jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Tupinge!!Sio mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupinge!!Sio mimi
Roho mbaya hiyo.. safarini ukikaa na pisi kali huwa inakuwa fupi.! 😂😂😂Niliikuta pisi kali sana imekaa kwenye siti yangu, nikaiuliza kistaarabu na yenyewe ikanijibu kistaarabu kabisa siyo siti yake.
Kwa ule ustaarabu wangu akafikiri hili nalo ndo wale wale, akanielekeza siti yake huko nyuma nikamwambia haiwezekani!! Sipendi siti za nyuma huko thus why nimechagua hapa.
Akapandisha sauti kwa kutoa maneno ya kejeli kunilainisha nikubaliane nae, nikamsikiliza alipomaliza nikamwambia kistaarabu kabisa kuwa "dada, ulikata siti kwa pesa yako, uhitaji wako, matumizi yako na chaguo lako, nami pia hivyo hivyo. Tuheshimu tuliyoyafanya." Akanyanyuka kimya kimya!!
Siangaliagi sura lakini pia afadhali tungekuwa siti za pamoja! Imagine aje akae siti namba tano eti nikakae siti yake namba 33 huko!!
She was not serious kwa kweli!
Hujakaa na pisi kali wewe!! 😂😂Pisi zenyewe ndo kina wewe zenye akili kuchukua namba kwanza 😄
Huwa sihangaiki nikikaa na pisi...natoa earphone.
Ila kuna trip ya Mwanza 2013 siwezi sahau mtoto wa Kairuki pale dah Konda ashukuriwee heheee Konda nilimpa Kazi akaitimiza haswa
Zaidi ya kali 😜Kwahiyo we ni pisi kali?
Roho mbaya hiyo.. safarini ukikaa na pisi kali huwa inakuwa fupi.! 😂😂😂
Basi ni forcie mdogo ako wa kike, huku niliko nakutana na matatizo tu, shart awe na utu na utulivu, atahudumiwa vizuri tu.Zaidi ya kali 😜
Unajishughulisha na nini?Basi ni forcie mdogo ako wa kike, huku niliko nakutana na matatizo tu, shart awe na utu na utulivu, atahudumiwa vizuri tu.
Huuwi mbn unanitega iv nimwage mchele jukwaani😁?Unajishughulisha na nini?
Umefanya sawa kabisa.Niliikuta pisi kali sana imekaa kwenye siti yangu, nikaiuliza kistaarabu na yenyewe ikanijibu kistaarabu kabisa siyo siti yake.
Kwa ule ustaarabu wangu akafikiri hili nalo ndo wale wale, akanielekeza siti yake huko nyuma nikamwambia haiwezekani!! Sipendi siti za nyuma huko thus why nimechagua hapa.
Akapandisha sauti kwa kutoa maneno ya kejeli kunilainisha nikubaliane nae, nikamsikiliza alipomaliza nikamwambia kistaarabu kabisa kuwa "dada, ulikata siti kwa pesa yako, uhitaji wako, matumizi yako na chaguo lako, nami pia hivyo hivyo. Tuheshimu tuliyoyafanya." Akanyanyuka kimya kimya!!
Siangaliagi sura lakini pia afadhali tungekuwa siti za pamoja! Imagine aje akae siti namba tano eti nikakae siti yake namba 33 huko!!
She was not serious kwa kweli!
Makenge ya darajani hayana adabuNiliwahi kumchomoa mama mtu mzima kwenye seat yangu, pamoja na kuniomba ila nikamsisitizia nilichagua seat ya dirishani hvy n lazima nikae dirishani tuu.
Hua siangalii n nani amekaa, mana mtu wakati anachagua seat anakuwa anajua kabisa n seat ya upande fulani sasa kwann ajitoe ufahamu.Makenge ya darajani hayana adabu