Kero: Tabia ya kurundika/kumiliki vitu vingi kuzidi uwezo wa kuvimudu au kuvitunza

Kero: Tabia ya kurundika/kumiliki vitu vingi kuzidi uwezo wa kuvimudu au kuvitunza

Wacha kunichekesha nimekumbuka siku moja nilikuwa Airport wakati wa ugakuguzi ile tunaingia ndani, mbele yangu alikuwepo mkaka sijawahi ona alikuw na vifu vifuatavyo,

1: simu kubwa 2 na tablet kuubwa mkono jumla tatu
2: shingoni sasa micheni kama minne hivi, kuzidi ile ya harmonise.
3. Peteee jamani vidole vyote 10 nadhani viwili ndo havikuwa na peteee
4. Bonge la saa mkono wa kushoto
5. Mkono wa kulia kama kibangili cha gold
6, kavaa simple tu nguo
7. Na begi moja la wastani.

Nyie watu yule kaka kuvua vile vitu kuviweka kwenye kile ki sahani na kuzunguka kule mbele kuvipokea ilichukuwa nusu saa almost.
Hiyo siku ndo nilijuwa kwa nini Airport waliweka masaa mawili ya ku report kabla ya kuondoka.

Kila mtu kwenye line pale alichungulia mbele kuona kwanini watu hawasogei? Mkaka kabebelea mavitu kuzidi hata sisi wanawake? Hapana ni kerooo.
Unakereka kwakua hujui thaman na matumizi ya hizo pete cheni simu ifike mahali kila mtu aishi ndani ya uwezo wake na usikereke kwa analofanya mwenzako ilimradi hakuvunjii ww haki zako
 
Uwanja mkubwa Una faida yake na hasara yake,unafikir kwanini siku hizi wanandoa wakigombana wanachukua mawiki kupatana?

Kozi kitanda Kikubwa mkizinguana wewe uanalala Kule na mwenzio Kule,lkn kitanda kidogo mtapatana mapema coz mtagusana gusana hivyo kupelekea shoti kutokea na kitachotokea ni show show!
Hili ni kweli kabisa 6*6 hakifai kwa marriage couples,mimi kinanitesa sana natamani ninunue 4*6 but too late.Yaani tunalala mtindi wa namba 7 kila siku,kisa hataki k.. .mbwa kila siku.Kitanda kikubwa ni majuto mkikosana hata kuombana msamaha inawachukua muda,
 
Back
Top Bottom