Umeamua kuwasha moja kwa matakwa yako. Hukajakatwaza. Lipa umeme dogoHii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saanne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia Ita
Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
Usihofu hiyo iwe hamasa ya kuitwa mwenye nyumba siku moja.Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saanne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia Ita
Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
inanihusu mimi nini wewe kanjanja?? mie nipo kwenye nyumba yangu wewe kazana kupanga na ubahili, yani uwashe taa moja huku umekodi kwa sh 300k?? are you insane??Now nime rent Sinza Room 300K maji na umeme juu yako hakuna kushare na soon nitakuwa nimehamia kwangu
inanihusu mimi nini wewe kanjanja?? mie nipo kwenye nyumba yangu wewe kazana kupanga na ubahili, yani uwashe taa moja huku umekodi kwa sh 300k?? are you insane??
Ukitaka uhuru Jenga yako au panga nyumba nzima inayojitegemea LUKU yake.
Hivi kwanini watz wengi wanapenda kujiliza kindezi mtakuja kuolewa bure bila mahari.
Sasa kama una uwezo wa kujenga unalia bill ya umeme wa elfu 30,50 kwa mwezi kwa kigezo unawasha taa moja??Waswahili wajinga Sana Ku rent haimaniishi hauna uwezo wa kujenga nyumba
Kwa kweli au akapange nyumba ya giza😁😁Hama usiwasumbue wenzako we muha