and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia NYAMA PENDWA na kilevi hadharani.
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying "name calling" (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
NB: ukifika Zanzibar epuka wahuni wanaojificha kwa kuvaa kanzu.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia NYAMA PENDWA na kilevi hadharani.
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying "name calling" (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
NB: ukifika Zanzibar epuka wahuni wanaojificha kwa kuvaa kanzu.