Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Hata upande wa ajira ikitokea kuna nafasi zipo kule basi kwa sehemu zilizo nyingi lazima waandike mwombaji lazima awe na kitambulisho cha Mzanzibari mkazi ambapo hapo ni kama wameamua ajira wapaeane wao kwa wao tu lakini ukija huku bara hamna mambo hayo.

Inasikitisha sana yaani.

mnakosa elimu ya msingi ya huu Muungano wetu, Ndio mana malalamiko yasiyo na msingi ni mengi sana.
 
Serikali ya Tanzania itabidi iweke vipengele kwenye baadhi matangazo ya ajira kwenye wizara na taasisi za Serikali, mfano Bandari, PCCB, Magereza, wizara ya Afya, ikitangaza nafasi za kazi iseme muombaji lazima awe Mtanganyika Baba na Mama na kama Mzanzibari atakiwi kuomba
Serikali ya Tanzania ni yetu sote Zanzibar na Tanganyika, sasa vipengele unavyo taka haiwezekani
 
Eti wanajiona ndugu zao wa damu ni Waomani!! Halafu cha kushangaza, sisi Watanganyika ndiyo tunaowalisha na kuwanywesha!

Halafu Kutoka huko Oman na Saudia kwenyewe, miaka nenda huwa wanaambulia msaada wa tende tu wakati wa mfungo.
Vunjeni muungano mnalalamika nini kila siku
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.

1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).

2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani.

3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.

4. Bullying (kuitwa CHOGO).

5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
5. Kuitwa gozi
 
Wanadanganyika na tende za sukari....wananishangazaga Sana watu waliomix race na kuona wao hawausiki na rangi nyeusi wakati wamelala kwenye matumbo meusi
Hiyo inatokana na inferiority complex yenu wabara. Hapa Zanzibar watu wamekuwa mchanganyiko kwa karne nyingi tu na wala hakuna anayemdharau mtu. Lakini tangu mumeanza kuingia visiwani humu imekuwa maneno maneno mengi tu ya chuki na hasada.
 
Mwaka wa ngapi huu mnalia lia humu?vunjeni muone kama Zanzibar itakwisha
Hivi siku maccm akili ikiwakaa sawa, na kuridhia kujitoa kwenye huu muungano wa ukupe wa changu changu, changu chako; si mtakuwa mnashindia urojo na tende tu nyinyi!!

Mnaleta jeuri, na wakati mnaitegemea Tanganyika kwa kila kitu?
 
Tanganyika ni cha wote, na Zanzibar ni ya Wazanzibar peke yao!.

Nyerere alifanya uhaini kuua uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa watu wa nchi jirani ya Zanzibar
Maadui wa muungano hamtafanikiwa kutugawa
 
Hivi siku maccm akili ikiwakaa sawa, na kiridhia kujitoa kwenye huu muungano wa ukupe wa changu changu, changu chako; si mtakuwa mnashindia urojo na tende tu nyinyi!!

Mnaleta jeuri, na wakati mnaitegemea Tanganyika kwa kila kitu?
Hatutegemei paka yeyote kila kitu tunanunua kwa pesa zetu, vunjeni muungano hata leo usiku halafu utaona Zanzibar itakavyo pendeza, Tanganyika kumejaa wezi na wala rushwa halafu mna laumu Zanzibar kwa upuuzi wenu
 
Back
Top Bottom