Kero nilizokumbana nazo kwenye nyumba za kupanga

We jamaa bhna.........unatuambiaje tuliokuwa tunanguo rasmi(sare) za kwenda kukat gogo yahn ukiona nimevaa hzo sare mkulungwa jua naenda kunya mavi yahn na mchana kweupe kabisa mbele ya wamama na kuwatania ngoja tukajaze choo tutetee kodi zetu.
 
We jamaa bhna.........unatuambiaje tuliokuwa tunanguo rasmi(sare) za kwenda kukat gogo yahn ukiona nimevaa hzo sare mkulungwa jua naenda kunya mavi yahn na mchana kweupe kabisa mbele ya wamama na kuwatania ngoja tukajaze choo tutetee kodi zetu.
Aaah mzee hii ishu mi ilinichukua muda sana kuizoea, wale wajinga waliniendesha sana kuliko hata tumbo lenyewe
 
Kuna siku ilikua zamu yangu kulipa umeme.na nilitarajia mshahara utatoka siku hiyo.

Had giza linaingia mshahara bado, na sina hata 100. Na ni jumamosi. So km mshahara haujatoka basi ni hadi j3.

Sikurud kabisa home.. nkarud j4. Nlkua naogopa.
 
Akhakha dah we jamaa mbona unayaonea aibu maumbile yako
 
Pole ndugu,km ni tumbo la kuhara je? Mambo haya yanatia hasira na kusababisha mtu uwaze kujenga by all means
 
Ndo raha ya sex mkuu hiyo
 
Bado sijajua mpaka leo kuna uhusiano gani kati ya wanawake na mazingira ya chooni na bado naendelea kutafiti!,
Hii kitu tunaoishi kwenye nyumba za kupanga tunai-experience!

Yaani unakuta pamoja na nyumba husika kuwa na eneo kubwa ambalo mnaweza mkakaa,mkapumzika na kupiga story lakini cha ajabu na cha kusikitisha unakuta eneo lote hilo wanaacha wanaenda kujazana eneo lilipo Toilet(choo),na unakuta wamekaa kabisa wako comfotable!

Unajua wakuu toilets ni mahali pa faragha na ndo maana huwa hatuwezi kukojoa au kunya hadharani maana si ustaarabu,sasa ili uwe mstaarabu ni lazima uende chooni ambako kuna faragha na kila kitu utamaliza huko!

Sasa wengine kidogo tuna aibu,siwezi kwenda chooni wakati mijitu mizima imejazana kwenye mlango au mbele ya choo utadhani mi nyumbu!,Kiukweli hii tabia huwa inakera sana hasa tuliopitia huko!

Namshukuru Mungu japo bado sijawa na banda langu lakini ninaishi nyumba ambayo ni self- contained!

πŸ˜›OLENI SANA MNAOPITIA HII CHANGAMOTO
 
Khaaa waja mna mambo si ungekunya tu kwene kopo afu unaenda kumwaga
 
Kuna mpangaji akiingia 6by6 na mkewe, ile mbuguma inavyo piga sound hata upandishe sauti redio haisaidi!
Hadi anatutamanisha! Yule mbuguma ni fundi kwa mashairi!
Kibaya anapiga mzigo jioni na asubuhi. Adhana ikianza ndio kama wanamuamsha....Daah!
 
Kuna mpangaji akiingia 6by6 na mkewe, ile mbuguma inavyo piga sound hata upandishe sauti redio haisaidi!
Hadi anatutamanisha! Yule mbuguma ni fundi kwa mashairi!
Kibaya anapiga mzigo jioni na asubuhi. Adhana ikianza ndio kama wanamuamsha....Daah!
Basi mwenyewe unajikuta kila siku kupiga nyeto au na wewe una mke
 
We jamaa bhna.........unatuambiaje tuliokuwa tunanguo rasmi(sare) za kwenda kukat gogo yahn ukiona nimevaa hzo sare mkulungwa jua naenda kunya mavi yahn na mchana kweupe kabisa mbele ya wamama na kuwatania ngoja tukajaze choo tutetee kodi zetu.
Hahahaaaa
 
Aisee
 
Hapo pa kufungulia "sabufa" ksa sauti daaah[emoji119]
 
Kuna mpangaji akiingia 6by6 na mkewe, ile mbuguma inavyo piga sound hata upandishe sauti redio haisaidi!
Hadi anatutamanisha! Yule mbuguma ni fundi kwa mashairi!
Kibaya anapiga mzigo jioni na asubuhi. Adhana ikianza ndio kama wanamuamsha....Daah!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…