Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Niliikuta pisi kali sana imekaa kwenye siti yangu, nikaiuliza kistaarabu na yenyewe ikanijibu kistaarabu kabisa siyo siti yake.

Kwa ule ustaarabu wangu akafikiri hili nalo ndo wale wale, akanielekeza siti yake huko nyuma nikamwambia haiwezekani!! Sipendi siti za nyuma huko thus why nimechagua hapa.

Akapandisha sauti kwa kutoa maneno ya kejeli kunilainisha nikubaliane nae, nikamsikiliza alipomaliza nikamwambia kistaarabu kabisa kuwa "dada, ulikata siti kwa pesa yako, uhitaji wako, matumizi yako na chaguo lako, nami pia hivyo hivyo. Tuheshimu tuliyoyafanya." Akanyanyuka kimya kimya!!

Siangaliagi sura lakini pia afadhali tungekuwa siti za pamoja! Imagine aje akae siti namba tano eti nikakae siti yake namba 33 huko!!

She was not serious kwa kweli!
Roho mbaya hiyo.. safarini ukikaa na pisi kali huwa inakuwa fupi.! 😂😂😂
 
Pisi zenyewe ndo kina wewe zenye akili kuchukua namba kwanza 😄
Huwa sihangaiki nikikaa na pisi...natoa earphone.

Ila kuna trip ya Mwanza 2013 siwezi sahau mtoto wa Kairuki pale dah Konda ashukuriwee heheee Konda nilimpa Kazi akaitimiza haswa
Hujakaa na pisi kali wewe!! 😂😂
Huo muda wa kutoa earphone unautoa wapi? Watu tuna sauti km za kasuku unatamani nisiache kuongea, unaweza kupitiliza kituo ohhh 😹😹😹
 
Roho mbaya hiyo.. safarini ukikaa na pisi kali huwa inakuwa fupi.! 😂😂😂

Hahahaaaa isingewezekana kukaa nae pamoja, siti ya jirani haikuwa yake yeye alitokea siti namba 33, kweli hata kama roho mbaya hapa acha iwe tu!
 
Niliwahi kumchomoa mama mtu mzima kwenye seat yangu, pamoja na kuniomba ila nikamsisitizia nilichagua seat ya dirishani hvy n lazima nikae dirishani tuu.
 
Mbona kitu kidogo sana, unamwambia tuu akupishe , akikataa au akileta maneno unaita konda
 
Niliikuta pisi kali sana imekaa kwenye siti yangu, nikaiuliza kistaarabu na yenyewe ikanijibu kistaarabu kabisa siyo siti yake.

Kwa ule ustaarabu wangu akafikiri hili nalo ndo wale wale, akanielekeza siti yake huko nyuma nikamwambia haiwezekani!! Sipendi siti za nyuma huko thus why nimechagua hapa.

Akapandisha sauti kwa kutoa maneno ya kejeli kunilainisha nikubaliane nae, nikamsikiliza alipomaliza nikamwambia kistaarabu kabisa kuwa "dada, ulikata siti kwa pesa yako, uhitaji wako, matumizi yako na chaguo lako, nami pia hivyo hivyo. Tuheshimu tuliyoyafanya." Akanyanyuka kimya kimya!!

Siangaliagi sura lakini pia afadhali tungekuwa siti za pamoja! Imagine aje akae siti namba tano eti nikakae siti yake namba 33 huko!!

She was not serious kwa kweli!
Umefanya sawa kabisa.

Next time kata kibao
 
Niliwahi kumchomoa mama mtu mzima kwenye seat yangu, pamoja na kuniomba ila nikamsisitizia nilichagua seat ya dirishani hvy n lazima nikae dirishani tuu.
Makenge ya darajani hayana adabu
 
Back
Top Bottom