Kero nilizokumbana nazo kwenye nyumba za kupanga

Kero nilizokumbana nazo kwenye nyumba za kupanga

Basi mwenyewe unajikuta kila siku kupiga nyeto au na wewe una mke
Sikiliza wimbo wake niliurekodi sijui ni lugha gani!
Shairi linavyo toka kinywani kwa raha zake Timilfu [emoji7] "Tagile yose, tagile tagile yose...na mahum*** gose na mahu*** ...msipa wa mbud*** wasaa...[emoji8] kidogo nipige chabo!
Namuonyeshaga uso wa huruma lakini ananipotezea [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Sikiliza wimbo wake niliurekodi sijui ni lugha gani!
Shairi linavyo toka kinywani kwa raha zake Timilfu [emoji7] "Tagile yose, tagile tagile yose...na mahum*** gose na mahu*** ...msipa wa mbud*** wasaa...[emoji8] kidogo nipige chabo!
Namuonyeshaga uso wa huruma lakini ananipotezea [emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu
 
Wakati niko shuleni tulipanga geto moja na mwanangu tukawa tuna-share. Nyumba ilikua iko freshi japo ilikua ipo katika mazingira ya kiuswazi.

Kulikua na wapangaji wengine ambao asilimia kubwa walikua ni wanawake.

Kiukweli wale mademu walikua wazuri walionekana kutokea familia zile zakishua sana. Changamoto kubwa tu ambayo inanifanya nisiukumbuke hata uzuri wao ni pale walipoweka ngazi za chooni kua kijiwe chao cha stori

Kile kitendo kilinifanya nione kodi yangu kama naibiwa vile maana ilifikia wakati nilikua sifurahii kuishi maisha kwa kujibana kiasi kile.

Nikawa naenda chooni kwa timing yani mchana hunioni kwenda chooni ila ikifika midnight pale saa 8 usingizi umechanganya nikiwa nauhakika kua kila mtu kalala hapo mkushi ndio naibuka nanyata mdogo mdogo kuelekea eneo la penalt box

Nikiwa naendelea ku-uploads files kabla sija delete browser history katika hari ya taharuki nikastukizwa mlango umegongwa sauti ya kike inasema "mbona mlango mgumu hivi" kwa wakati ule na giza lile hakuwaza kua kutakua na mtu atayeweza kwenda chooni muda ule, hakujua niko ndani na nimeupiga komeo ya ndani kwa emergency kama hizi

Nami nikawa nimekula buyu kwasababu akijua tu kua ni mimi itakua msala kesho sitamuangalia hata usoni. Basi zile purukushani zake kuhangaika na mlango nikaona anadalili za kuwaalika wenzake wamsaidie.

Nikasema bora nusu shari kuliko shari kamili ikanibidi nijikoholeshe nikijua atasepa. Nikasikia "hii si sauti ya Scars jamani?"

Nikawa nimeishatolewa kwenye mchezo concentration zangu zote zikawa juu ya hii aibu ambayo iko mbele yangu. Ikanibidi ni kohoe tena nikasikia vishindo vya miguu vikitoka pale mlangoni nikajisemea bora kasepa na kesho nikimuona namlia buyu na akiniuliza ntabisha kua sio mimi

Baada ya dakika kadhaa natoka sasa nakuta amesimama mlangoni halafu taa inanipiga usoni...moyoni nikasema potelea mbali kama inakua wacha iwe tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahh mwanangu umenichekesha sanaaa, uyo dem nae kavu sanaa dah
 
Kuna mpangaji akiingia 6by6 na mkewe, ile mbuguma inavyo piga sound hata upandishe sauti redio haisaidi!
Hadi anatutamanisha! Yule mbuguma ni fundi kwa mashairi!
Kibaya anapiga mzigo jioni na asubuhi. Adhana ikianza ndio kama wanamuamsha....Daah!
hahah, unajua mbuguma ni ng'ombe ilochoka choka kwa tuliowah pita pita minada ya ng'ome uko
 
hahah, unajua mbuguma ni ng'ombe ilochoka choka kwa tuliowah pita pita minada ya ng'ome uko
Kila jamii ina tafsiri yake!
Kwetu ni mwanamke aliye zaa mara.2 anatafuta mtt wa.3
Hivyo ni mzoefu anakuelekeza hata mkao ili ufaidi[emoji38][emoji38]
Hata ukitaka kumuoa mahari yake ni kubwa[emoji38]
 
Jambo kama linavyojieleza ebu leo tuzungumze changamoto za nyumba za kupanga tunazokutana nazo na jinsi ya kupambana nazo mimi katika maisha ya kupanga changamoto kubwa aiseee umeme duh umeme ni shida kwakweli labda ukute kila mtu na Mita yake ya umeme bila hivyo ugomvi kila siku ebu nawe njoo na yako
 
Huu Uzi nadhani umo tayar humu,
Vibweka nyumba za kupanga, aliuleta mshana
 
upangaji wa fremu za biashara,mwenye fremu akiona unauza sana anafanya figisu akutoe kisha naye afanye biashara hiyo hiyo,mwishowe anachemsha anaipangisha tena.
 
Back
Top Bottom