Kero za kudate mume wa mtu

Mnajifanya hamuwapendi hao waume wa watu, ila hela zao mnazipenda!
 
Dah! Siku zote eti nilifikiri wewe ni dume kama mimi! Ila kupitia haya maelezo yako hapa, nahisi nilipuyanga!!
 
Katika huo utafiti wa waume za watu,
Walikutafuna wangapi mpaka kukamilisha huo utafiti wako?

Kwa tabia hiyo ndio maana hujaolewa,unarukia waume za watu tu,

Namuonea huruma atakayekuja kuowa hilo Daladala analopanda kila abiria.
 
Nawastua wadogo zangu waache kupoteza muda,.....au wewe ndio wale wa kujifanya my wife is amazing huku unambusu concubine 😁?
Kuna stage ambapo mwanamke yupo single, hakuna picha inayosoma na anahitaji mtu wa kumpa liwazo, ndipo married man anapoingia na kutuliza mawimbi. Siku akikutana na mtu akahisi kuna future sisi married men hatuna shida, let her go aanzishe maisha yake mengine.

Kuna wale early thirties-mid forties ambao wengi ni ngumu kupata mume, hapo ndipo married man anapoingia, usipuuze ngumu ya mume wa mtu.
 
Yaan umeongea kama mme wangu likifika suala la umalaya ni mnafki huyu baba sijapata kuona anatoa siri za familia anawwaambia michepuko yake kutwa kunikandia mama yake hanipendi utazan mimi nna shida ya kupendwa,ila michepuko yake inamfaidi maana anaipa sanaaa kipaumbele kuliko mimi na akizaa kwao wanafurahiii sana
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Mimi sitacheat nikishamuweka Mage wangu ndani
 
Oooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…