wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Dawa ya hiyo kitu usipange nyumba yenye vyumba vingi, tafuta yenye vyumba vichache ili kama wakiwepo hao wasumbufu, wawe wachache, na kodi pia isiwe ile ya kimazoea, tafuta yenye kodi ya juu kidogo.
Umejenga nyumba ngapi mpk sa hivi mkuu?Sasa kama una kazi ya kufanya kwanini unashinda nyumbani na wamama?,jenga yako acha kurelax kwenye nyumba aliyejenga mwanaume mwenzio [emoji851]
Sio jamaa sema ni wewe ndio ulipewa pole.....usijgope mkuuPale keko palivyokaa ovyo wanakaa karibu na choo kuchafu wameweka mkeke wanapiga story wengine wanasukana..Kuna jamaa aliingia chooni alikuwa anaharisha alipotoka wakawambia "polee" jamaa alihisi aibu sana
Dah hayo yalinukuta aiseeUkiingiza mwanamke wanamsubiri uani. Akiingia chooni tu wanaanza kukukachifu kwa umalaya, magonjwa ya zinaa na ubahili ili kumkatisha tamaa demu wako.
Dah! Miaka 20+ iliyopita nilipanga geto kwenye nyumba fulani hivi na masela wangu wawili!Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Dalali anakuwa ameshasafisha njia ama ni vp 😃Halafu ile siku unapoenda na dalali kucheki mazingira kama sehemu itakufaa huwezi kuwaona, tia mguu sasa!
Mkuu hawapo humu na ni vigumu kuwepo humu.Ngoja waje. Leo mmeamua kuwateta humu JF mnadhani hawapo humu?
Sasa subirini mrudi na videmu vyenu huko magetoni
Tafuta apartment bro, utasahau kabisa hizo mamboJamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Akajiona anafanya kazi DAWASAKuna huyo muuni alikabidhiwa majukumu ya umeme na maji mashauzi kibao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noma sanaUkiingiza mwanamke wanamsubiri uani. Akiingia chooni tu wanaanza kukukachifu kwa umalaya, magonjwa ya zinaa na ubahili ili kumkatisha tamaa demu wako.
Kwa budget ya 80k kwa mwezi?
😂😂😂😂Sio jamaa sema ni wewe ndio ulipewa pole.....usijgope mkuu
Tatizo chumba chako umekigeuza kuwa kibanda cha kikatia tiketi za mechi ya Simba na Yanga, anaingia Mgeninani akitoka unamuingiza Mkegani akitoka unamuingiza Chausiku huyu mpaka kuchwele na chumbani mwako kumejaa vichupa vya MO eneji, oa mke ubane matumizi yasiyo ya lazima.Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.
Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni
Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
[emoji23][emoji3][emoji3] wewe jamaa I wish nikutane nawe live yani unayajua machimbo yote,jana nilipita hayo maeneo kwa mama zakaria ujiji manjunju to kinondoni