realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Halafu anajifanya anakupenda u roho tu 😅😜Yaani hapo utakuwa uko na kichupa cha wine na bby wako,anakudanganya huyo ikifika saa tano tu huyoooo kwa mkewe😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu anajifanya anakupenda u roho tu 😅😜Yaani hapo utakuwa uko na kichupa cha wine na bby wako,anakudanganya huyo ikifika saa tano tu huyoooo kwa mkewe😅😅😅
Acha basi kukatisha wenzio tamaa mzee mwenzangu....watapata hata wagane wa 50 bhana🫣Aisee kuna age group mtu akifika it's by grace of God..
Ni kweli kwamba kuolewa/kuoa inakuja anytime ila tukiangalia uhalisia...mmmh, ujue tu mwanaume akiwa 30s aghalabu sana kuoa mwanamke wa 30s.
Ndiooooo 😆😆 maQu imeze mBoOh zisuguane zifukunyue nyeggeh mkojoleane hadi msinzie kwa starehe na raha utamu burudani🤣🤣🤣🤣🤣Alooooooh
Wivu lazima, huwezi kuhusiana na mtu usimuonee wivu labda kama upo kimaslahi tu.Wee eti wanaona hadi wivu nyie hawa waongoo😅
Duuuh, kuna kitu hakipo sawa kwa upande wako, nakushauri hivi fanya mapenzi sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyo naamini bado hujakutana na mtu sahihi ila yupo ambaye atakufanya utulie achana na ndoa za watu utakuja kupelekea matatizo makubwa kuliko unavyozaniaKwani nilipewa ya kazi gani?kama umepita shule nadhani utaelewa maana ya ile theory ya use and disuse of organs!unataka kifutike?
Possibly na yeye ana yake possibly papuchi haiko njema
Hatari sana, jana nilikuwa kiwanja fulani, ile nageuka kwa nyuma naona pandikizi la baba limekaa kaunta huku suruali ikiwa imeshuka chini na kuonyesha bikini aliyovaa; kusema kweli sikutegemea kabisa kukutana na kitu cha namna hiyo. Ndipo watu wakanijulisha yule ameleft kundiKwamba wanamme nao wanaolewa?
😂😂😂😂😂Hey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!
2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu
3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii
NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?
Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
Ninavyokuona unaweza pata heart attack!maana unajua sana kupanic🥲🥲pole,na relax kidogoDuuuh, kuna kitu hakipo sawa kwa upande wako, nakushauri hivi fanya mapenzi sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyo naamini bado hujakutana na mtu sahihi ila yupo ambaye atakufanya utulie achana na ndoa za watu utakuja kupelekea matatizo makubwa kuliko unavyozania
Kuvunja ndoa ya mtu sio rahisi,unless huyo mke nae awe kamchoka mmewe...Unabidi kusali na kufunga upate the right person akitulize
Kuitwa mchipuko (concubine) haipendezi.
Unaweza vunja ndoa ya MTU kimasihala kitu ambacho kitakufanya uwe guilty na kupokea bad karma in future.