Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Hata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.

Inasikitisha sana yaani.
Serikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
 
Hata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.

Inasikitisha sana yaani.
Mtu kwao
 
Serikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Wizara ya mambo ya ndani ni wizara ya muungano
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.

Ifikie mahali tupunguze kujipendekeza
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Kuulizwa ulizwa kila saa wewe ni mnyamwezi ?
Ovyo sana hao watu..!
 
Siku tukivunja huu muungano. Wazanzibari wa kawaida(Wasio viongozi) ndio watakao umia.

Walioko kwenye siasa wataneemeka kwa kujipa ma vyeo na vitengo na ujira.

Wazanzibari walioko bara watafukuzwa na kunyang'anywa haki ya kumiliki ardhi.

Think twice.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Na Yale makombora ya kutungulia ndege tuliyoyaficha kwenye bahari ya Zanzibar itabidi tuyatoe
 
Siku akija rais mwenye mawazo kama yangu, vile visiwa vitakuwa ni moja ya mikoa ya Tanzania huku sheria ikiwa ni moja kila mahali! Yani itakuwa mtu anayetoka Zanzibar ni sawa na aliyepo Mbeya Arusha Dar es Salaam, Morogoro nk... Vivyo hivyo na anayetoka Tanzania Bara itakuwa sawa.

Nchi moja hii kwanini tugawanywe kwa mafungu?
Kwenye ajira za polisi mfano wewe siyo Mzanzibari ukiwa Zanzibar ukiomba nafasi za ajira za polisi au Uhamiaji wakiona jina la Joseph, John, Pascal Tu wana yakata hawa yatumi kwenda Wizara ya Mambo ya ndani, Wazanzibari wakisha ajiriwa Wizara ya mambo ya ndani Polisi, Uhamiaji wanarudishwa wote kwao Zanzibar hawa pangiwi Mikoa ya Bara kwenda kufanya kazi , ata TRA wakiajiriwa wa Zanzibar wana pangiwa vituo vya kwao uko Zanzibar .
 
Serikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Hakuna Tanzania bila Zanzibar
 
Yote hayo ya kujitakia tu, acheni muungano kama mnakereka nao.
Tatizo viongozi uchwara wa ccm wameung'ang'ania.kwa sisi wananchi wazalendo huo muungano uchwara tunataka ufe hata kuanzia sasa.
 
Kwenye ajira za polisi mfano wewe siyo Mzanzibari ukiwa Zanzibar ukiomba nafasi za ajira za polisi au Uhamiaji wakiona jina la Joseph, John, Pascal Tu wana yakata hawa yatumi kwenda Wizara ya Mambo ya ndani, Wazanzibari wakisha ajiriwa Wizara ya mambo ya ndani Polisi, Uhamiaji wanarudishwa wote kwao Zanzibar hawa pangiwi Mikoa ya Bara kwenda kufanya kazi , ata TRA wakiajiriwa wa Zanzibar wana pangiwa vituo vya kwao uko Zanzibar .
Unaenda kuombea Zanzibar ili iweje!?..kaombee kwenu mafinga
 
Huu muungano umetusababishia kupata viongozi wasio na uelewa wwt, wazembe, hawana uchungu na nchi, wapenda starehe, safari wasizojua kwa nini wanasafiri.
Niieshie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom