Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

Wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani ni Wakristo .Waislamu ni wachache mno waweza Kuta basi Zima wako wawili tu

Waislamu si watu wa kusafiri mikoani.Hata kwenye ndege za Tanzania wapandaji wengi ni Wakristo
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Ukiona hivyo ujue injili imekugusa.
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
hivi hayo mabasi yote ni ya wakristu?
kama syo basi jiulize ni kwanini hood ya mwislamu inapiga nyimbo za kwaya, kwanini tashrifu inapiga kwaya.
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Mkuu😊😊 tatizo Ni nyimbo za dini (KRISTO) au volume ya juu
 
sema ni jambo dogo sana , sioni tatizo ni bora nyimbo ca injili kuliko wanapopiga nyimbo za matusi kabisa.

Kama una simu basi vaa earphone ule maisha
 
hivi hayo mabasi yote ni ya wakristu?
kama syo basi jiulize ni kwanini hood ya mwislamu inapiga nyimbo za kwaya, kwanini tashrifu inapiga kwaya.
Mabasi yanayopiga sana hizo nyimbo ni ya njia ya iringa/ mbeya na Moshi /Arusha sehemu zingine ni nadra sana,
 
Unamatatizo kwani Kuna shida Gani kusafiri kwa upako, hata kaswida wanapiga ila kaswida zipo chache
Mabasi yote yanatakiwa kuwa noice free area. Hivi kupiga nyimbo za injia au kaswida vina uhusiano gani na kutenda mema? Sana sana imekuwa ni sehemu ya kuficha maovu.
 
Binafsi huwa na kuwa na Amani, pindi uwepo wa Mungu unapotukuzwa bila kujali nikiwa safarini,ila sauti ni kikwazo kwa baadhi ya vyombo🤗
 
Kusema kweli hata mimi zile kwaya zinaniboa .. inabidi wakati ilinakata tiketi waseme humu ni injili mwanzo mwisho ili zinazotukera tusipande
 
Kusema kweli hata mimi zile kwaya zinaniboa .. inabidi wakati ilinakata tiketi waseme humu ni injili mwanzo mwisho ili zinazotukera tusipande
Yes
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Inabidi wenye mabasi waanze kuingiza mabasi yanayotumia headphones badala ya spika
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini

Kama ni mimi ndie mmiliki wa mabasi sitaruhusu nyimbo au injili/kwaya ndani ya mabasi yangu
 
Nadhani wanafurahia copy za ndombolo za Nyoshi na FM Academia zilizoingiziwa mistari ya Biblia.
 
Back
Top Bottom