Kero: Tabia ya kurundika/kumiliki vitu vingi kuzidi uwezo wa kuvimudu au kuvitunza

Unakereka kwakua hujui thaman na matumizi ya hizo pete cheni simu ifike mahali kila mtu aishi ndani ya uwezo wake na usikereke kwa analofanya mwenzako ilimradi hakuvunjii ww haki zako
 
Hili ni kweli kabisa 6*6 hakifai kwa marriage couples,mimi kinanitesa sana natamani ninunue 4*6 but too late.Yaani tunalala mtindi wa namba 7 kila siku,kisa hataki k.. .mbwa kila siku.Kitanda kikubwa ni majuto mkikosana hata kuombana msamaha inawachukua muda,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…