Kesho itakuwa kipimo tosha kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini

Kesho itakuwa kipimo tosha kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini

Marehemu mzee Mengi alimzurumu beberu shamba moshi akalipa mabilioni ya fidia London hakunaga gazeti liloandika.
 
Ssa LISU AMEKUJA NA HOJA ZAKE BINAFSI NA SI ZA KITAIFA TENA HAPO NDIO HUWA NACHOKA KABISA WAPINZANI

Mnafiki mkubwa. Wakija na hoja za kitaifa mnawaita wachochezi. Wakija na hoja binafsi mnajifanya kulalamika. Yani wewe ulale na Mme wako usiku mnafanya mapenzi , halafu unasubiria Lissu ndio aseme hoja za kitaifa. Punguza unafiki
 
Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Hayo magazeti ni yapi kwanza? Uhuru na Daily News? Au Nipashe, Mwananchi au Mfanyakazi au Machinga au Mwanahabari Huru....?

Hata wasipoandika haina impact yoyote.

Ni kwa sababu taarifa "raw" yenyewe ya Press Conference iko hewani imeshasambaa duniani kote kupitia njia za kidigital wakati huohuo akiwa anaongea. Inashangaza wewe unawaza makaratasi ya kesho yanayoitwa "magazeti..!!"

By the way hivi nyie kina Gulwa bado mnasomaga habari za kwenye makaratasi yanayoitwa "Magazeti" wakati habari hizohizo zote ziko online kwenye viganja vya watu..?

Ina maana nyie kina Gulwa ndiyo wale ambao bado huwa mnasubiri kupata taarifa kwa kuvizia taarifa za habari za ITV au TBC au StarTV saa 2usiku?

Duuh, kama ndiyo hivi, basi uko nyuma ya wakati sana, bado mnaishi zama za mawe nyie....!!!
 
Habari gani?
Screenshot_20240925-204746.jpg
 
Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Hawataipa ladha halisi .. Wataitiatia nakshi mpaka ipoteze mvuto
 
Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Yaani watz hasa nyumbu ni shida sana yaani maswala ya Maandamano yamepotea kabisa! Leo nilitegemea Lissu angeongelea Maandamano yaliyofeli lakini amekuja na issue nyingine kabisa na nyumbu wameshaidandia kwa mbele.
 
Habari iliyochapishwa katika magazeti ya Uingereza kuhusu uhusika wa kampuni ya Tigo katika mipango ya kuondoa uhai wa Lissu na mkutano wa Lissu na wanahabari leo, utakuwa mtihani mkubwa kwa magazeti ya kesho. Serikali itakapozuia habari hiyo isitokee kwenye magazeti itakuwa imejivua nguo na ikiruhusu ichapishwe ni kitanzi pia. Ngoja tuone
Mtihani mzito mno kwa vipeperushi vya kufungia maandazi vya nchi hii
 
Back
Top Bottom