Njoo mshangazi utulie kwa mzabzab upate tulizo la moyo alafu mie wala sina uongoAaaagghrr sipendi uongo uongo mimi!bora nikuchukue wewe maana sijawahi kukusikia ukimtaja my wife wako😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo mshangazi utulie kwa mzabzab upate tulizo la moyo alafu mie wala sina uongoAaaagghrr sipendi uongo uongo mimi!bora nikuchukue wewe maana sijawahi kukusikia ukimtaja my wife wako😁
Mcheps hana AKILI...ulimwacha mkeo?kama hamjaachana kajikomesha mwenyeweAhahah,,eti "wife this, wife that!"
Ila sisi wame za watu tunajua kutunza michepuko, mchepuko wangu wa kwanza alikuwa rafiki wa mke wangu anamletea nguo na mikoba kwa mkopo, iyo mwaka 2004, nilienda naee yule mchepukoo, siku wife alipogundua alimfuata dukani kwake tegeta, zilipigwa sana,
Mpk kuwekana ndani.. kumkomesha akaja kunizalia na mtoto kabisa,
Mwanaume kaumbiwa kuzalisha,hayo mambo ya mke mmoja ni tamaduni za wazungu,mwafrika na asili yake ni ndoa za wake wengi,Anza na wanyama Hadi ndege,dume moja majike kumi,nipe hata Mimi nikuchakate japo nimeoaOoh yeah ndio maana nasema nyinyi ni wa wazandiki
Em jaribu ka third year ka MUST.Hata na ushangazi wangu huu huu ila nifeli😊😊
Mi sijaongelea mitaala,Tulia,elegant mada.....kama unaona hata wake 10 hiyo ni mada nyingineMwanaume kaumbiwa kuzalisha,hayo mambo ya mke mmoja ni tamaduni za wazungu,mwafrika na asili yake ni ndoa za wake wengi,Anza na wanyama Hadi ndege,dume moja majike kumi,nipe hata Mimi nikuchakate japo nimeoa
Nimerejea JF baada ya miaka 2 nilikuwa naingia mara chache kama mgeni, mwandiko huu kama WA kiume au ni uzee unaonisumbua?Vilevile unakuwa haulifaidi HOGO LAKE vizuri, analibania sana hakupi hogo lote hadi lifike kwenye maini......... eti anambakizia mkewe!
Unabakiza ya nini weweee dumbukiza hogo lote unibomoe uchi ipasavyo mpaka niwehuke. Unidinye kikamilifu mpaka niombe maji!!
Sipendagi kupewa hogo nusu nusu mimi.
Cc: Lamomy Mbaga Jr Poor Brain cocastic Extrovert dronedrake Maghayo Mwachiluwi
😂 Ni changamoto sana kinatumika huko wewe unakuja kutoa pesa uoe😄 niujinga sanahapa namfikiria atakaekuja kukuoa!
Yaani,mimi ni mpenda attention sana yaani mtu aniambie shuka kwenye gari wife anapiga video call kweliii?haki siwezi kuvumilia hayo maumivuKuwa mchepuko unatakiwa uwe na moyo wa Chuma. Ndio maana Michepuko huwa inakimbilia sana kwa Waganga
Sasa mie lini nimesema mie kitombi?!!Uongo wako ni kujifanya kito,wakati mali moja safiii kabisa