Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Ogumala ngikilu, onene nuru kariakoo ulunusanja nawagukaya kushipula duhu ...chuuuu bhing'we yomba ningw'e shakubingw'we mtulekere shise[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Aleeeyo, bamnho ba kaya minge gete gete henaha.

Yombagi bagosha,yombagi banamhala,yombagi bakema, ete tuja. Ete tuja gete olo mnho ale na masala gake.

Nabona ma China gale mu New York subway, gakayombaja mamihayo Kichina gete.Bamnho ba New York bale na masala gete, ateho mno wa kuwawela "beng'we, mtizo yomba Kichina henaha New York, yombagi shingereza".Ateho mno wa koyomba mamihayo sagala.

Aleyo etagi mamihayonyalali gete gete, pye masala.Ndoho buchilochilo.

Obise tohaya shisukuma twatongeleja no banegene pye bamanile kohaya Shisukuma.

Nahene wabeja gete namhala.
 
Kuongea kilugha sio tatizo
Ubaya n pale wanapoongea lugha hiyo kumteta mtu.
 
wahaya chiza buli nkoi,

hose hose uko uli,

Ng'waga mabele nakulipa Ngosha
 
Mihayo yako yabhela mmatu... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Mihayo yako yabhela mmatu... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Gashinaga galeho mamnho gale na kebi gete gete kobona obise twayomba mamihayo ga kaya gete gete?

Gatamanile tolemo mwenumu basukuma ba bulaya twilwangijwa koyomba mamihayo genaga?
 
Gashinaga galeho mamnho gale na kebi gete gete kobona obise twayomba mamihayo ga kaya gete gete?
Neyo nkoi mihayo ya kopenehala, mawisu mpaga galiganika togulale.. Nabona lelo mihayo ya jf
 
Nywanoko
huna data zetu wewe embu nenda kigamboni ndanindani huko utatukuta tumesimika mizizi achilia mbali wilaya ya temeke na bagamoyo.
 
Kisukuma pekee ndo kimeigizwa hadi katika movie ya yesu. Kama na ya kimakonde IPO mnijuze. Salute to us ngoshas nduhu tabu gabisa
 

Attachments

Kisukuma pekee ndo kimeigizwa hadi katika movie ya yesu. Kama na ya kimakonde IPO mnijuze. Salute to us ngoshas nduhu tabu gabisa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] iyo clip balaa, purely siku a accent.. Haijachakachuliwa
 
Nini maana ya lugha mama sijui mnashindwa nn kuelewa kila mtu anaasili yake na kabila lake shida iko wapi kuongea lugha mama ya kabila langu acheni ubishoo usio na maana
 
Tuko wengi sana hapa nchini mzee ndiyo maana unaona tunasalimiana na kuongea mahala popote.sehemu palipo na watu kumi,saba wote ni sisi.punguza chuki na wivu maana sehemu kubwa hata makabila mengine husalimia na kuongea kwa lugha zao hata hawajui wewe ni wa wapi lakini kama upo maeneo yao watakusemesha kilugha chao.acha chuki jamaa,pita hivi[emoji117]


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Mbona wapo wengi tu wanaopenda kuongea kilugha chao,mfano wamaasai,wakurya,wajaruo,wahaya.
Sema kwa sababu wasukuma ni wengi sana,maana wana mikoa yao mitano kwa sasa,Shinyanga,Simiyu,Mwanza,Geita na Tabora na bado wameanza kuichukua na Katavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…