Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Habari wanaJF,
Ama kweli ule usemi wa ukichoka kero za nyumba za kupanga jenga yako bado inaniumiza mpka leo kwa vitabia flani ivi vya kiswahili huku kwetu changanyikeni ambazo sizielewi.
Kwanza hapa naamini kuna watakaosoma hii article ni wapangaji wenzetu wenye tabia hizi.
(1)Utakuta wadada mnakaa kwenye mlango wa choo, na viti kabisa bila ata aibu mtu ukingia lazima uwapige vikumbo,na shughuli yako ndani unafanya kwa kujibana..ukizingatia hakuna bomba la maji chooni ambalo ungeweza kuzugia sauti kubwa kwa kulifungulia maji kwa kasi
Badilikeni jamani.
(2)Tabia ya kupiga story chini ya dirisha la mtu pia inanikera sana,mnatunyima faragha ndugu zetu wenye tabia hizo.
(3)Kuna watu ikifika zamu yao ya umeme wanarudi usiku mnene kimya kimya baada ya wapangaji wote kulala.
(4)Na wale wahuni mnaofungulia mziki kama viziwi mida mibovu tunaomba mtusamehe.
Wapo watakao ona kama hii ni misamiati hapo juu kwakuwa wanajifanya wakishua wamezaliwa masaki,wengine wamekulia bush na wengine mayahaya wanajifanya walishajenga..huku 70% hapa tumepanga[emoji28][emoji849]
Share kero zako mbili zilizowahi kukuta kwenye nyumba za kupanga..
Ama kweli ule usemi wa ukichoka kero za nyumba za kupanga jenga yako bado inaniumiza mpka leo kwa vitabia flani ivi vya kiswahili huku kwetu changanyikeni ambazo sizielewi.
Kwanza hapa naamini kuna watakaosoma hii article ni wapangaji wenzetu wenye tabia hizi.
(1)Utakuta wadada mnakaa kwenye mlango wa choo, na viti kabisa bila ata aibu mtu ukingia lazima uwapige vikumbo,na shughuli yako ndani unafanya kwa kujibana..ukizingatia hakuna bomba la maji chooni ambalo ungeweza kuzugia sauti kubwa kwa kulifungulia maji kwa kasi
Badilikeni jamani.
(2)Tabia ya kupiga story chini ya dirisha la mtu pia inanikera sana,mnatunyima faragha ndugu zetu wenye tabia hizo.
(3)Kuna watu ikifika zamu yao ya umeme wanarudi usiku mnene kimya kimya baada ya wapangaji wote kulala.
(4)Na wale wahuni mnaofungulia mziki kama viziwi mida mibovu tunaomba mtusamehe.
Wapo watakao ona kama hii ni misamiati hapo juu kwakuwa wanajifanya wakishua wamezaliwa masaki,wengine wamekulia bush na wengine mayahaya wanajifanya walishajenga..huku 70% hapa tumepanga[emoji28][emoji849]
Share kero zako mbili zilizowahi kukuta kwenye nyumba za kupanga..