Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] Nop, sikuwa hata najua nini kinaendelea. Nilivyotumiwa na nilivyoingiaingia mitandaoni ndio nikaona imekua story ya mjini
Umegoma kwa msisitizo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweli
Umegoma kwa msisitizo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Title za wazazi sio mtoto wa streetana ushua gani
Maneno ya kashfa na Kufuru.
Hee kumbe? Starehe hizi wacha tulale stoo lakini si tuna afya njema??Afu nasikia alishaungua? Aisee....ila ni kweli money is everything
Hizi kauli za Tafuta pesa ni za watu waliokata tamaa wanaotaka kujipa matumaini.
Watu kwa kujipa matumaini eti fact.Tafuta hela mkuu, ameongea facts tupu. 💯
Dada humjui huyu?Ndiyo nani huyu?
Hivi huyu ndiyo wowowo maarufu wa 1990s? Huwa siyaelewi vizuri haya majina
Hapana, huwa naliona jina tu kwenye mtandao.Dada humjui huyu?
Hapo hapo umelenga😁muuza mwili maarufu? Kama Wema Sepetu.
Wambie wanafikiria gigy money uyo, uyo ni mtoto wakishua ambaye kilaza hana akiliMtoto wa kishua huyo, ukiona hadi anaomba kwenye media bhasi ujue ni deadly disease na siwezi muombea binadamu mwenzangu kitu kama hicho 🙏🏽🙏🏽
Kumbe naweza kwenda gawana naye waduduAfu nasikia alishaungua? Aisee....ila ni kweli money is everything