Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ushauri gani huu unatoa? 😥ujaolewa bado? mtafute kadogo kadogo walio maliza form six muweke ndani atakufaa kwa matumiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri gani huu unatoa? 😥ujaolewa bado? mtafute kadogo kadogo walio maliza form six muweke ndani atakufaa kwa matumiz
Utoe friji ndani uingize deli.!!Shida ya michepuko huwa ni kutaka kukumiliki huku akijua unamilikiwa yaani niache familia yangu na watoto kwa ajili ya utamu wako ,eti unaliza unampenda mkeo au mimi ? ,Eti unamsikiloza mmkeo au mimi ,mbona Mkoe mbaya kuliko mm na kelele kibao
USSR
Ila huu uzi kuna watu mnaniua mbavu walllahi 🤣🤣🤣kumbe uzoefu si kwenye ajira tu!??
Na yy akikubambikia mtoto usije kujilizaAhahah,,eti "wife this, wife that!"
Ila sisi wame za watu tunajua kutunza michepuko, mchepuko wangu wa kwanza alikuwa rafiki wa mke wangu anamletea nguo na mikoba kwa mkopo, iyo mwaka 2004, nilienda naee yule mchepukoo, siku wife alipogundua alimfuata dukani kwake tegeta, zilipigwa sana,
Mpk kuwekana ndani.. kumkomesha akaja kunizalia na mtoto kabisa,
😂😂😂😂 Share uzoefu wako kwanzaMalaya mna tabu sana, hamridhiki, mtatombana na mume wa mtu kesho ndugu yake, kesho kutwa tena mnasemea kwa mkewe kumuharibia.
Bitches aint shit
Uchinjwe Xmas 🤣🤣🤣Unachagua hata matatu makali kama yale ya Dr mwaka unakula tu maisha🥲
ea mtu hawezi kukusumbuaUshauri gani huu unatoa? 😥
😂😂😂Huna utulivu humu siku hizi,kwani huu msimu wacomoro wengi nini huko kkoo?
Pole sanaHey
Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:
1. UONGO
Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!
2. UNAFIKI
Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.
3. UMBEA
Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.
NUKSI
Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.
KUFICHWAFICHWA
Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." 🙄🙄🙄 Whaaaat?
Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
Huna utulivu humu siku hizi,kwani huu msimu wacomoro wengi nini huko kkoo?
HahahaIla kwa kifupi Mnatupenda sana sisi Tuliioa
IdiotKama kweli mnatupenda mjaribu basi kuwa waelewa, hayo mengine usijali, angalia danga lako unachokitaka kwake unakipata au vipi!!
Achana na zinaa, ni uchafu.
Atateseka sanahapa namfikiria atakaekuja kukuoa!
Likewise!!Idiot