We ndo wale waleKumbe na ww n sawa na hawa ninaowaonaga wasumbufu.
Ww haujakatazwa kununua tv, feni wala friji, kwann usinunue?.
Then hakunaga formula inayochakata hesabu za matumizi ya umeme kwa kila member wa chumba ikiwa mnachangia luku 1.
Kimsingi hapo amna shida, wachangie wenzako wasojua kujibana.
Nina vyombo vya kutunzia maji ya mvua... kipindi cha mvua huwa situmii maji ya bomba....Sasa ulikua unatumia maji ya kisimani au dukani?
Katafute nyumba ya hadhi yako mkuuHii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saa nne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia heater
Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
InasikitishaUkitaka uhuru Jenga yako au panga nyumba nzima inayojitegemea LUKU yake.
Hivi kwanini watz wengi wanapenda kujiliza kindezi mtakuja kuolewa bure bila mahari.
Hama. Kwani taa za ulinzi zinawalindia jirani tu?Hii ilinitokea kipindi napanga , nilikuwa nawasha taa moja usiku wa Saa nne Ila nilikuwa nalazimishwa kulipa bill sawa na wanaotumia TV, feni, radio pasi ya umeme na fridge na wengine walikuwa wanatumia heater
Hii ndo akili ya MTU mweusi huwa aangalii usawa Ila anaangalia mbele ya pua yake.
Umenigusa dadeqKweli nyumba za uswazi ndio style yake. Kwanza umeme unawekwa wa buku buku
We ndo wale wale