Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Kero Makanisani: Mwambie mwenzako, mshike mkono mwenzako, mkumbatie mwenzako. Haya maneno chanzo cha michepuko mipya Kanisani

Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
Naunga mkono hoja🙏
 



ORIGINS OF THE BIBLE

Tradition credits Moses as the author of Genesis, as well as the books of Exodus, Leviticus, Numbers and most of Deuteronomy;

however, modern scholars, especially from the 19th century onward, place the books' authorship in the 6th and 5th centuries BC, hundreds of years after Moses is supposed to have lived.
[3][4]

Based on scientific interpretation of archaeological, genetic, and linguistic evidence, most mainstream Bible scholars consider Genesis to be primarily mythological rather than historical. ---sourse -Wikipedia


Ukitaka zaidi soma kitabu hiki

https://www.cia.gov/library/abbottabad-compound/05/05FE5F5794F40677F5E7497B2F765530_The Bible,The Qur'an & Science.pdf
 
ORIGINS OF THE BIBLE

Tradition credits Moses as the author of Genesis, as well as the books of Exodus, Leviticus, Numbers and most of Deuteronomy;

however, modern scholars, especially from the 19th century onward, place the books' authorship in the 6th and 5th centuries BC, hundreds of years after Moses is supposed to have lived.
[3][4]

Based on scientific interpretation of archaeological, genetic, and linguistic evidence, most mainstream Bible scholars consider Genesis to be primarily mythological rather than historical. ---sourse -Wikipedia


Ukitaka zaidi soma kitabu hiki

https://www.cia.gov/library/abbottabad-compound/05/05FE5F5794F40677F5E7497B2F765530_The Bible,The Qur'an & Science.pdf
Kwa hiyo unataka niamini kuwa zilikuwa ni myth?
 
R
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
 
Mimi ni muumini wa kanisa la KKKT, sasa Kuna Shida Moja inanisumbuaga Kanisani ni pale Mchungaji anakuwa anahubiri mara ghafla anakwambia mgeukie mwenzako au Mshike mkono Mwenzako.

Yaani unageuka unakutana na mdada mzuri mweupee ana shepu pale pale unahama Kanisani. Tena akiwa na yeye yupo interested mnahama wote Kanisani mnabadilishana number mnaanza kuchat.

Nimeliongea hapa kama Kuna ufumbuzi basi ufanyike wadada wakae siti zao.

Chupu niingie kwenye mahusiano ya mke wa mtu. Maana huyu mwanamke kanisave mchungaji wananipigia hadi usiku akiwa na mumewe mke wangu anapokea. Mke wangu hanielewi anadhani nimetembea naye. But sijatembea naye nilichokifanya siendi tena kanisani maana chat zetu zimefikia hatua ya mahusiano wakati mimi na mke wangu tuna majukumu mengi sana ya familia nikiingiza mahusiano mapya na mwanamke yule mrembo na mwenye pesa lazima mke wangu mpenzi na familia itasambaratika.

Kama Kuna mamlaka yoyote ikae ijadili hili jambo. Kwanini mchungaji asihubiri tu bila hii kitu au kama anataka attention basi atusimamishe tukae au Tupige magoti?
RC hatuna ujinga huo,wanawake upande wao washikane huko na mapepo yao
 
Kanisani wananiona jau sana, maana wakisema mgeukie mwenzako, au mwambie jirani yako hivi au vile mimi sigeuki waka kumbambia mtu chochote, na nikigeukiwa Mimi sitoi ushirikiano, hata hivyo ibada za kikatoliki ni nzuri sana, huu ujinga hamna isipo kua ile kupeana mkono wa amani ambayo ni sehemu ya liturigia.
RC midume tupu majini upande wao hakuna ujinga nusunusu
 
Ingekuwa Jambo la maana Kama ungekuwa unaambatana na familia yako Kila siku ya ibada na mkae sehemu moja ili mchungaji akisema msalimie wa pembeni yako ukutane na mkeo.
Mkeo anaweza akageukiwa pia
 
Kweli ni ninii?fanya unaposema hii ni Kweli na si Kweli unamaanisha Nini?unatumia vigezo gani kuulezea Kweli?

Jesus said, "To this end was I born, and for this came I into the world, to bear witness unto the truth. Everyone that is of the truth hears My voice. Pilate then said unto him, What is truth?" (John 18:37-38)

The first Truth and the foundation of all Truth is God - "God is the Truth (the Real)" (Qur'an 22:6). His right over His creation is above all other rights.


And He has created in accordance with His nature "We created not the heavens and the earth and what is between them but through the Truth (the Real - Haqq); and the hour will most surely come, so turn away (from the ignorant and heedless) with kindly forgiveness." (Qur'an 15:85)


And He has placed within each creature's essence a truth and a nature that can connect it with other truths. "Our Lord is He who gave each thing its creation, then guided it...." (Qur'an 20:50)


Through this nature, the Truth can connect with Truth - "Everyone that is of the truth hears My voice." (John 18:37)


By this connection and attraction, He (God) makes possible the connection between the ones who bring the Truth (the Prophets) and the ones who accept the Truth - "And he who brings the truth and (he who) accepts it as the truth...." (Qur'an 39:33) Those whose hearts are on the paths of the prophets, whose beings have a resonant identity with them, whose spirits are seeking congruence with theirs - they are the ones who accept the Truth.


And He sends Truth in the form of revelation, as guidance - "And with truth have We revealed it, and with truth did it come...." (Qur'an 17:105). This is why there is the potential for revelation to enact an alchemical transformation in the one who approaches its Truth with their own intelligent and honest sincerity.


And the Truth overturns falsehood, revealing falsehood's self-seeking and ephemeral nature - "We cast the truth against the falsehood so that it demolishes it, and lo! it vanishes away...." (Qur'an 21:18)
 
Jesus said, "To this end was I born, and for this came I into the world, to bear witness unto the truth. Everyone that is of the truth hears My voice. Pilate then said unto him, What is truth?" (John 18:37-38)

The first Truth and the foundation of all Truth is God - "God is the Truth (the Real)" (Qur'an 22:6). His right over His creation is above all other rights.


And He has created in accordance with His nature "We created not the heavens and the earth and what is between them but through the Truth (the Real - Haqq); and the hour will most surely come, so turn away (from the ignorant and heedless) with kindly forgiveness." (Qur'an 15:85)


And He has placed within each creature's essence a truth and a nature that can connect it with other truths. "Our Lord is He who gave each thing its creation, then guided it...." (Qur'an 20:50)


Through this nature, the Truth can connect with Truth - "Everyone that is of the truth hears My voice." (John 18:37)


By this connection and attraction, He (God) makes possible the connection between the ones who bring the Truth (the Prophets) and the ones who accept the Truth - "And he who brings the truth and (he who) accepts it as the truth...." (Qur'an 39:33) Those whose hearts are on the paths of the prophets, whose beings have a resonant identity with them, whose spirits are seeking congruence with theirs - they are the ones who accept the Truth.


And He sends Truth in the form of revelation, as guidance - "And with truth have We revealed it, and with truth did it come...." (Qur'an 17:105). This is why there is the potential for revelation to enact an alchemical transformation in the one who approaches its Truth with their own intelligent and honest sincerity.


And the Truth overturns falsehood, revealing falsehood's self-seeking and ephemeral nature - "We cast the truth against the falsehood so that it demolishes it, and lo! it vanishes away...." (Qur'an 21:18)
Hujajibu swali
 
Ulitaka nijibu vipi na nimekuonyesha hapo Truth ni kitu gani , au lugha huifahamu
Usijibu majibu ya wenzio,akili Yako wewe inaongeleaje kuhusu ukweli?achana na mambo ya Yesu "Mimi ni njia KWELI ma uzima"wewe ulivyoniambia Ile ndio Kweli nataka kujua hiyo Kweli unamaanisha Nini wewe binafsi.wewe si ni mwanazuoni
 
Back
Top Bottom