Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Na tutauvunja tu, ili kila mtu aendelee na 50 zake. Kama mtahamia kwa ndugu zenu wa Oman, sawa tu.Vunjeni muungano hakuna alie wakataza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tutauvunja tu, ili kila mtu aendelee na 50 zake. Kama mtahamia kwa ndugu zenu wa Oman, sawa tu.Vunjeni muungano hakuna alie wakataza
Samia sio Rais wa bara ni Rais wa Tanzania, jifunze kutofautisha Tanzania na Tanzania baraBasi wasiwe marais bara na wawe na bajeti yao wasitegemee Bara.
Zanzibar ipo pale pale vunjeni muungano acheni keleleNa tutauvunja tu, ili kila mtu aendelee na 50 zake. Kama mtahamia kwa ndugu zenu wa Oman, sawa tu.
Serikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuombaHata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.
Inasikitisha sana yaani.
Mtu kwaoHata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.
Inasikitisha sana yaani.
Wizara ya mambo ya ndani ni wizara ya muunganoSerikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Kuulizwa ulizwa kila saa wewe ni mnyamwezi ?Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Na Yale makombora ya kutungulia ndege tuliyoyaficha kwenye bahari ya Zanzibar itabidi tuyatoeSiku tukivunja huu muungano. Wazanzibari wa kawaida(Wasio viongozi) ndio watakao umia.
Walioko kwenye siasa wataneemeka kwa kujipa ma vyeo na vitengo na ujira.
Wazanzibari walioko bara watafukuzwa na kunyang'anywa haki ya kumiliki ardhi.
Think twice.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Kila mtu atokae Bara wanamuita mnyamweziKuulizwa ulizwa kila saa wewe ni mnyamwezi ?
Ovyo sana hao watu..!
Kwenye ajira za polisi mfano wewe siyo Mzanzibari ukiwa Zanzibar ukiomba nafasi za ajira za polisi au Uhamiaji wakiona jina la Joseph, John, Pascal Tu wana yakata hawa yatumi kwenda Wizara ya Mambo ya ndani, Wazanzibari wakisha ajiriwa Wizara ya mambo ya ndani Polisi, Uhamiaji wanarudishwa wote kwao Zanzibar hawa pangiwi Mikoa ya Bara kwenda kufanya kazi , ata TRA wakiajiriwa wa Zanzibar wana pangiwa vituo vya kwao uko Zanzibar .Siku akija rais mwenye mawazo kama yangu, vile visiwa vitakuwa ni moja ya mikoa ya Tanzania huku sheria ikiwa ni moja kila mahali! Yani itakuwa mtu anayetoka Zanzibar ni sawa na aliyepo Mbeya Arusha Dar es Salaam, Morogoro nk... Vivyo hivyo na anayetoka Tanzania Bara itakuwa sawa.
Nchi moja hii kwanini tugawanywe kwa mafungu?
Hakuna Tanzania bila ZanzibarSerikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Tatizo viongozi uchwara wa ccm wameung'ang'ania.kwa sisi wananchi wazalendo huo muungano uchwara tunataka ufe hata kuanzia sasa.Yote hayo ya kujitakia tu, acheni muungano kama mnakereka nao.
Unaenda kuombea Zanzibar ili iweje!?..kaombee kwenu mafingaKwenye ajira za polisi mfano wewe siyo Mzanzibari ukiwa Zanzibar ukiomba nafasi za ajira za polisi au Uhamiaji wakiona jina la Joseph, John, Pascal Tu wana yakata hawa yatumi kwenda Wizara ya Mambo ya ndani, Wazanzibari wakisha ajiriwa Wizara ya mambo ya ndani Polisi, Uhamiaji wanarudishwa wote kwao Zanzibar hawa pangiwi Mikoa ya Bara kwenda kufanya kazi , ata TRA wakiajiriwa wa Zanzibar wana pangiwa vituo vya kwao uko Zanzibar .
Ati hata hicho kiduchu wanataka kutunyang'anyaMapori yote ya huko bara bado unataka ardhi ya Zanzibar? Tamaa tuu.
Na huku kila atokaye Zanzibar tunamuita Mpemba.Kila mtu atokae Bara wanamuita mnyamwezi
[emoji1787][emoji1787]ٱللَّٰهُ أَكْبَرُ
Hivyo mtu kwao ipo Zanzibar tu?Mtu kwao