Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo unakataa nyinyi Wazanzibari siyo changu changu, chako changu kwa Tanganyika!Unatulisha wewe kama nani? Chakula tunanunua kama wanavyonunua wengine wa nchi jirani.
Hebu jiulize kabla ya huu muungano Zanzibar walikuwa wanapata wapi chakula?