Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Yaani akasali sehemu Moja na Majin(a.k.a mashetani) wamwombe Mungu mmoja? Yaani hapo ndio unamdumbukiza shimoni kabisa
Ila sijawahi kusikia waislamu wakikemea mapepo au majini msikitini,nadhani huko kwao hakuna hayo mapepo au majini,ila kwenye baadhi ya makanisa sio yote ndo hukemea mapepo au majini na waumini baadhi hudondoshwa nayo kwa sababu yapo makanisani kwao.
 
Muangalie jirani yako, mshike kwa mikono, muangalie ndani ya macho na mwambie.....nasinzia nikikuwaza, kila siku ya kalenda😆
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratik

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Siyo kweli, wazinzi wawili mlikutana mkaacha kusali mkafuata mawazo yenu.
 
May Allah Almighty guide you!!! Majini ni viumbe kama wewe ulivyoumbwa!! Wapo wema na wapo WAOVU kama ilivyo kwa Wanadamu!!!!

Wewe timiza jukumu na wajibu wako KWA MOLA WAKO na VIUMBE WENGINE NAO WATATIMIZA WAJIBU WAO KWA MOLA WAO!!!

[6.130] O assembly of jinn and men! did there not come to you apostles from among you, relating to you My communications and warning you of the meeting of this day of yours? They shall say: We bear witness against ourselves; and this world's life deceived them, and they shall bear witness against their own souls that they were unbelievers.

Majini yanakuaje mema sawa sawa na uambiwe kuna vibaka wema[emoji28][emoji28]
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Naunga mkono hoja mhe. nenda kakae na timu yako vizuri hili nalo mkalitizame
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?


My beautiful Tanganyika!


Kwamba ‘mamlaka’ zichukue hatua dhidi ya hisia zako za kingono?! (za mapenzi ana miliki mkeo)




Katika adventures zenu tafadhalini sana muwe mnakumbuka kwamba mna watoto wanaowategemea ninyi Kama Viongozi wao na msingi muhimu wa maisha yao. Mkipotea ninyi mnawapoteza na watoto.
 
Ila sijawahi kusikia waislamu wakikemea mapepo au majini msikitini,nadhani huko kwao hakuna hayo mapepo au majini,ila kwenye baadhi ya makanisa sio yote ndo hukemea mapepo au majini na waumini baadhi hudondoshwa nayo kwa sababu yapo makanisani kwao.
Wewe unaweza kumkemea na kumfukuza ndugu yako? Wale wanaamini na zipo Aya kabisa zinathibitisha hilo kuwa majini ni Waislam na wote husali sehemu Moja, hivyo adhana ikipigwa na majini mbio kwenda kutawadha kuingia msikitini tofauti tu ni kwamba hawaonekani, ila ukiendelea kuwa mbobezi katika hicho kitabu Cha Aya za kiarabu UTAKUWA na uwezo wa kuyaita, kuyatengeneza kwa formula, kuyatumia katika uhalifu( kuiba, chuma ulete), kulogea watu na kutibu watu. Wao wanaamini majini yaliumbwa separate na malaika na wanasema yapo mabaya na mazuri kama ilivyo binaadamu. Lakini ukweli ni kwamba majini yote ni mashetani kwa sababu mkuu wao alikuwa mmoja wa malaika aka hadi Mungu wakapewa adhabu ya moto wa milele na wamekuja duniani kutafuta wafuasi
 
Wewe unaweza kumkemea na kumfukuza ndugu yako? Wale wanaamini na zipo Aya kabisa zinathibitisha hilo kuwa majini ni Waislam na wote husali sehemu Moja, hivyo adhana ikipigwa na majini mbio kwenda kutawadha kuingia msikitini tofauti tu ni kwamba hawaonekani, ila ukiendelea kuwa mbobezi katika hicho kitabu Cha Aya za kiarabu UTAKUWA na uwezo wa kuyaita, kuyatengeneza kwa formula, kuyatumia katika uhalifu( kuiba, chuma ulete), kulogea watu na kutibu watu. Wao wanaamini majini yaliumbwa separate na malaika na wanasema yapo mabaya na mazuri kama ilivyo binaadamu. Lakini ukweli ni kwamba majini yote ni mashetani kwa sababu mkuu wao alikuwa mmoja wa malaika aka hadi Mungu wakapewa adhabu ya moto wa milele na wamekuja duniani kutafuta wafuasi
Ulishawahi kumuona muislamu anapiga kelele msikitini ana mapepo au majini?
Kwa nini nijishughulishe na kitu ambacho hakinidhuru na ni kiumbe kama viumbe wengine.

Na baadhi ya makanisa japo sio yote,hata wakatoliki au warutheri sijawahi kuona waumini wakipiga kelele ya kukumbwa na mapepo au makanisa hayo kukemea mapepo kanisani,

Ina maana na wao mapepo au majini ni ndugu zao ndo maana hawayakemei?
 
Huku kwetu kwa waislamu huwezi kukuta wanawake wanachanganyika na wanaume katika ibada. Na hii ndivyo ilivyofanywa na manabii wote waliotangulia hata katika vitabu vya Taurat na Injili na Zaburi ndio hivyo hivo wanawake wanakaa sehemu yao na wanaume sehemu yao.

Lakini Ukristo wa sasa umefanyiwa maboresho kwa jinsi watu wanavyotaka wao na ndio mana utaona hata kuna wachungaji wanawake..
Kisome kitabu chako vizuri utaona hata Yesu alikuwa hachanganyikani na wanawake kama mnavofanya nyie..
 
Dah kwa kweli mimi pia ni muumini wa KKKT ila hili jambo la kuambiwa mgeukie jirani yako msalimie huwa silipendi.
Ni mambo ya kipumbavu kabisa. Mara sijui sema.......... Utadhani mle wamejaa watoto wa chekechea. Wahubiri wa ajabu sana hawa.
 
Hayo ya Mungu mlezi mkadanganyane huko masdij na kitabu chenu. Sisi tuna Mungu original sio mlezi
Unarejea Aya za kitabu hicho ambacho ujio wake ndio umeleta upotoshwaji huu mkuu? fikiria, mtu anaibuka miaka 500 baada ya kristu, anadai eti kadhushiwa kitabu ambacho Aya zake nyinginzinapotosha ambayo tayari yalikuwa yameandikwa kwenye biblia.Anakuja kuhalalisha kuwa makini ni viumbe wazuri wakati biblia ilishatbua kuwa makini yote ni mashetani hata yskijifanya mema, miradi yote wanayofanya kwa mwanadamu ni kumteka mwanadamu huyo, Kuna nini Cha kutafakari kwenye dini hiyo? Wewe wadhani dini inayokubali makini Mungu wao ni nani,? wewe wadhani kitabu ambacho kinawatbua makini na kuweka Aya kibao za makini kwenye kitabu hicho, mwandishi wake ni nani? Tafakari chukua hatua. Ila ukiendelea kuwa na UBONGO wa kukaririshwa zile Aya kwa viboko na kuimba huko madrasa kwamba kilishushwa halafu tena kilikuwepo tangu zamani utaendelea kuamini hivyo hivyo .Ogopa Sana elimu yoyote ya kukaririshwa hupofusha matumizi ya UBONGO wako

[emoji23][emoji23][emoji23]acha hasira mbona sie wenye dini hatulalamiki kila cku nyie tuh
Afu suala la majini ni kama binadamu kuna wabaya na wazuri
Na binadamu ndio kiumbe mwenye shida hapa duniani ebu jiangalie wewe unachuki kwa watu wasio na time na wewe
 
Ni kweli hana mshirika ni mmoja. Je kuna Jiwe lingine jeusi si ni lile moja mnalisujudia na kuliabudu? View attachment 2744688

(Watu wangu wataangamia kwa kukosa maarifa)
Mkuu maarifa ni muhim kitu hukijui kisome au uilize hilo sio jiwe
Alafu hio nyumba ilianza kujengwa na Ibrahim ambae nyie mnamuita Abraham
Sasa nyumba amabayo kajenga mtume ambae nyie pia mna mkubali leo hii unaiita jiwe? [emoji23][emoji23]
 
(Watu wangu wataangamia kwa kukosa maarifa)
Mkuu maarifa ni muhim kitu hukijui kisome au uilize hilo sio jiwe
Alafu hio nyumba ilianza kujengwa na Ibrahim ambae nyie mnamuita Abraham
Sasa nyumba amabayo kajenga mtume ambae nyie pia mna mkubali leo hii unaiita jiwe? [emoji23][emoji23]
Hi
 
Silimu uwe muislam before it's too late
It will gonna help nothing, Kama ni mzinzi huko ndiyo ataoa na kuacha kila siku, solution ni kuzikabili tamaa za mwili,zinaa kwa mwanamke ni kama pesa tu, there is no a vocabulary ENOUGH, when it comes to desires of women, especially mizigo in sheikh kipozeo's voice!
 
Kabisa.....mie ilitokea....[emoji55][emoji55]ati mwangalie jirani yako kama amenuna......sijui nini nini......[emoji51][emoji51][emoji51]aisee...kidogo nimtie mtu makofi....bakhti yake...aliomba samahani....na hakunigeukia tena[emoji19][emoji19][emoji19]
Punguza matumizi ya cannabis unapoenda kanisani kwako [emoji1787]
 
Nawaona wavivu wa ibada wanavyopigilia msumali,hoja, ile ni mbinu ya kuwafanya watu wasipoteze concentration of the service [emoji91]
 
Back
Top Bottom