Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Hahahaaa kwa huyo Mange Kimav!?Naam ila your end is near!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa kwa huyo Mange Kimav!?Naam ila your end is near!
Free dom ya kuongea iko pale pale kama kuna sheria kwenye usafiri aandike watafuata ila kama hakuna ruksa kuongea utakavyo hata hayo makabila hawajakatazwa kuongea kama ni ustaarabu nchi nzima haina ustaarabu nenda kwenye mwendo kasi watu wazima na akili zao wanavyo pigania mlangoni mpaka suruali zina wadondoka utadhani wana safari ya kwenda south africa kwa basi hao nao ni wasukuma... watu wanakojoa kila mahala... kuna siku nilitaka kukanyaga mavi makubwa kwenye lami hapo usalam utadhani tembo kanya kumbe mavi ya mtu huyo naye alikuwa msukuma? Ustaarabu hakuna nchi nzima inabidi wakoloni warudi kutufundisha tenaTatizo siyo kuongea kilugha...tatizo ni kukosa ustaarabu na kuwasumbua wengine kwa kuongea kwa nguvu na makelele yenu....mbona kuna makabila yanaongea kilugha sana lakini hawawasumbui watu wengine?
Ndio maana tunaambiwa akili zetu ni fupi kama nywele zetuUsi underestimate kile anachokifanya kinaweza kuwa na impact itakayobadili historia ya tz!
Anything can happen
Biggest population in tzWasukuma ndio Tanzania
Mungu alitufanya kuwa wengi na kutupa moyo wa kuishi bila kubaguana na bila kunyanyasa makabila mengine. Nakumbuka kipindi nikiwa mdogo sana tulikuwa tunaishi na warundi na wakifikia kuoa mahali zinatolewa kama ilivyo kwa wanafamilia wengineBiggest population in tz
Kwa heshima na ukarimu i salute you wasukuma mungu awape maisha marefu wazidi kuifundisha hiyo nchi kuwa utu ni mtajiMungu alitufanya kuwa wengi na kutupa moyo wa kuishi bila kubaguana na bila kunyanyasa makabila mengine. Nakumbuka kipindi nikiwa mdogo sana tulikuwa tunaishi na warundi na wakifikia kuoa mahali zinatolewa kama ilivyo kwa wanafamilia wengineView attachment 734879
Hahahhaha bawilage gete bageshi...baje bagalime na gudima mapori gale mengiBhebhe nkoyi, alitulekhage!!! Yombhaga nan'ho ishikabila shako...nani akulemeja ukhuyombha shikabila shako...
Mledaka kila ng'wene ayuyombha ki-Beyonce Beyonce, ki-Jay Z Jay Z, you know, you know..., na bado mnagombana na grammatical errors, piga kilugha chako na wewe...au pelekeni hoja binafsi bungeni tupigwe marufuku kuongea Kisukuma hadharani...
Kila lushiku bhaleyombelwa basukuma duhu, twana twa mujini twenutu tulihaya kugaya mashima buli...!!! nibhajage ku ngese mbula jya nzumbi jilendela kutula balekhe kwisusa susa lunyili na kutula kelele mwenumu...Hahahhaha bawilage gete bageshi...baje bagalime na gudima mapori gale mengi
HahahhahahahhaaKila lushiku bhaleyombelwa basukuma duhu, twana twa mujini twenutu tulihaya kugaya mashima buli...!!! nibhajage ku ngese mbula jya nzumbi jilendela kutula balekhe kwisusa susa lunyili na kutula kelele mwenumu...
Kwasababu hawashindii chips yai na mikate.lugha yenyewe wanaongea kama wamepigwa kabali
Kwa akili ya msukuma kama wa Shy. Ni haki yake kuongea kisukuma pahala popote. Imagine ukiwa Shy ukienda kusini Tabora utaongea kisukuma au kinyamwezi ambacho ni kisukuma kilichoendelea. Ukienda magh. Yaani Geita. Chato. Biharamulo lugha ni kipush. Kaskazini yaani Mwanza na Magu mpaka mara ni kipush. Ukienda mash yaani Simiyu ni kisukuma. Msukuma kumbuka hajatembea mbali. Yeye akienda mbali ni Sumbawanga kuchunga halafu anatembea porini malishoni yaani mshamba flani hivi. Unategemea kiswahili atakijulia wapi ? Tanga nzima kuna wasukuma 12 Dar es sslaam wako 240 moro wapo 70 waliobaki wote wako Tabora. Singida. Simiyu. Mara. Mwanza. Geita. Kagera na Shy.
Laki nane? JidanganyeNilikua nakuchokonoa mtani. Unajua nyie ni watoto wangu. Ndio maana kwetu tunasema. Mzigo mzito mpe msukuma abebe. Lkn hili la nusu wa Tz ni wasukuma ni urongo. Tanzania kuna wasukuma na wanyamwezi na wanyantuzu lakhi nane na ushee tu.
Wakuu,
Natumai asubuhi ipo murua kwenu,
Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.
Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.
Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.
Mnaudhi sana nyie jamaa.