisa mengi...!!![emoji57][emoji57][emoji57]
 
Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Mkeo kakaa kushoto, unaambiwa geukia kulia
 
Hizo kero unazozipata chanzo chake ni shetani. So huwezi kum-exclude kwenye mada kama hizi. It's a multidimensional aspect.
Unapiga siasa tu. Hakuna mtu amefika mninguni akarudi akasema dini ya kweli ni ipi. Muabudu Mungu ulipo au unaona una Amani.
 
Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Kwani bibilia inasemaje, kama hayo sio mafundisho ya bibilia si muwaambie hao wachunaji wenu.
 
Back
Top Bottom