Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Wakuu,

Natumai asubuhi ipo murua kwenu,

Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.

Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.

Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.

Mnaudhi sana nyie jamaa.
Hhii nchi haina mipaka ya matumizi ya lugha na si kila ndugu yako anaweza kuongea kiswahili fasaha. Unapoleta maada ufikirie kuna wenye akili zaidi yako.tupo tunaoishi mikoa mingine lakini tunasemeshwa kwa lugha ya wenyeji pia, ingekuwa kero thread km hii zingekuwa nyingi. Msukuma ni mtu asiyependa kujionyesha kuwa amesoma sana hivyo lugha mama kwake ni jadi. Mbona huzungumzii wamasai, wanyaturu, wasambaa na wapare hata wachanga. Ni kwasababu huna exposure. Nahisi unajisikia fahari kuongea lugha yako kuliko msukuma kutumia lugha yake ufinyu wa akili huo. Nyie ndo mkihamia mjini ukirudi kwenu unajidai hujui kilugha chenu. Ulitaka kisukuma kizungumzwe na nani kama si msukuma na km hutaki watumie kisukuma basi go and fight with nature.....
Nb. Wamasai wao hata kiswahili chako hawajui. Unahitaji kurudi darasani wewe umkaririshwa ile tabia ya kuvalishana kengele kwa kuongea lugha nje ya kizungu.
 
Weee shida yako ni kiluga au mtoko. Je hujawaki kutoka na sie wa BK.!! Acha ushamba weee.
Achana naye mbona ye akiwa na jambo lake mbele ya mama/baba asiyesoma anatumia kiingereza ili wasimwelewe. Hajui kuwa hivi vitu vipo by nature.
 
Yaani wengine wanaongea hata kwenye basi akigundua kondakta ni msukuma mwenzake yaani wanaongea kwa sauti toka siti ya nyuma hadi huku kwa Kondakta ni taabu tupu.
 
Hiyo inaitwa proud to be msukuma....hongereni sana wasukuma kwa hilo...mmewaonesha wengi kuwa mkosa kabila ni mtumwa..sio wanao jifanya kuongea kizungu wakidhania ni usomi kumbe ni lugha ya watu kama ilivyo lugha yao..penda chako sio kupenda cha mwenzio...na kukumbusha tu sio shinyanga na mwanza tuu kuna mikoa mingine mingi tuu inayo ongea hiyo lugha na ni lugha inayo ongewa na watu wengi saaana tz...ndugu kuliko kuwa na kero au wivu kajifunze hiyo lugha ili upate kujua mengi kuhusu wasukuma na uwingi wao na ukarimu wao. Kuna asiliam kubwa sana ya watu kutoka mataifa mengine wanao ongea kisukuma kama warabu, wasomali, wahindi, wazungu kwanini wewe kama mtz usitafute kujifunza kuongea lugha ambayo ni ya pili kuongelewa hapo tz

Tatizo siyo kuongea kilugha...tatizo ni kukosa ustaarabu na kuwasumbua wengine kwa kuongea kwa nguvu na makelele yenu....mbona kuna makabila yanaongea kilugha sana lakini hawawasumbui watu wengine?
 
Wanadumisha utamaduni na sio kero pia lugha hizi Mara nyingi hukuza kiswahili. we kama huna lugha ya kwenu we sio mtz. mfano kabila letu neno masanga alikua analitumia bibi yangu ambae baada ya miaka mingi neno masanga nikakuta kua ni neno LA kiswahili sanifu ..kwa hiyo nakubaliana nao waongee kila sehemu japo mi sio msukuma.
 
Wakuu,

Natumai asubuhi ipo murua kwenu,

Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.

Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.

Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.

Mnaudhi sana nyie jamaa.
Ishindo lyako!
 
Wakuu,

Natumai asubuhi ipo murua kwenu,

Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.

Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.

Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.

Mnaudhi sana nyie jamaa.
Wasukuma ndio Tanzania
 
Back
Top Bottom