Kero za nyumba za kupanga: Nawasha taa moja ila naambiwa nilipe bill ya umeme sawa na wanaotumia TV na Fridge

Kero za nyumba za kupanga: Nawasha taa moja ila naambiwa nilipe bill ya umeme sawa na wanaotumia TV na Fridge

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saa nne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia heater

Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
 
Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saanne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia Ita

Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
Umeamua kuwasha moja kwa matakwa yako. Hukajakatwaza. Lipa umeme dogo
 
Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saanne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia Ita

Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
Usihofu hiyo iwe hamasa ya kuitwa mwenye nyumba siku moja.
 
Iliwahi nikuta iyo 2022 moshi nime amia nyumba ina zile za kusoma matumizi kila chumba ,lakini kwakua wana jijua wana tumia sana wakawa wanakataa kusoma etii apa tuna utaratibu wa kulipia tu nika goma asee,

bill ikawa natoa buku mda mwingine jero na umeme ulikua aukai kabisa watu Wana washa fridge 24hrs
 
Back
Top Bottom