Kesho itakuwa kipimo tosha kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini

Kesho itakuwa kipimo tosha kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini

Yaani watz hasa nyumbu ni shida sana yaani maswala ya Maandamano yamepotea kabisa! Leo nilitegemea Lissu angeongelea Maandamano yaliyofeli lakini amekuja na issue nyingine kabisa na nyumbu wameshaidandia kwa mbele.
Tatizo mwenyekiti wenu anayejitia uchamungu kwa mavazi ni mrevi wa kupindukia
 
Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Waandaaji Wa Habari Wa UTV (Azam Tv) Ni MACHAWA Waliokubuhu, Vyombo Vyote Vya Habari Vimeripoti Press Ya Lissu Ya Leo Kuwa Lissu Amesema Anaishtaki Tigo Na Serikali Ya Tanzania Kuhusu Jarabio La Kumuua

UTV Wao Wanaripoti Kuwa Lissu Leo Amesema Ameitwa Aripoti Polisi Jumatatu..!!
 
Hayo magazeti ni yapi kwanza? Uhuru na Daily News? Au Nipashe, Mwananchi au Mfanyakazi au Machinga au Mwanahabari Huru....?

Hata wasipoandika haina impact yoyote.

Ni kwa sababu taarifa "raw" yenyewe ya Press Conference iko hewani imeshasambaa duniani kote kupitia njia za kidigital wakati huohuo akiwa anaongea. Inashangaza wewe unawaza makaratasi ya kesho yanayoitwa "magazeti..!!"

By the way hivi nyie kina Gulwa bado mnasomaga habari za kwenye makaratasi yanayoitwa "Magazeti" wakati habari hizohizo zote ziko online kwenye viganja vya watu..?

Ina maana nyie kina Gulwa ndiyo wale ambao bado huwa mnasubiri kupata taarifa kwa kuvizia taarifa za habari za ITV au TBC au StarTV saa 2usiku?

Duuh, kama ndiyo hivi, basi uko nyuma ya wakati sana, bado mnaishi zama za mawe nyie....!!!
Mimi siko katika kundi hilo ila watawala wanawatumia watu ambao bado wanasoma vichwa vya magazeti kwenye meza za wauza magazeti na kiviamini
 
ITV Habari Saa 2 usiku wameitendea HAKI hadhira..habari ya Lissu imepewa muda wa kutosha tu..Kudos to ITV team
Ndio maana ni Super Brand TV wanawapa hadhira taarifa zote husika. Vyombo vingine vya habari ni kama vya familia au mlengo fulani maana hata utekaji na mauaji yanayotokea hawatangazi wao ni kusifia tu basi.
 
Waandaaji Wa Habari Wa UTV (Azam Tv) Ni MACHAWA Waliokubuhu, Vyombo Vyote Vya Habari Vimeripoti Press Ya Lissu Ya Leo Kuwa Lissu Amesema Anaishtaki Tigo Na Serikali Ya Tanzania Kuhusu Jarabio La Kumuua

UTV Wao Wanaripoti Kuwa Lissu Leo Amesema Ameitwa Aripoti Polisi Jumatatu..!!
Sasa wewe unataka uwapangie za kuripoti anzisha na wewe TV yako!
 
Back
Top Bottom