Hapo hapo njomba uchiteme wala uchimumunye.😀😀Ukimeza nchale ukitema nchale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hapo njomba uchiteme wala uchimumunye.😀😀Ukimeza nchale ukitema nchale
Akili zako zinakutosha wewe na mmeo tuhabari yoyote yanye maslahi ya Taifa ni muhimu,
habari binafsi na za kifamilia zina umuhimu gani sasa kwa wasiohusika, alaa?🐒
umepanic kuambiwa ukweli 🤣Akili zako zinakutosha wewe na mmeo tu
Gazeti la UHURU halitaandika kabisa hata jina la Tundu Lissu halitakuwepo pale kabisa.Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Ya Mondi na Babu Tale kutembelea jumba la P DiddyHabari gani?
Wewe kaka yake Bashite tuliaImesharipotiwa inatosha
Ukimumunya nchaleUkimeza nchale ukitema nchale
safari hii halitabaki hata na nepiNi muda wa serikali ya Samia kuaibika.Serikali itavuliwa nguo zote
dhubutu nawenyewe wanafamiliaMbona taarifa ya habari ITV hawaripoti hii habari?
Habari gani?
Yule jamaa asili ya Ulaya anaweza akala mtu shingo.....😂😂😂Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Nina siku nyingi sana sijasoma Wala kusikikiza magazeti. Sitaona ajabu hata yasipo andika.Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
😄Wewe kaka yake Bashite tulia
si muhimu sana na inaweza tu kuchapishwa miongoni mwa habari nyingine za kawaida 🐒
chadema wasiingize vita za kiuchumi kisiasa
Mbona taarifa ya habari ITV hawaripoti hii habari?