Wanaboa kinyama alafu wana roho mbaya..wasukuma huwa nawapenda sanaWahaya je?
Hao jamaa kweli siyo kabisaWakuu,
Natumai asubuhi ipo murua kwenu,
Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.
Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.
Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.
Mnaudhi sana nyie jamaa.
Hongera we mswahili, acha watu wadumishe mila na desturi zao, wewe iga Uarabu au uzungu, achana na mila za watu, waache waishi wapendavyo, ipo cku utashangilia ndoa ya jinsia moja mana unapenda vitu vipya na ustaarabu wa kuiga, jinga kabisa.Wakuu,
Natumai asubuhi ipo murua kwenu,
Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.
Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.
Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.
Mnaudhi sana nyie jamaa.
Sawasawa kabisa. Na mimi nina maslahi na Wasukuma. Nyie ni Mashemeji zangu. Kimsingi mimi nawapenda sana Wasukuma. hawana roho mbaya wala uchoyo hata kidogo. Hawana makuu. Wao ni kazi tu.Sisi hatuangalii hayo huku kwetu ukijidai kumwaga vihashawa vyako mtoto akizaliwa utakuwa umepoteza wewe! Jembe liwe li-Rundi au li-Nyarwanda maadam limeshajitambulisha kwamba ni li-Sukuma wacha lipige kazi! Na litawakimbiza mpaka mkome!
Kalyaga kiguta, kimba maki niyo?Jomba kama huwez kujinadi na kabila lako kaa kimya huo ni utumwa wa fikra zako. Nchi huru hii, kama unaionea aibu lugha yako ya kwanza ni upumbavu wako.
Tojaghi baghosha, lekanagi na katumbafu ak'haa
Du jogoli udwene,,vikabila vidogo vidogo lazima virudishe mikia makalioni!!Wabeja nkoi, naipende lugha popote pale nagonga kisukuma, kama we huwezi ongea kaa pembeni
Unakubali kuajiriwawanaboa kinoma!!!usiombe uwe nao ofisi moja
Sawa mkuu unaposema mnyantuzu sijui mnyamwezi ni kabila zilizo ndani ya msukuma ukienda hivyo huwezi pata msukuma usukumani kila mmoja anakabila yake iliyondani ya usukuma. Kama Unabishana swala la nusu Tz hujui takwimu mkuu. Jaribu kuhesabu mikoa tu ambayo wapo ful harafu nitakuongezea tafakari ingine. Ila kwakuwa mtani si mbayaNilikua nakuchokonoa mtani. Unajua nyie ni watoto wangu. Ndio maana kwetu tunasema. Mzigo mzito mpe msukuma abebe. Lkn hili la nusu wa Tz ni wasukuma ni urongo. Tanzania kuna wasukuma na wanyamwezi na wanyantuzu lakhi nane na ushee tu.