Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Kero: Wasukuma kuongea kilugha kila mahali

Ogumala ngikilu, onene nuru kariakoo ulunusanja nawagukaya kushipula duhu ...chuuuu bhing'we yomba ningw'e shakubingw'we mtulekere shise[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Aleeeyo, bamnho ba kaya minge gete gete henaha.

Yombagi bagosha,yombagi banamhala,yombagi bakema, ete tuja. Ete tuja gete olo mnho ale na masala gake.

Nabona ma China gale mu New York subway, gakayombaja mamihayo Kichina gete.Bamnho ba New York bale na masala gete, ateho mno wa kuwawela "beng'we, mtizo yomba Kichina henaha New York, yombagi shingereza".Ateho mno wa koyomba mamihayo sagala.

Aleyo etagi mamihayonyalali gete gete, pye masala.Ndoho buchilochilo.

Obise tohaya shisukuma twatongeleja no banegene pye bamanile kohaya Shisukuma.

Nahene wabeja gete namhala.
 
Kuongea kilugha sio tatizo
Ubaya n pale wanapoongea lugha hiyo kumteta mtu.
 
Olemana, pye a mamunho gatohaya koyomba sha kokaya yabwo gale machilochilo gete.

Onene nolo nale ma Subway ga New York City, olo nombona nsumba wane wa kaya gete, atehoo mno wakuniwela gekeatohaya niyombe mamihayo ga kaya ShiSukuma.

Hagayaaa.

Mtizoeta mamihayo kebi henaha.

Obise toyomba Shiingereza, mamihayo ga baswahili, Shilatini, ateho mbehi kotowela mamihayo ga kebi henaha.
wahaya chiza buli nkoi,

hose hose uko uli,

Ng'waga mabele nakulipa Ngosha
 
Onene pye kwenuko kaya, omayo ale wa ngh'wani gete,guku wane ha ng'wa mayo habanamhala bazengi ba Azania Front 1903.

O wise wane ale mno wa kwenuko pande ja Ng'wanza. Nohaya, yee, o ngosha gete gete alangwe hakaya koyomba shisukuma.Amanye pye mamihayo ga banamhala mu shisukuma,basumba batale, mabina, pye mamihayo ga kaya, mu shisukuma.

Aleyo, galeko mang'ingwana getaga buchilochilo gete nyambiti. Gatamanile nolo kohaya mamihayo ga kaya yabwo.

Lekagimamihayo ga chilo chilo genago babehi.Ite chiza.

Obise twalangwa kaya gete gete koyomba shisukuma, kogesha banamhala, koyomba na baniisale, kweta mamilemo chiza, koyomba no bazunya mamihayo ga Seba akojiwe makanza chiza.

Aleyo galeho mang'ingwana gatotogwile mamihayo nyalali genaga gete gete?
Mihayo yako yabhela mmatu... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Mihayo yako yabhela mmatu... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Gashinaga galeho mamnho gale na kebi gete gete kobona obise twayomba mamihayo ga kaya gete gete?

Gatamanile tolemo mwenumu basukuma ba bulaya twilwangijwa koyomba mamihayo genaga?
 
Gashinaga galeho mamnho gale na kebi gete gete kobona obise twayomba mamihayo ga kaya gete gete?
Neyo nkoi mihayo ya kopenehala, mawisu mpaga galiganika togulale.. Nabona lelo mihayo ya jf
 
Nywanoko
Kwa akili ya msukuma kama wa Shy. Ni haki yake kuongea kisukuma pahala popote. Imagine ukiwa Shy ukienda kusini Tabora utaongea kisukuma au kinyamwezi ambacho ni kisukuma kilichoendelea. Ukienda magh. Yaani Geita. Chato. Biharamulo lugha ni kipush. Kaskazini yaani Mwanza na Magu mpaka mara ni kipush. Ukienda mash yaani Simiyu ni kisukuma. Msukuma kumbuka hajatembea mbali. Yeye akienda mbali ni Sumbawanga kuchunga halafu anatembea porini malishoni yaani mshamba flani hivi. Unategemea kiswahili atakijulia wapi ? Tanga nzima kuna wasukuma 12 Dar es sslaam wako 240 moro wapo 70 waliobaki wote wako Tabora. Singida. Simiyu. Mara. Mwanza. Geita. Kagera na Shy.
huna data zetu wewe embu nenda kigamboni ndanindani huko utatukuta tumesimika mizizi achilia mbali wilaya ya temeke na bagamoyo.
 
Wakuu,

Natumai asubuhi ipo murua kwenu,

Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.

Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.

Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.

Mnaudhi sana nyie jamaa.
Kisukuma pekee ndo kimeigizwa hadi katika movie ya yesu. Kama na ya kimakonde IPO mnijuze. Salute to us ngoshas nduhu tabu gabisa
 

Attachments

Kisukuma pekee ndo kimeigizwa hadi katika movie ya yesu. Kama na ya kimakonde IPO mnijuze. Salute to us ngoshas nduhu tabu gabisa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] iyo clip balaa, purely siku a accent.. Haijachakachuliwa
 
Nini maana ya lugha mama sijui mnashindwa nn kuelewa kila mtu anaasili yake na kabila lake shida iko wapi kuongea lugha mama ya kabila langu acheni ubishoo usio na maana
 
Wakuu,

Natumai asubuhi ipo murua kwenu,

Jamani kuna hii kero ya hawa ndugu zetu kutoka Shinyanga bila kusahau Mwanza na maeneo mengine ya kupenda kuongea kilugha.

Yaani wanadhani hii nchi ina kabila moja tu wao sehemu yoyote ni kuongea kisukuma kwenda mbele.

Imagine mtu umemtoa msichana mzuri out mmekaa mnapata msosi mara anapokea simu anaanza kupayuka kilugha.

Mnaudhi sana nyie jamaa.
Tuko wengi sana hapa nchini mzee ndiyo maana unaona tunasalimiana na kuongea mahala popote.sehemu palipo na watu kumi,saba wote ni sisi.punguza chuki na wivu maana sehemu kubwa hata makabila mengine husalimia na kuongea kwa lugha zao hata hawajui wewe ni wa wapi lakini kama upo maeneo yao watakusemesha kilugha chao.acha chuki jamaa,pita hivi[emoji117]


JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Mbona wapo wengi tu wanaopenda kuongea kilugha chao,mfano wamaasai,wakurya,wajaruo,wahaya.
Sema kwa sababu wasukuma ni wengi sana,maana wana mikoa yao mitano kwa sasa,Shinyanga,Simiyu,Mwanza,Geita na Tabora na bado wameanza kuichukua na Katavi.
 
Back
Top Bottom