Kero za kudate mume wa mtu

Shida ya michepuko huwa ni kutaka kukumiliki huku akijua unamilikiwa yaani niache familia yangu na watoto kwa ajili ya utamu wako ,eti unaliza unampenda mkeo au mimi ? ,Eti unamsikiloza mmkeo au mimi ,mbona Mkoe mbaya kuliko mm na kelele kibao

USSR
Utoe friji ndani uingize deli.!!
Km sio u$enge ni nini?? 😹
 
Acha umalaya mbona walio single wapo wengi kuna unalizima gani WA kudate na married man?🀣🀣🀣
 
Na yy akikubambikia mtoto usije kujiliza
 
Malaya mna tabu sana, hamridhiki, mtatombana na mume wa mtu kesho ndugu yake, kesho kutwa tena mnasemea kwa mkewe kumuharibia.

Bitches aint shit
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Share uzoefu wako kwanza
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…