Kero za kudate mume wa mtu

Kero za kudate mume wa mtu

Nasubiri hii mada iishe ianze ya wanaume kutembea na wake za watu. Of which ni case nyingi sana pia.

Kuna mnaosema mitala ni tamaduni ya kiAfrica lakini angalieni madhara ya mitala. Baba zangu wamezaliwa kwenye mitala, hakuna umoja wala nini. Watoto wa huku wa huku, wa kule wa kule. Tunao ndugu zetu waliopatikana kwa namna hizo hizo na mambo ni yale yale. Kuna familia unakuta mke huyu anaroga watoto wa mke wenzie wengine hawaolewi, wengine hawazai, wengine hawapati kazi kamwe. Mnavyotetea mitala jueni mnatetea kitu gani.

Angalieni watoto wa Daudi, hawakupendanaga wale. Kulikuwa na factions hatari. Kama mnapenda hizi mbanga basi fresh. Kuna dada mmoja alikuwa mchepuko, akaenda kuroga watoto wa mke wa jamaa mpaka watoto wakaanza kuumwa, kulazwa lazwa hospitali kila mara. Ni mitala michache sana ambayo imeleta amani na mshikamano. Na kwa kizazi hiki usidhanie wewe mwanaume ukiishi maisha haya utaleta umoja. Hata kama utalazimisha mtoto kutambulika and all that. Labda neema ya Kristo iingie kwenye mioyo ya watoto wako ndo ianze kufundisha upendo na kusamehe baba aliyoyafanya. Kuna wengine mnapraise mitala ila kiuhalisia mkishaanza hizo habari, watoto wanakula machikichi, maharage tu kila siku, ili tu uweze kumuhudumia huyo wa nje. Unakuta mtoto kiatu cha shule kimeisha af baba yake kanunulia mamdodo kitimoto kilo mbili bar na bia. Kiatu cha mtoto hujanunua. ASILIMIA KUBWA YA WANAUME MNAFANYA HAYA.

Unaacha kwa mkeo 10k kwamba hali ngumu, ukienda huko unaacha 20k, watoto sometimes wana mahitaji unasema huna hela, huku unajua mwenyewe unayofanya. Haya machozi mnayoliza watu ndo huwa yanawaback fire. Baadae Mungu anamtetea mwanamke huyu mnasema ana dharau, sio dharau. Alishaumia akaamua kujiimarisha kwa ajili ya watoto wake, atunze afya yake ya akili kwa ajili ya wanae. Baba, Kaka zetu..kuweni makini sana na hizi njia mnazopita. Though pia wanawake nasi saivi tuko fire..basi masikitiko tu. Mungu na aturehemu sana.
 
Nasubiri hii mada iishe ianze ya wanaume kutembea na wake za watu. Of which ni case nyingi sana pia.

Kuna mnaosema mitala ni tamaduni ya kiAfrica lakini angalieni madhara ya mitala. Baba zangu wamezaliwa kwenye mitala, hakuna umoja wala nini. Watoto wa huku wa huku, wa kule wa kule. Tunao ndugu zetu waliopatikana kwa namna hizo hizo na mambo ni yale yale. Kuna familia unakuta mke huyu anaroga watoto wa mke wenzie wengine hawaolewi, wengine hawazai, wengine hawapati kazi kamwe. Mnavyotetea mitala jueni mnatetea kitu gani.

Angalieni watoto wa Daudi, hawakupendanaga wale. Kulikuwa na factions hatari. Kama mnapenda hizi mbanga basi fresh. Kuna dada mmoja alikuwa mchepuko, akaenda kuroga watoto wa mke wa jamaa mpaka watoto wakaanza kuumwa, kulazwa lazwa hospitali kila mara. Ni mitala michache sana ambayo imeleta amani na mshikamano. Na kwa kizazi hiki usidhanie wewe mwanaume ukiishi maisha haya utaleta umoja. Hata kama utalazimisha mtoto kutambulika and all that. Labda neema ya Kristo iingie kwenye mioyo ya watoto wako ndo ianze kufundisha upendo na kusamehe baba aliyoyafanya. Kuna wengine mnapraise mitala ila kiuhalisia mkishaanza hizo habari, watoto wanakula machikichi, maharage tu kila siku, ili tu uweze kumuhudumia huyo wa nje. Unakuta mtoto kiatu cha shule kimeisha af baba yake kanunulia mamdodo kitimoto kilo mbili bar na bia. Kiatu cha mtoto hujanunua. ASILIMIA KUBWA YA WANAUME MNAFANYA HAYA.

Unaacha kwa mkeo 10k kwamba hali ngumu, ukienda huko unaacha 20k, watoto sometimes wana mahitaji unasema huna hela, huku unajua mwenyewe unayofanya. Haya machozi mnayoliza watu ndo huwa yanawaback fire. Baadae Mungu anamtetea mwanamke huyu mnasema ana dharau, sio dharau. Alishaumia akaamua kujiimarisha kwa ajili ya watoto wake, atunze afya yake ya akili kwa ajili ya wanae. Baba, Kaka zetu..kuweni makini sana na hizi njia mnazopita. Though pia wanawake nasi saivi tuko fire..basi masikitiko tu. Mungu na aturehemu sana.
Dada umeandika kwa uchungu Sana .nakuombea ndoa yako isiwe na side dish
 
Hey

Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...

Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:

1. UONGO

Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!

2. UNAFIKI

Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.

3. UMBEA

Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.

NUKSI

Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.

KUFICHWAFICHWA

Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." 🙄🙄🙄 Whaaaat?

Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
SWALI
ALIYELETA UTARATIBU WA KUOA MKE MMOJA NI NANI???
 
Hey

Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...

Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:

1. UONGO

Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!

2. UNAFIKI

Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.

3. UMBEA

Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.

NUKSI

Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.

KUFICHWAFICHWA

Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." 🙄🙄🙄 Whaaaat?

Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
Ni bahati mbaya tu haukuwahi kukutana na mimi
 
Nasubiri hii mada iishe ianze ya wanaume kutembea na wake za watu. Of which ni case nyingi sana pia.

Kuna mnaosema mitala ni tamaduni ya kiAfrica lakini angalieni madhara ya mitala. Baba zangu wamezaliwa kwenye mitala, hakuna umoja wala nini. Watoto wa huku wa huku, wa kule wa kule. Tunao ndugu zetu waliopatikana kwa namna hizo hizo na mambo ni yale yale. Kuna familia unakuta mke huyu anaroga watoto wa mke wenzie wengine hawaolewi, wengine hawazai, wengine hawapati kazi kamwe. Mnavyotetea mitala jueni mnatetea kitu gani.

Angalieni watoto wa Daudi, hawakupendanaga wale. Kulikuwa na factions hatari. Kama mnapenda hizi mbanga basi fresh. Kuna dada mmoja alikuwa mchepuko, akaenda kuroga watoto wa mke wa jamaa mpaka watoto wakaanza kuumwa, kulazwa lazwa hospitali kila mara. Ni mitala michache sana ambayo imeleta amani na mshikamano. Na kwa kizazi hiki usidhanie wewe mwanaume ukiishi maisha haya utaleta umoja. Hata kama utalazimisha mtoto kutambulika and all that. Labda neema ya Kristo iingie kwenye mioyo ya watoto wako ndo ianze kufundisha upendo na kusamehe baba aliyoyafanya. Kuna wengine mnapraise mitala ila kiuhalisia mkishaanza hizo habari, watoto wanakula machikichi, maharage tu kila siku, ili tu uweze kumuhudumia huyo wa nje. Unakuta mtoto kiatu cha shule kimeisha af baba yake kanunulia mamdodo kitimoto kilo mbili bar na bia. Kiatu cha mtoto hujanunua. ASILIMIA KUBWA YA WANAUME MNAFANYA HAYA.

Unaacha kwa mkeo 10k kwamba hali ngumu, ukienda huko unaacha 20k, watoto sometimes wana mahitaji unasema huna hela, huku unajua mwenyewe unayofanya. Haya machozi mnayoliza watu ndo huwa yanawaback fire. Baadae Mungu anamtetea mwanamke huyu mnasema ana dharau, sio dharau. Alishaumia akaamua kujiimarisha kwa ajili ya watoto wake, atunze afya yake ya akili kwa ajili ya wanae. Baba, Kaka zetu..kuweni makini sana na hizi njia mnazopita. Though pia wanawake nasi saivi tuko fire..basi masikitiko tu. Mungu na aturehemu sana.
Kuna centre tunasimamia vijana kama 1000,ikitokea mdhabuni amechemsha Huwa tunawapa ugali maharage na wali tuu,ukifanyika hivyo vijana wanakiwasha wanasema hawawezi kuka mlo mmoja kwa wiki,je wewe ndugu katika yehova unaweza kula chakula gani kwa mwaka mmoja na kisikukifu,na bahati mbaya hamjui tuu,kila **** ina ladha yake,nyingine inatekenya ndani kwa ndani,nyingine inanata kwa utamu,Kuna kidimbwi,Kuna wengine wanatetemeka hawataki hata uwaaxhie,Kuna wengine wananukia uchi wao mwanzo mwisho,Kuna wengine li kisimi lefu mpaka linafika begani,wengine paja jeusi kama mkaa,wengine tv chogo wengine flat screen,hebu nambie mdada ukose yote sababu ya mbugila mmoja hell no!!!
 
Kuna centre tunasimamia vijana kama 1000,ikitokea mdhabuni amechemsha Huwa tunawapa ugali maharage na wali tuu,ukifanyika hivyo vijana wanakiwasha wanasema hawawezi kuka mlo mmoja kwa wiki,je wewe ndugu katika yehova unaweza kula chakula gani kwa mwaka mmoja na kisikukifu,na bahati mbaya hamjui tuu,kila **** ina ladha yake,nyingine inatekenya ndani kwa ndani,nyingine inanata kwa utamu,Kuna kidimbwi,Kuna wengine wanatetemeka hawataki hata uwaaxhie,Kuna wengine wananukia uchi wao mwanzo mwisho,Kuna wengine li kisimi lefu mpaka linafika begani,wengine paja jeusi kama mkaa,wengine tv chogo wengine flat screen,hebu nambie mdada ukose yote sababu ya mbugila mmoja hell no!!!
Duuuuh😅😅
 
Back
Top Bottom