Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimekaa paleeeee..!!πππππππ Mimi sitacheat nikishamuweka Mage wangu ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekaa paleeeee..!!πππππππ Mimi sitacheat nikishamuweka Mage wangu ndani
Nikuite nani ? ππNimekaa paleeeee..!!
wacha tu!π Ni changamoto sana kinatumika huko wewe unakuja kutoa pesa uoeπ niujinga sana
Upo kama mimiHapo kwenye my wife this my wife that.
Wanaosema hivyo ni only young boys.
Huwa sizungumzii kabisa, kuhusu mke wangu wala watoto wangu nikiwa na mchepuko.
Hata nikuelewe kiasi gani.
Atakua anakutana na wanaume wahovyohovyo hata awe hajaoa hizo sifa zote lazima amiliki ππ mixer mkono wake mfupi KERO KERO KEROWee ndo una akili Sasa, mchape Kofi la uso uyo azinduke usingzin
Mi sijaoa mama tuanzishe mahusiano basiMimi mmenishinda.
SitacheatTena ukamuibishe shetani!
Daaah,so disappointing....kazana kumuombeaYaan umeongea kama mme wangu likifika suala la umalaya ni mnafki huyu baba sijapata kuona anatoa siri za familia anawwaambia michepuko yake kutwa kunikandia mama yake hanipendi utazan mimi nna shida ya kupendwa,ila michepuko yake inamfaidi maana anaipa sanaaa kipaumbele kuliko mimi na akizaa kwao wanafurahiii sana
Heh kumbe sasa let's go the formal way nipatie hiyo addres nitume CV chap maana hapa naona dalili ya kuwa jimbo lipo wazi kabisa.πingekuwa hivyo ingekuwa raha sana
Mifuko yetu ndo inapendwa , kama umeweza kuoa means unaweza kuhudumia.Ila kwa kifupi Mnatupenda sana sisi Tuliioa
Mchepuko alikuwa fundi,yaliyomo yalikuwemo, mzee nilipagawa mazima,Mcheps hana AKILI...ulimwacha mkeo?kama hamjaachana kajikomesha mwenyewe
Hakuna mwisho wa kukosa mume trust me!ni vile mtu unaweka ubongo wako kwamba mi tayari niko late ngoja nikomae na mume wa mtu kumbe hapo ndio unazidi kupotea,maana utajifanya uko Royal,hutoki out ukutane na watu ukitoka uko na huyo married wako unazidi poteza ramani!hivi unajua kuna wakaka wako 30-50 hawana wake kwa sababu moja au nyingine?hapana kung'ang'ana na mume wa mtu ni roho ya kushindwa na kukata tamaa......Kuna stage ambapo mwanamke yupo single, hakuna picha inayosoma na anahitaji mtu wa kumpa liwazo, ndipo married man anapoingia na kutuliza mawimbi. Siku akikutana na mtu akahisi kuna future sisi married men hatuna shida, let her go aanzishe maisha yake mengine.
Kuna wale early thirties-mid forties ambao wengi ni ngumu kupata mume, hapo ndipo married man anapoingia, usipuuze ngumu ya mume wa mtu.
U see!umenipata ninachosema sasa...mcheps alikuwa fundi,akkakupagawisha alivyoweza,na mtoto akakuzalia see you now upo hapa UNASHUKURU unazeeka pamoja na mke wakoMchepuko alikuwa fundi,yaliyomo yalikuwemo, mzee nilipagawa mazima,
Nashukuru wife nipo nae tunazeeka pamoja
Possibly na yeye ana yake possibly papuchi haiko njemaujaolewa bado? mtafute kadogo kadogo walio maliza form six muweke ndani atakufaa kwa matumiz