Pointi unayo usikilizwe ila wafanyazi wa serikali mjiongeze jamani mitaji mnayo ya kutosha,fanyeni shughuli za ziada jamani hata biashara ,mkitegemea serikali mtazidi kufamaskini, serikali Haina Nia njema na nyinyi ila ni kukukamua mpaka utamu wako uishe Kisha kukutupa huko na 33% Tena ya pesa zako ulizowekeza Kwa miaka mingi,Kwa upande wa viongozi wa vyama vya wafanyazi makada ni wengi sana wa CCM,niwashauri tu wafanyakazi maslahimazuri yapo Kwa wanasiasa gombeeni jamani huko,na katiba iruhusu mgombea binafsi jamani.
Sent from my ZTE T1002 using
JamiiForums mobile app