Kero za Muungano: Ni wakati muafaka kwa Wazanzibari kufanya Referendum

Kero za Muungano: Ni wakati muafaka kwa Wazanzibari kufanya Referendum

Tanganyika ni mvamizi aliyejificha kwenye jina la Tanzania

Uvamizi kwa kivipi?Tanzania Bara ipo, Zanzibar(au Tanzania visiwani) ipo. Labda kasema Raia kutoka Tz Bara hawaruhusiwi kuwa na mashamba wala plot za kujenga nyumba Tanzania Visiwani(Zanzibar)! Je, hii ni kweli kama ni kweli basi hii ni kero muhimu ya kuishuhulikia. Ni miaka 57 hii kero ipo!
 
Nafikiri niwakati sasa umefika Zanznibar wafanye referendum kwamba wanataka muungano Ndio/Hapana. Baada ya hapo ndo tutakuwa na jibu sahihi la kupata ufumbuzi wa kudumu wa hiki tunachoita muungano.
Tunataka TANGANYIKA yetu pia then ZANZIBAR yao pia Ndo twende sawa ,TANGANYIKA imekua koloni la Zanzibar haikubaliki
 
Uvamizi kwa kivipi?Tanzania Bara ipo, Zanzibar(au Tanzania visiwani) ipo. Labda kasema Raia kutoka Tz Bara hawaruhusiwi kuwa na mashamba wala plot za kujenga nyumba Tanzania Visiwani(Zanzibar)! Je, hii ni kweli kama ni kweli basi hii ni kero muhimu ya kuishuhulikia. Ni miaka 57 hii kero ipo!

Mbona unachanganya muhogo , viazi , magimbi, maboga, ndizi nk kwenye chungu kimoja ??

Hivi Tanzania bara ni nchi gani hiyo??

Tanzania visiwani ni nchi gani hiyo ???
 
Haina shida; bahari na maji ni mali ya Tanganyika. Nchi Kavu itakuwa mali ya Zanzibar.
Acha utani. Taratibu ya kimataifa ya mgao wa bahari kuu itawaliza. Sana.Tanganyika itaambulia ekari chache ya Bahari kuu.Rejea kesi ya Somalia Kenya maritime border.
 
Acha utani. Taratibu ya kimataifa ya mgao wa bahari kuu itawaliza. Sana.Tanganyika itaambulia ekari chache ya Bahari kuu.Rejea kesi ya Somalia Kenya maritime border.
Zanzibar ndogo mno haiwezi chukua bahari hata
 
Kwani kuna Muungano ? Hebu ileteni hati ya makubaliano ya Muungano tuione. Ndio tuujadili kama ni wa kuvunjwa au kuamka na kutangaza kila mtu asepe kivyake.
 
Kwani kuna Muungano ? Hebu ileteni hati ya makubaliano ya Muungano tuione. Ndio tuujadili kama ni wa kuvunjwa au kuamka na kutangaza kila mtu asepe kivyake.
Hati gani, kwani kuna hati gani Mwanza na Dar es Salaam kuwa nchi moja ama Pemba na Ugunja? Kuna makubaliano mengine siyo lazima ziwe na hati kama zilivyo ndoa siyo wanandoa wote wana cheti cha ndoa.
 
Hati gani, kwani kuna hati gani Mwanza na Dar es Salaam kuwa nchi moja ama Pemba na Ugunja? Kuna makubaliano mengine siyo lazima ziwe na hati kama zilivyo ndoa siyo wanandoa wote wana cheti cha ndoa.
Kasema Nani au kitabu gani kiliandika ?
 
Kasema Nani au kitabu gani kiliandika ?
Vitabu vipo vingi, na picha na video wakichanganya udongo waasisi.

download.jpg
 
Kama leo wanapewa dola 100m toka kwenye mkopo utakaolipwa na watanganyika; ni mzanzibari kichaa anayeweza kuwaza kujitenga kwa wakati uliopo.
 
Back
Top Bottom