Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Eti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!

Halafu Kutoka huko Oman na Saudia kwenyewe, miaka nenda huwa wanaambulia msaada wa tende tu wakati wa mfungo.
Tunawalisha au wanalishwa na hela zao?

Ukiwa mzanzibari bila ya hela utakula nini kutoka kwa Mtanganyika? Usipotoshe.

Otherwise hata Wakenya tuseme tunawalisha bila ya muungano.
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
Kuhusu leseni,sio kweli sana,kama upo kwa muda mfupi,ya bara inatumika vzr tu,nimekaa huko kwa miezi SITA.
Kuhusu. Kutumia kilevi,yapo maeneo,bar,mfano Ccm maisara pale gambe linapigwa sana.
Au fuoni lodge,mziki,pombe sana tu,
Yapo mpaka maeneo Kuna mbuzi katoriki.
Makanisa yapo sana,hata pale stone town,Kuna kanisa kubwa tu,kuhusu uhuru wa kuabudu au kubaguliwa,hayo ni matukio machache,hata bara po,miaka ya 90,waislam walivamia na kuvunja mabucha ya kitimoto ubungo.
Kuhusu kumiliki ardhi,wabara kibao wanaardhi,wamejenga lodges,majumba,nk.Zenj ni ndogo,inaingia Kagera hata mala kumi!!Dar ina watu wengi kuliko Zenj!!
Kuna mazuri mengi tu ya Zenj,kwanza ni watu waaminifu sana.
Wewe hujafika Zenj,
 
Hilo la 5 unataka kupandisha watu Munkar tu. Ulaaniwe!

Utakunywaje pombe mbele za watu hadharani?
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
 
Na hivi mamluki mwenzao mmoja kashika usukani tutapata shida mno
 
Huu muungano ni wa matambiko ndio maana CCM hawako tayari uvunjike, na hawako tayari kutoka madarakani kwa amani maana wanajua siri ya uwepo wake itafahamika, na uwezekano wa kuvunjika ni mkubwa. Ndio maana wako tayari kufanya lolote ili wabaki madarakani na muungano ubaki.
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
Sahihi kabisa, bora huu muungano fake uvunjwe haraka
 
Huwa sioni faida ya muungano huu wa Zanzibar na Tanganyika.

Kama ukienda kununua vitu kwa bei rahisi huku wanakucharge tena ushuru, ardhi huwezi miliki. Ni hasara tupu

Mwenye kujua faida za huu Muungano kwetu wabara azitaje nijue labda kwa chama cha CCM.
Faida za muungano wanazijua makada pekee
 
Huu muungano ni wa matambiko ndio maana CCM hawako tayari uvunjike, na hawako tayari kutoka madarakani kwa amani maana wanajua siri ya uwepo wake itafahamika, na uwezekano wa kuvunjika ni mkubwa. Ndio maana wako tayari kufanya lolote ili wabaki madarakani na muungano ubaki.
Hakuna muungano hapo ni hasara tupu kwetu
 
Kuna njia nyingi za kuzuia hayo yasitoke;
1.Zanzibar inaweza kuwa mkoa tu au wajitegemee kabisa wenyewe, watachagua.
2.Kunaweza kuwa muungano wa nchi Tatu,
3.Tunaweza kuwa na serikali za majimbo, Zanzibar nayo ikawa jimbo.
Siku tukivunja huu muungano. Wazanzibari wa kawaida(Wasio viongozi) ndio watakao umia.

Walioko kwenye siasa wataneemeka kwa kujipa ma vyeo na vitengo na ujira.

Wazanzibari walioko bara watafukuzwa na kunyang'anywa haki ya kumiliki ardhi.

Think twice.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Kuna njia nyingi za kuzuia hayo yasitoke;
1.Zanzibar inaweza kuwa mkoa tu au wajitegemee kabisa wenyewe, watachagua.
2.Kunaweza kuwa muungano wa nchi Tatu,
3.Tunaweza kuwa na serikali za majimbo, Zanzibar nayo ikawa jimbo.
Kama viongozi wataacha ubinafsi na tamaa. Nchi inatakiw kua moja na serikali inatakiwa kua moja. Hata kama ni ya majimbo sawa tuuu.


Mengine yote ni ubinafsi na uroho wa madaraka. Hii mipaka tunayoweka haina faida yeyote kw raia wa kawaida

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Wa bara kusemwa hadharani kuwa mishedede yenu imepinda halafu eti me wa bara wana mikia!....mtu anakushika nyaa kabisaa kujua km una mkia! sasa fikiria watakushika shika wangapi???
 
Huu muungano ni wa matambiko ndio maana CCM hawako tayari uvunjike, na hawako tayari kutoka madarakani kwa amani maana wanajua siri ya uwepo wake itafahamika, na uwezekano wa kuvunjika ni mkubwa. Ndio maana wako tayari kufanya lolote ili wabaki madarakani na muungano ubaki.
Kwa nini watawala hawataki muungano wa serikali moja ambayo ndiyo sera yao waliyoiweka hadharani zama za G55?
 
Back
Top Bottom