Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
Kwanini wanzanibari ndo waanze? Tanganyika haina kero ktk Muungano huo?
Muungano ukivunjika, Tanganyika itasambaratika. Lukuvi alishasema.
Zanzibar iliungana na Tanganyika kufanya Jamhuri ya Muungano wa nchi hizo mbili tajwa, kwa maana hiyo referendum haiwezi kuwa na maana kwa Zanzibar pekee bila Tanganyika kufanya pia referendum.Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
Kwanini wanzanibari ndo waanze? Tanganyika haina kero ktk Muungano huo?
Ni wazo zuri lakini kwa nini wazanzibari peke yao? Watanganyika nao waulizwe. Muungano uendelee pale tu pande zote zikiukubali. Upande mmoja ukiukataa tugawane fito.Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
Zanzibar iliungana na Tanganyika kufanya Jamhuri ya Muungano wa nchi hizo mbili tajwa, kwa maana hiyo referendum haiwezi kuwa na maana kwa Zanzibar pekee bila
Tanganyika kufanya pia referendum.
Watanzania wote wapitishiwe referendum kuhusu huu muungano. Nina hakika kwa kufanya hivyo muungano utaimarika zaidi au nyufa zitaonekana wazi na hivyo kuzikarabati kama kero za muungano.
Zanzibar ni tajiri kama Scotland ilivyo "in relation to.."Scotland ni tajiri ila Zanzibar ni maskini wa kutisha
Scotland ni tajiri ila Zanzibar ni maskini wa kutisha
Mi naunga mkono hoja ila maoni yasiwe ya upande mmoja tu. Ifanyike nchi nzima, na kama upande mmoja ndio hawataki, tuanzie hapo kutafuta njia ya kuuondoa muungano.Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
Mi naunga mkono hoja ila maoni yasiwe ya upande mmoja tu. Ifanyike nchi nzima, na kama upande mmoja ndio hawataki, tuanzie hapo kutafuta njia ya kuuondoa muungano.
Zanzibar pekee hawawezi kuwa na jukumu la kuamua hatma ya muungano
Huu muungano ilikuwa kwamba tukishazoeana pande zote mbili matatizo haya madogo madogo yangekwisha na tukaendelea kuwa nchi moja. Waasisi walikuwa na matumaini hayo, lakini walichosahau ni kwamba baada ya wao kutoweka kwenye ulingo, hapakuwepo tena warithi wa nafasi zao wenye uwezo wa kuupalilia muungano ili uwe imara zaidi. Badala yake kukajitokeza wasiotaka muungano na kuongeza mafuta, hasa upande wa Zanzibar. Hawa walikuwepo toka mwanzo, lakini nguvu zao hazikuweza kufurukuta kupinga ushawishi wa kuwepo kwa muungano.Ni jambo jema basi tufanye referendum kila upande uwe na kura zake binafsi zisichanganywe kuhesabiwa pamoja. Maana ni ngumu kuandika katiba mpya na kutatua changamoto bila kwanza kushughurika na matatizo rahisi kabisa yaliyopo ambayo tunayafanya kuwa magumu. Changamoto zote za muungano zinatatuliwa na referendum tu.
Hofu ya Tanganyika ni mgawo wa bahari kuu muungano ukivunjika.Kwanini wanzanibari ndo waanze? Tanganyika haina kero ktk Muungano huo?