Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Kero za Wabara (Tanganyika) wakiwa Zanzibar

Huu muungano una songobingo nyingi sana. Mojawapo ni hii....

Kule Zanzibar Watanganyika tunaitwa Machogo.
 
Mi nadhani Tabia pia inachangia sana jinsi utakavyokuwa treated Unguja, sijui Pemba sijafika.
Wanawake wa bara hasa waislam au wanaofuata Tabia za uislam huwa wanapokelewa vizuri sana na wanaheshimiwa. Pia hupata kazi kirahisi hasa kazi za binafsi, sijui za serikali.
Pia ukijiheshimu Zanzibar unaishi vizuri tu. Ila kama mtu wa bar na mademu, Zanzibar utaishi kwa tabu.
Hata huku bara, Arumeru, Hai ni kazi sana kuhamia kwa mfano kama wewe ni mtu wa pwani.
 
Kwahiyo mtu akitaka kwenda Zanzibar abadili dini

Nyie mashehe icho kitabu kimewafanya watu wa hovyo
Mi nadhani Tabia pia inachangia sana jinsi utakavyokuwa treated Unguja, sijui Pemba sijafika.
Wanawake wa bara hasa waislam au wanaofuata Tabia za uislam huwa wanapokelewa vizuri sana na wanaheshimiwa. Pia hupata kazi kirahisi hasa kazi za binafsi, sijui za serikali.
Pia ukijiheshimu Zanzibar unaishi vizuri tu. Ila kama mtu wa bar na mademu, Zanzibar utaishi kwa tabu.
Hata huku bara, Arumeru, Hai ni kazi sana kuhamia kwa mfano kama wewe ni mtu wa pwani.
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo;
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ardhi.
Zanzibar ni Nchi
 
Kwahiyo mtu akitaka kwenda Zanzibar abadili dini

Nyie mashehe icho kitabu kimewafanya watu wa hovyo
Huyo ndiyo ukweli. Hata muislam kuhamia Akeri au Poli hatajisikia huru kupiga adhana mara tano.
Lakini wameru kibao wapi beach za Unguja.
 
Wadanganyika bana [emoji23][emoji23][emoji23] kwanini mnaun'gan'gania huo muungano kama mmeshindwa simuuvunje na nina mpango wakuja kununua eneo dar.
Njooni mjenge siku ukivunjika Muungano mnatuachia.nyumba majirani zenu nyie mnarudi kweni kuanza moja karibu sana
 
Huu muungano umetusababishia kupata viongozi wasio na uelewa wwt, wazembe, hawana uchungu na nchi, wapenda starehe, safari wasizojua kwa nini wanasafiri.
Niieshie hapo kwanza.
Alimradi umekaa kwenye keyboard utaandika ujinga wowote
 
Kuulizwa ulizwa kila saa wewe ni mnyamwezi ?
Ovyo sana hao watu..!
Wana haki wakuulize maana huko Zanzibar kuna makabila matatu makuu ya bara, hao unaopishana nao wengi wana asili ya unyamwezini, ungoni au wamakonde japo wengine wanaficha, ukweli ndio huo.
 
Kwahiyo mtu akitaka kwenda Zanzibar abadili dini

Nyie mashehe icho kitabu kimewafanya watu wa hovyo
Zanzibar wako wakristo wa asili na wamekuwa wakiishi kwa kuheshimiana na wenyeji bila ya shida yo yote.

Tumekuwa tunawakumbuka akina Mwakanjuki, Agustino Ramadhani, Douglas Toto (wote marehemu), Charles Hillary na wengine wengi tumeishi nao kwa furaha na amani na kwa ushirikiano mkubwa wa ujirani. Leo mumekuja wakristo wa bara ndiyo mumeleta maneno mengi na kutaka kujifanya kuwa watawala.
 
Kwani kuna gharama gani tukienda pale tanga tuka unplug umeme alaf zile fiber zao zinazopiga ruti dar zenji zikabeba wazanzibar wote zikawarudisha makwao alaf tukabaki na nchi yetu tukafanya yetu
 
Mapori yote ya huko bara bado unataka ardhi ya Zanzibar? Tamaa tuu.
Tanzania bara - Warundi wengi wamepewa uraia na kupewa ardhi kubwa sana tena sana kuliko ardhi waliyonayo wazanzibari huku bara ikijumlishwa yote! Hivyo kutaka ardhi Zanzibar wakati huku bara ipo nyingi, ni uchokozi usio na faida.
Bara ardhi bado nyingi!
 
Ikiwa wewe umezaliwa Tanganyika basi ukifika hapa kisiwani jiandae na kero zifuatazo.
1. Kudaiwa leseni ya udereva Zanzibar (hata kama unayo ya huko kwenu).
2. Kukosa Uhuru wa kutumia kilevi hadharani,
3. Kukosa fursa ya kumiliki ARDHI.
4. Bullying (kuitwa CHOGO).
5. Uhuru wa kuabudu mashakani (ref. Uchomaji Moto nyumba za ibada)
Hiyo namba 2.kama inasound vizuri
 
Back
Top Bottom