Kuongea ni kuwasiliana au kupeleka na kupokea ujumbe. Kama msukuma anawasiliana na mwenzake na wanaelewana vizuri zaidi kilugha kuna shida gani?
Mtu yeyote hazuiwi kutumia lugha yoyote, mahali popote na wakati wowote isipokuwa tu kama anasumbua wengine.
Mtu yeyote hazuiwi kutumia lugha yoyote, mahali popote na wakati wowote isipokuwa tu kama anasumbua wengine.