Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ardhi umenyimwa au ni kibunda huna mkuu.Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Wazee wa changu changu, chako changu! Nawaona tu.Mapori yote ya huko bara bado unataka ardhi ya Zanzibar? Tamaa tuu.
Eti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!Tatizo wana hisia za kimorroco,wanajifanya wao wanafaa kuwa muungano wa falme za kiarabu๐๐๐๐๐๐๐
Poor watumbatu
Na sisi tuwafanyie hivyo hivyo hao wanzibari ikiwa ni pamoja na kuwanyima kuwa marais na mawaziri huku bara, huo ndio usawa unaotakiwa katika muungano wetu.Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Kwani nani alikuita Zanzibar? kiherehere chako tu , rudi ShinyangaIkiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Haiwezekani ,Zanzibar ni nchi kamili ina haki kwenye mambo ya Tanzania, narudia Tanzania sio Tanzania baraNa sisi tuwafanyie hivyo hivyo hao wanzibari ikiwa ni pamoja na kuwanyima kuwa marais na mawaziri huku bara, huo ndio usawa unaotakiwa katika muungano wetu.
Nyerere alifanya maamuzi ya mtoto wa darasa la piliTanganyika ni cha wote, na Zanzibar ni ya Wazanzibar peke yao!.
Nyerere alifanya uhaini kuua uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa watu wa nchi jirani ya Zanzibar
Basi wasiwe marais bara na wawe na bajeti yao wasitegemee Bara.Haiwezekani ,Zanzibar ni nchi kamili ina haki kwenye mambo ya Tanzania, narudia Tanzania sio Tanzania bara
Wanadanganyika na tende za sukari....wananishangazaga Sana watu waliomix race na kuona wao hawausiki na rangi nyeusi wakati wamelala kwenye matumbo meusiEti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!
Halafu Kutoka huko Oman na Saudia kwenyewe, miaka nenda huwa wanaambulia msaada wa tende tu wakati wa mfungo.
Wazanzibari mnapenda sana mfimo wa changu changu, chako changu! Tunawaangalia tu mnavyo penda Muungano wa utegemezi.Haiwezekani ,Zanzibar ni nchi kamili ina haki kwenye mambo ya Tanzania, narudia Tanzania sio Tanzania bara
Siku tukivunja huu muungano. Wazanzibari wa kawaida(Wasio viongozi) ndio watakao umia.Wadanganyika bana [emoji23][emoji23][emoji23] kwanini mnaun'gan'gania huo muungano kama mmeshindwa simuuvunje na nina mpango wakuja kununua eneo dar.
Yangu yetu, yao yao!!Zanzibar ni ya wazanzibari kwa ajili ya wazanzibari na Tanganyika ni ya watanganyika na wazanzibari na ni kwa ajili ya pande zote za muungano.
Huu muungano ni wa kidwanzi haujawahi kutokea.
Vunjeni muungano hakuna alie wakatazaWazanzibari mnapenda sana mfimo wa changu changu, chako changu! Tunawaangalia tu mnavyo penda Muungano wa utegemezi.