Kero za kudate mume wa mtu

Kero za kudate mume wa mtu

Aisee kuna age group mtu akifika it's by grace of God..
Ni kweli kwamba kuolewa/kuoa inakuja anytime ila tukiangalia uhalisia...mmmh, ujue tu mwanaume akiwa 30s aghalabu sana kuoa mwanamke wa 30s.
Acha basi kukatisha wenzio tamaa mzee mwenzangu....watapata hata wagane wa 50 bhana🫣
 
Kwani nilipewa ya kazi gani?kama umepita shule nadhani utaelewa maana ya ile theory ya use and disuse of organs!unataka kifutike?
Duuuh, kuna kitu hakipo sawa kwa upande wako, nakushauri hivi fanya mapenzi sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyo naamini bado hujakutana na mtu sahihi ila yupo ambaye atakufanya utulie achana na ndoa za watu utakuja kupelekea matatizo makubwa kuliko unavyozania
 
Kwa kifupi sisi wanaume tunawachukulia michepuko kama malaya. Toka lini malaya ukamwambia ukweli

Ni wanawake wa kujipoozea chombo ya starehe na huwa hatuwachukulii serious

Tatizo lenu michepuko ni kutaka tuwatreat kama wake zetu. Mchepuko ni malaya kama malaya wengine. We treat them like bitches

Wanaume tulioa tunaojilewa family always comes first hata tuwe na michepuko
 
Kwamba wanamme nao wanaolewa?
Hatari sana, jana nilikuwa kiwanja fulani, ile nageuka kwa nyuma naona pandikizi la baba limekaa kaunta huku suruali ikiwa imeshuka chini na kuonyesha bikini aliyovaa; kusema kweli sikutegemea kabisa kukutana na kitu cha namna hiyo. Ndipo watu wakanijulisha yule ameleft kundi
 
Hey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!

2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu

3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii

NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi

KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?

Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
😂😂😂😂😂
Unafichwa kama bangi.

Ila watu ni waongo sana
Eti hampendi mkewe au mumewe
Hapo wamefunga hadi ndoa ya kanisani.

Nyie watu wanachuma dhambi hivihivi.
 
Duuuh, kuna kitu hakipo sawa kwa upande wako, nakushauri hivi fanya mapenzi sehemu sahihi sio unatumika tumika tu hovyo naamini bado hujakutana na mtu sahihi ila yupo ambaye atakufanya utulie achana na ndoa za watu utakuja kupelekea matatizo makubwa kuliko unavyozania
Ninavyokuona unaweza pata heart attack!maana unajua sana kupanic🥲🥲pole,na relax kidogo
 
Unabidi kusali na kufunga upate the right person akitulize

Kuitwa mchipuko (concubine) haipendezi.

Unaweza vunja ndoa ya MTU kimasihala kitu ambacho kitakufanya uwe guilty na kupokea bad karma in future.
Kuvunja ndoa ya mtu sio rahisi,unless huyo mke nae awe kamchoka mmewe...
 
Back
Top Bottom