Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Marehemu mzee Mengi alimzurumu beberu shamba moshi akalipa mabilioni ya fidia London hakunaga gazeti liloandika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ssa LISU AMEKUJA NA HOJA ZAKE BINAFSI NA SI ZA KITAIFA TENA HAPO NDIO HUWA NACHOKA KABISA WAPINZANI
Marehemu mzee mengi alimzurumu beberu shamba moshi akalipa mabilioni ya fidia London hakunaga gazeti liloandika.
Samia hakutuma mtuNi muda wa serikali ya Samia kuaibika.Serikali itavuliwa nguo zote
Hoja zake binafsi? Toa mfano.Ssa LISU AMEKUJA NA HOJA ZAKE BINAFSI NA SI ZA KITAIFA TENA HAPO NDIO HUWA NACHOKA KABISA WAPINZANI
Mzee si unafahamu ndio alikuwa mmiliki wa vyombo vingi vya habari kwa hiyo yake ilipotezewa huku.Ila kashfa ya Radar kipindi Cha Mkapa walitangaza mpaka pesa ikarudishwa Tanzania.
Hayo magazeti ni yapi kwanza? Uhuru na Daily News? Au Nipashe, Mwananchi au Mfanyakazi au Machinga au Mwanahabari Huru....?Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Ukimung'unya NchaleUkimeza nchale ukitema nchale
Habari gani?
mbona unanifokea kitamaduni bila mihemko kamanda?Wewe chawa Kaa kimya. Wewe habari muhimu ni kugaragara

Duh!tigo hawana uhuruma kabisa.yaani wanamvua kabisa madam president wetu mpendwa?hawaogopi kufuatwa na wasiojulikana?
Hawataipa ladha halisi .. Wataitiatia nakshi mpaka ipoteze mvutoHabari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Yaani watz hasa nyumbu ni shida sana yaani maswala ya Maandamano yamepotea kabisa! Leo nilitegemea Lissu angeongelea Maandamano yaliyofeli lakini amekuja na issue nyingine kabisa na nyumbu wameshaidandia kwa mbele.Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Mtihani mzito mno kwa vipeperushi vya kufungia maandazi vya nchi hiiHabari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
ni muhimu sana kuelewa jambo kuliko kuskia wimbo wa Ney a.k.a Neema gentleman 🐒Nasikia asa hiv Abdul anawabaliki ki pi diddy
Kwani magazeti ndo pekee vyombo vya habari wewe Bashite? Ulivo mjinga hata hujishangai😀Nilisikia hapahapa mkisema hamsomagi magazeti, imekuwaje tena?