Kero: Tabia ya kurundika/kumiliki vitu vingi kuzidi uwezo wa kuvimudu au kuvitunza

Sahv watu wengi wana tabia ya kujenga manyumba makubwa lakin ukiingia ndani pako hovyo balaa vyumba vingine vya kulala hata hapatamaniki kupaangalia,jenga nyumba kubwa uwe na uwezo wa kununua fenicha pia ili ipendeze

Kwenye sherehe kubwa napo kuna wajinga unakuta wamehitimu vyuo hata ajira hawajapata lakin anataka lisherehe likubwa baada ya sherehe anapiga miayo tu
 
Umeelezea vizuri sana na ndio uhalisia wa watanzania wengi. Ila no 7..... kitanda bana.....hapana. Mi na mwenzangu bana huwa kutoka cowgirl kuelekea misssionary, tunabingirika tu mpaka missionary. Sasa kuna siku tulisafiri. Si tukajisaulisha, tukajua tuko kwa Mkapa. Ile kubingirika tu, mojakwamoja sakafuni, dah. Aisee nilikumbuka uwanja wa nyumbani.
 
Kuna wale wanamiliki simu nne...nyingine kaziweka chumbani tu..
na hao naona wapitie uzi huu
 
Katika vitu ambavyo napenda ni muziki, kwahio ukikuta nina redio 3 ndani mwangu kaa kwa kutulia[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni sound bar, Home theater na Sub Woofer... AU?
 
Ukipata mda uje nikununulie champagne by Glass Level 8 the Kilimanjaro [emoji106]

Yaani mkuu kama ulikua kwenye akili yangu
Hivyo vitu vipo sana kwenye jamii yenu jamani sivipendi mnoo.
Unakuta vitu mtu havitumii ila kavijaza vinajaza uchafu tu.
-Mtu anakaa pekeyake ananunua sofa set nzima[emoji23][emoji23]
-Unakuta mwanaume ila ana kabati lina kioo na ana dressing table [emoji23][emoji23] aii

Mavyombo yamerundikana kabatini , mtu ana manguo hajayavaa miaka mm nguo nikiona tu imekiruka, siivai miezi 6 au imenichosha tu machoni nagawa .
Hakuna kitu sikipendi kama kurundika mavitu nisioyatumia ndani
 
Michango si mnatoa lakini? We sherehe nzuri imeandikiwa wenye ajira tu ama?
 
Njoo hapa mtaani kwangu kuna jamaa kila nikipita naye mahali utasikia na hiki ni kiwanja changu. Badala amalize kuendeleza kiwanja kimoja yeye amekazana tu kuongeza vingine, sasa kamahia kununua mashamba.
Utakuja kujua umuhimu wake mbeleni saivi huwezi elewa
 
Ila humu Kuna motivational speakers wengi.
 
Uwanja mkubwa Una faida yake na hasara yake,unafikir kwanini siku hizi wanandoa wakigombana wanachukua mawiki kupatana?

Kozi kitanda Kikubwa mkizinguana wewe uanalala Kule na mwenzio Kule,lkn kitanda kidogo mtapatana mapema coz mtagusana gusana hivyo kupelekea shoti kutokea na kitachotokea ni show show!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…