Kero za nyumba za kupanga: Wamama wanaoshinda vibarazani/ makoridoni kwenye mikeka wanakosesha amani wapangaji wengine

Kero za nyumba za kupanga: Wamama wanaoshinda vibarazani/ makoridoni kwenye mikeka wanakosesha amani wapangaji wengine

Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.

Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni

Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.

Sasa kama una kazi ya kufanya kwanini unashinda nyumbani na wamama?,jenga yako acha kurelax kwenye nyumba aliyejenga mwanaume mwenzio [emoji851]
 
Dawa ya hiyo kitu usipange nyumba yenye vyumba vingi, tafuta yenye vyumba vichache ili kama wakiwepo hao wasumbufu, wawe wachache, na kodi pia isiwe ile ya kimazoea, tafuta yenye kodi ya juu kidogo.

Eti kodi ya kimazoea [emoji28]
 
Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.

Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni

Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Dah! Miaka 20+ iliyopita nilipanga geto kwenye nyumba fulani hivi na masela wangu wawili!

Kuanzia mama mwenye, na baadhi ya wamama ambao mabwana zao walikuwa wanafanya kazi kwenye kampuni fulani ya Makaburu, walikuwa wanashinda kwenye vibaraza kutwa nzima!

Aisee yale mateso ya kuingia na binti geto ili kupoza machungu ya shule, yalikuwa hayavumiliki. Ukichukulia wote tulikuwa bado tunasoma!! Acha kabisa. Yaani full aibu.
 
Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.

Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni

Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Tafuta apartment bro, utasahau kabisa hizo mambo

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Jamani nyumba za kupanga zina shida sana.

Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni

Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
Tatizo chumba chako umekigeuza kuwa kibanda cha kikatia tiketi za mechi ya Simba na Yanga, anaingia Mgeninani akitoka unamuingiza Mkegani akitoka unamuingiza Chausiku huyu mpaka kuchwele na chumbani mwako kumejaa vichupa vya MO eneji, oa mke ubane matumizi yasiyo ya lazima.
 
[emoji3][emoji3] wewe jamaa I wish nikutane nawe live yani unayajua machimbo yote,jana nilipita hayo maeneo kwa mama zakaria ujiji manjunju to kinondoni
[emoji23]


Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?
 
Back
Top Bottom