Kero za nyumba za kupanga: Nawasha taa moja ila naambiwa nilipe bill ya umeme sawa na wanaotumia TV na Fridge

Wabongo wajinga Sana akili ndogo kichwani.
 
Jichange weka MITA Yako... Ongea na Mwenye nyumba mtakatana kidogo kidogo kwenye Kodi.
 
So vitu vya kuwaza hivo hata kama una taa Moja we lipa. Cha muhim usije ukakuta umeme umeisha afu walete uswahili kununua ikiwa hivo wapelekee moto
 
Huo ni ujinga wako sinuhame tafuta sehemu ya kita yako
 
Mkuu naona umeamua kuandika hii Habari kwa wakati uliopita ili kuficha aibu ya kukaa chumba kimoja mpaka sasa, Pole mkuu pambana ujikwamue hapo ulipo
 
Kumbe na ww n sawa na hawa ninaowaonaga wasumbufu.

Ww haujakatazwa kununua tv, feni wala friji, kwann usinunue?.

Then hakunaga formula inayochakata hesabu za matumizi ya umeme kwa kila member wa chumba ikiwa mnachangia luku 1.

Kimsingi hapo amna shida, wachangie wenzako wasojua kujibana.
 
Utapanga daima you can't get anywhere Kwa kuumiza wenzio

Wale wajinga nimewaacha uswahilini wanakula msoto.
Kwahyo ww kwenda kupangaa sinza nyumba ya laki 3 ndy unajiona mjanja asee wajinga huwa wanakuwa wengi sana
Afu dogo nawasi hujakuaa unatuletea chai kutoja kuwasha taa moja mpka kupanga nymba ya laki 3 chai hizii
 
kipindi hicho ulikua na hali ngumu sana ee gentleman?

vipi mchango wa barabara na ulinzi nayo ullilipishea kiasia gani na hukua hata na baiskeli, bodaboda au gari?

ulilalamika kwamba wewe hupiti sana kwenye hiyo barabara, na kwahivyo utalipa kidogo tofauti na wenye magari n.k?

Sadaka unatoa kweli gentleman?

Mie nadhani kama unayo toa tu mbona kwenye gambe na michepuko wala hata hujivungi, unatoa tu 🐒
 
Mi sikuchota maji bombani miezi miwili...bili ilipotoka kulipa kukawa palepale....
Mwezi uliofuata nikawa nachota maji namwaga nje ya geti kupunguza vumbi...walivimba walichina.
Sasa ulikua unatumia maji ya kisimani au dukani?
 
So vitu vya kuwaza hivo hata kama una taa Moja we lipa. Cha muhim usije ukakuta umeme umeisha afu walete uswahili kununua ikiwa hivo wapelekee moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…